Wimbo wa Taifa wa Zanzibar

Wimbo wa Taifa wa Zanzibar

3..Rais wa Zanzibar anaruhusiwa kuingia ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa kama nani pale ambapo rais wa Jamhuri ya Muungano anahutubia bunge.

Anaingia kama waziri wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania! Kumbuka alikwisha apa kama waziri wa JMT!
 
hahaa, Watanganyika bhana!! yani kuweka taarabu kweny TV yao eti wameona ndio njia ya kuzima sauti ya Taifa la Wazanzibar.....ujinga na upuuzi wenu na daima hamtaweza kuzima ndoto na hamu kwa Wazanzibar kuurejesha Utaifa wao...ameshindwa babu yenu mtaweza nyieeee?
 
Naomba Niulize Tvz Inaonyesha Live Siku Ya Uhuru Wa Tanganyika?

Wazanzibar hatuna haja kujua wala kusikia Uhuru wa Tanganyika maana hautusaidii kitu ila wanopenda hufuatilia il I kujua historian za majiran zetu kam Kenya, Uganda name hata Mrimaa
 
Waache wajitenge tuanze kuwatoza bili za umeme, sh. 10,000/= unapata unit 8 za siku mbili !
mhh,labda rais awe dikteta nduli slaa ndo anaweza kufanya hivyo.

Kiwango cha bei tutakachowarcharge kitakuwa sawa na tunachocharge kama tutauza umeme kenya au popote pale.
 
mkuu,leo ndo imedhihirika rasmi znz ni nchi. shein kukagua gwaride la jeshi na kupigiwa mizinga. serikali tatu oyeeeeeee. tanganyika oyeeeeeeer.

Hizo ni baadhi ya kero za Muungano, ufumbuzi wake ni Serikali tatu
 
Waache wajitenge tuanze kuwatoza bili za umeme, sh. 10,000/= unapata unit 8 za siku mbili !

Sis Wazanzibar sio malimbukeni kama nyie, tumeweza vumilia zaid ya mwezi bila ya umeme na wala hajavamiwa MTU hata mmoja, na hata kama dunia nzima itasusa kutuuzia umeme basi Wazanzibar tutaweza kuexist bila ya umeme wa Tanganyika....wapeleke ukoo maporini kwao kam kweli wanajali RAIA zao...
 
Swali la kipuuzi,kwani kuna benki kuu,sarafu,bendera,polisi na jeshi la Tanganyika si mlijifanya kuhodhi vitu vyote kwa jina la muungano.Pengo sasa hivi hana raha kwa sababu serikali mbili ndio matakwa ya Vatikani ili waendelee kuritadisha Wazenji na kupora ardhi.

Kweli kaka so Pengo tuu ni makafiri wote ila tutapambana nao ilaa kiyymi saaa..hadi kieleweke
 
Swali la kipuuzi,kwani kuna benki kuu,sarafu,bendera,polisi na jeshi la Tanganyika si mlijifanya kuhodhi vitu vyote kwa jina la muungano.Pengo sasa hivi hana raha kwa sababu serikali mbili ndio matakwa ya Vatikani ili waendelee kuritadisha Wazenji na kupora ardhi.

Udogo wa akili na elimu yenye vipand ekibao vya upotoshaji ndio shida zake...sasa US wapende na Pengo apende...Unajua tofauti ya catholics na Wamarekani...?Zenj ni ugaidi wenu ndio unatisha dunia.....minorities watapata shida kuliko Iraq,Misri,somalia etc.....
 
wadau!!
Ninaomba kwa mwenye mashairi ya wimbo wa taifa wa zanzibar atuwekee,niko najarib kufuatilia kwa tv lakin maneno hayasikiki!!

Siyo mashairi tu, mimi nakupa nakala ya kusikiliza instrumental yake kupitia Youtube, enjoy!!!

 
Last edited by a moderator:
Udogo wa akili na elimu yenye vipand ekibao vya upotoshaji ndio shida zake...sasa US wapende na Pengo apende...Unajua tofauti ya catholics na Wamarekani...?Zenj ni ugaidi wenu ndio unatisha dunia.....minorities watapata shida kuliko Iraq,Misri,somalia etc.....

We mjinga ugaidi wa Lwakatare na Kilewo hauoni jipangeni serikali tatu hiyooooo yaja.
 
We mjinga ugaidi wa Lwakatare na Kilewo hauoni jipangeni serikali tatu hiyooooo yaja.

wewe mwenye akili ndio utudhibitishie kuwa sasa wewe ndio -------- kabisa...gaidi akapelekwa mahakama ya kawaida?gaidi akaachiwa...gaidi kaumiza nani?kuwa alipanga?waliotenda wapo wapi.

Kinachotokea zenj ni real..watu wanamwagiwa acid, watu wanauwawa, na wanaouwawa wana trend moja..ni ktk minority...hakuna cha kubambikizwa mtu zenj..ndio maana hawajashikwa.Hata wa kusingizia.
 
Nimesikitika sana kuona wimbo wa Taifa la Zanzibar wakati unapigwa leo kwenye kuadhimisha sherehe za miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar TBC wameweka Taarabu ili tusiujue? Au wamefanya hivyo kwa Manufaa ya nani? Naomba msaada wenu

Mungu ametubarikia, unguja na Pemba pia
Sote tunashangiria,Jamhuri kutuletea
Zanzibar twafurahia, uhuru kutuletea
Unguja na Pemba yote!


Lakuangalia hapo ni kuwa bado Jamhuri inatambulika, hivyo kazi kwao wasiotaka yasiyoyahusu!
 
Udogo wa akili na elimu yenye vipand ekibao vya upotoshaji ndio shida zake...sasa US wapende na Pengo apende...Unajua tofauti ya catholics na Wamarekani...?Zenj ni ugaidi wenu ndio unatisha dunia.....minorities watapata shida kuliko Iraq,Misri,somalia etc.....


Naam Zanzibar tunajuwa nani wa kumgaidia sio nyinyi mnaouwana wenyewe kwa wenyewe, na kuna hatari Tanganyika vita vya wenyewe kwa wenyewe vikazuka. Mna vikundi vingi vilivyotayari kwa kugaidiana wenyewe kwa wenyewe, kuna wakulima na wafugaji, wachimbaji na wawekezaji, CCM na CHADEMA, Wapinzani na vyombo vya dola, na msururu mrefu wa vikundi vinavyopigana.

Zanzibar unahesabu vitendo unavyoviita vya ugaidi laikini ndugu zetu nyie mmekazania kuuwana tu kila kukicha, sasa hilo la kuihukumu Zanzibar linakuja wapi.
 
Mtikila! Hongera sana!

Uliyaona haya yote kabla hata ya akina kikwete.
 
Hiyo tune ya wimbo wa zenj, yaonekana ulitungwa kanisani kabisa!
 
Sis Wazanzibar sio malimbukeni kama nyie, tumeweza vumilia zaid ya mwezi bila ya umeme na wala hajavamiwa MTU hata mmoja, na hata kama dunia nzima itasusa kutuuzia umeme basi Wazanzibar tutaweza kuexist bila ya umeme wa Tanganyika....wapeleke ukoo maporini kwao kam kweli wanajali RAIA zao...

Ili miezi 3 mitatu bila umeme Zanzibar ni mibaya kuliko kipindi chote katika historia , watu walibakwa , waliporwa, makampuni makubwa na mahoteli ya kitalii yalifunga na kuondoka (mfano venta karibu hotel) bei ya mafuta ilifika elfu 5 kwa lita, majenereta yaliwafilisi wafanyabiashara na kuuwa familia nyingi kwa pamoja, bei ya bidhaa ilipanda, moto wa majenereta ulimuunguzia kila mtu makomputer yake pamoja device elektroniki zingine, bora vingetokea vita kuliko hali ile. Kosa lilikuwa usingizi mnono wa Serikali ya Karume na Waziri wake Shemeji Mansour Himid kwa sababu Waya unaoleta umeme Fumba toka Bara ulikuwa ubadilishwe baada ya maximum miaka 25, na ule ulikuwa umezidi 30, ndio maana kwa kuwazuga watu ili viongozi wasifikiriwe kunyongwa walileta burudani la Uamsho ili watu wasikilize show ya ndoto ya Nchi ya Zanzibar, na si haba watu walikubali show na serikali ya Karume pamoja na maovu na ufusadi wa kutisha unakumbukwa vizuri sanaaaa !!!
 
wadau!!
Ninaomba kwa mwenye mashairi ya wimbo wa taifa wa zanzibar atuwekee,niko najarib kufuatilia kwa tv lakin maneno hayasikiki!!

"Mungu ametubarikia Unguja na Pemba pia
sote tunafurahia jamhuri kutuletea Mungu
sote tunafurahia, uhuru kutuletea
Mungu ametubarikia Unguja na Pemba yoteeeee"

short and clear 🙂

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom