Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
hii haswa ndio pointi dada yangu......... unafikiri wanawake tu walafi kiasi cha kuwa wachoyo kiasi hiki?? Hapana tunapohofia ni hapo tu!! Ingekuwa mtu akitoka kwenda kwenye Infii zake basi condomization inatake place outomatically yaani ghafla tu gamba linatokea wala tusingejali kabisa!!
:ranger::ranger::ranger: