Santa Rosa Island is a 40-mile (64 km) barrier island located in the U.S. state of Florida, thirty miles (50 km) east of the Alabama state border. The communities of Pensacola Beach, Navarre Beach, and Okaloosa Island are located on the island. On the northern side of the island, are Pensacola Bay on the west (see map) and Choctawhatchee Bay on the east, joined through Santa Rosa Sound.
Santa Rosa Island has weathered numerous hurricanes and other tropical cyclones, including the hurricane of September 1559, Hurricane Erin and Hurricane Opal (both in 1995), Hurricane Ivan (2004), Hurricane Dennis (2005), Tropical Storm Claudette (2009), and the remnants of Hurricane Ida (2009).
Parts of the island are protected from development within the Gulf Islands National Seashore.
Nyota wa Muziki wa Hip Hop na mshindi wa Tuzo ya Msanii Bora wa Hip Hop kupitia Tuzo za TMA, Rosa Ree amepata mtoto. Taarifa hiyo ameithibitisha kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Mme wake Rosa Ree ni kama vile hayupo kwenye kipindi kigumu hiki anachopitia Rosa Ree,
Ndoa ilifungwa mwaka juzi 2021 september, ni takribani mwaka na nusu hadi sasa.
Tazameni hapa miguu ya Rosa Ree inavyovutia , mtoto guuu guuu 😂😂😂😂😂.
Sema Rosa Ree naona kaacha kumpost yule bwana wake manywele maana kule insta tulikuwa hatupumui .
Mkali huyo ambaye jina lake halisi ni Rosary Robert, mzaliwa wa Moshi Tanzania, leo kupitia ukurasa wake wa Instagram awakumbusha wakali wenzie kadhalika na mashabiki kuwa yeye ndio rappa Bora Afrika tena kiujumla.
"I AM THE GODDESSSSS! 👑. Hakuna rapper ambaye ananizidi Africa nzima...
A beautiful love song from the Goddess #RosaRee and as always she never disappoints. In this amazing love story she has featured singer songwriter and violinist #AbbyChams and it’s a MUST WATCH. Rosa Ree never seizes to surprise us with her amazing talent. Can’t wait for what’s next.
Mpaka sasa naona nyimbo zilizotolewa na maomboleza ni nyingi ila hii ya Rosa Ree Kigodo inilize walahi, ya Wasafi sijaelewa sana japo imesheheni wasaniii kibao
Unaionaje Mtu wangu, hii hapa chini:
The Goddess Rosa Ree has come through with another BANGER titled #ThatGal
The Tanzanian female rapper does not seize to amaze us with her versatility and limitless talent.
In this new joint she has fused 3 languages that is English, Swahili and the Jamaican patwaa. The command and authority...
Rapper wa Kike Rosa Ree amefanikiwa kuwepo katika orodha ya wasanii wanaowania tuzo za AFRIMMA Mwaka huu,
Amechaguliwa kuwania vipengele viwili ambavyo ni
Mwanamuziki bora wa kike Afrika Mashariki (Best Female East Africa)
Rapper bora wa Kike Afrika ( Best Female Rap Act)
Ili Kumpigia kura...
Sikiliza Wimbo wa Rosa Ree Ambao Harmonize Alitumia Beat Yake Bila Ruhusa na Kusababisha Rosa Kumshtaki youtube, Harmonize siku ya jana alipandisha wimbo katika Youtube channel yake wimbo wa Amen ambao ametumia beat ya wimbo wa Kanyor Aleng wa Rosa Ree Bila Ruhusa.
Asubuhi ya leo wimbo huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.