Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 73,846
- 151,956
Taarifa nilizozipata hivi punde zinasema Wilfred Muga Katibu wa CCM vijana Musoma Mjini ameuawa na majambazi leo asubuhi kwa kupigwa risasi akiwa njiani kutoka Kigoma Kuelekea Mwanza.
Mwenye taarifa za kina naomba atusaidie. Nlichosikia kuwa kuna watu wengine wawili pia wameuawa kwenye tukio hilo
Mwenye taarifa za kina naomba atusaidie. Nlichosikia kuwa kuna watu wengine wawili pia wameuawa kwenye tukio hilo