Willibrod Slaa amkacha Tido Mhando

Willibrod Slaa amkacha Tido Mhando

Status
Not open for further replies.
Kapita kwa wafadhili wake kupigwa msasa namna ya kujibu bila kuweka wazi anafadhiliwa na nani
Habari nilizopewa kutoka Azam media ni kwamba aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Wilbrod Slaa ameshindwa kufika ndani ya studio za Azam media bila kuwepo kwa taarifa yoyote kutoka kwake.

Kuna jambo lipo nyuma ya pazia. Soon litajulikana.
 
DR Slaa ni Samsoni wa kizazi chetu.Baada ya kushindwa na ushawishi wa Delila,amesaliti kiapoa na Wafilisti wa lumumba watamtesa sana.Mungu wake atamrejeshea nguvu za kuwaangamiza Wafilisti wajinga,naye ndio utakuwa mwisho wake.
Pole sana kamanda Dr Slaa,kwa kweli nilikuamini kuliko mtu yeyote ila sasa basi,upo mikononi mwa Wafilisti kwa kujua au kuotokujua.
 
Slaa atazungumza chanel ten na star tv
Hawezi kwenda kwa tido mhando, maana pale atapigwa hardtalk anaweza kuZirai mana kuna maswali madogo madogo lakini ya msingi kama
1.ulisema unashindia mihogo umepata wapi hela ya kuitisha mkutano unakadiriwa kuwa na gharama ya milioni 300? Mchumba amesema mtajenga mashule nk je mla mihogo anaweza miliki shule?
2.ufisadi wa ccm umeanzia richmond na kuishia richmond tu.?
3.list of shame ilikuwa na majina mengi vipi kuhusu majina mengine utayazungumzia lini maana nao wanagombea na kufanya kampeni kama chenge nk
4.kwa nini mnataka tuamini umaskini wa tanzania umesababishwa na mtu mmoja tu, yaani lowasa
ccm imesababisha hali mbaya ya uchumi, elimu duni, afya mbovu nk unataka tuamini lowasa ndo kasababisha yote haya..?
mengine ya kiuchonganishi
5.bado unaamini ccm ni wezi wa kura..?! Maana mwaka 2010 ulikataa matokeo ukilalamika ccm walikuibia ushindi bado unaamini ccm ni wezi, je unawashauri nini ukawa safari hii.?
yaani slaa angenikuta mimi hapo studio, angetoka baruti, ila bora kamhepa tido maana kazi aliyotumwa ingekuwa ngumu sana

This is fatastic.
 
Kwani hamjui Dr Slaa ni Padri ? Leo jumapili atakua Madhabahuni
 
Tido ana maswali magumu hata ningekuwa mimi nisingeenda ukizingatia alichozungumza padri mzinifu ni uwongo mtupu
umenifurahisha sana hilo la padre mzinifu. Hawa ndio wanaharibu taswira ya kanisa katoliki. Alizaa mwaka 1985 wakati upadre aliacha mwaka 1992
 
Hivi wewe unasema nini? Vipindi vyote viwepo hewani ila hiki cha Slaa kishindikane? Unajuwa kile kipindi kinarekodiwa muda gani? Slaa amekacha na huo ndiyo ukweli. Subiri uletewe kila kitu kuhusu hilo! Kwa sasa kaa utulie!!

Tatizo unabisha kitu ambacho hata haukijui...Kwa sababu tu ya mahaba yako...

Kipindi hakitakuwa live...Ni recorded...Hata matangazo waliyokuwa wakiyatoa ni sehemu ya mahojiano ya Tido na Dk. Slaa ambayo yalirekodiwa Alhamis iliyopita...

Anyways ngoja nikuache uendelee kuamini unachokiamini...
 
Habari nilizopewa kutoka Azam media ni kwamba aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Wilbrod Slaa ameshindwa kufika ndani ya studio za Azam media bila kuwepo kwa taarifa yoyote kutoka kwake.

Kuna jambo lipo nyuma ya pazia. Soon litajulikana.
Story za Bavicha hizi...kipindi kilisha recodiwa....
 
uzaifu wetu wa tz ni pale tunaposhindwa kujadili hoja kuu na kuanza ku dili mi personal affairs za mtu...

ni rahisi sana kuwavuruga wa tz hasa pale ushabiki na mihemko ya kifikra inapokuwa mbele..

nadhan tujiulize aliyo sema dr ni kweli? au si kweli kwa hoja na ushahidi madhubuti

kama dr slaa ana uhakika na ushahidi alio nao dhidi ya lowassa, apeleke mahakamani.

ukiona hadi TAKUKURU wapo kimya ujue kwamba mzee wa mihogo anaongea uzushi...otherwise wangelikwisha kumuendea awape ushahidi ili wamfikishe lowassa mahakamani.

think before you react.
 
labda mungu wako wew. mungu wangu mimi hajaniambia kuwa lowasa ndiye rais.usimwongopee mungu kana kwamba mungu ni shemejiyo unamwongelea unavyojiskia wew. hebu kuwa na hofu juu yake.

Hapa mnaongelea Mungu au mungu???
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom