MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 6,528
- 21,813
Kanisani katoka?
Ye ni padre mstaafu
Kanisani katoka?
Nyie watu bana, huenda ikawa hii ni dhambi ya CCM kuwapa elimu isiyowasaidia. Mnakuwa ni watu wa kuropoka hovyo na kuelekea kule wakubwa zenu wanawaamrisha!!!
Asubuhi napitia comment nyingi baada ya taarifa kuwa Slaa atakuwa Azam tv, watu mnaonesha kutopenda hicho kitendo na kudai mnapuuza hicho kitendo na hamtakiangalia kwa sababu mnajua ni CCM ndio wamelipia kipindi.
Sasa hivi mmepata taarifa za kipindi kutorushwa mnaonesha mlikisubiri kwa hamu maana mlijua Slaa angekabwa maswali na Tido!!
Hii akili huipati popote isipokuwa kwa watu wanaojidanganya wanaweza kuchambua vitu, bila kufahamu kuwa hawawezi na hawatoi nafasi ya kuoneshwa kuwa hawawezi.
Kipindi ni recorded na kuna watu walileta taarifa ya kuona vipande vya hayo mahojiano vilivuja, sasa kutorushwa kwake inatakiwa tuwaulize Azam ni nani anahusika, je ni CCM wameona yana Athari kwao ama UKAWA kuna point zimekuwa nzito kwao ama AZAM wameona mahojiano yamekiuka maadili?!!
Habari nilizopewa kutoka Azam media ni kwamba aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Wilbrod Slaa ameshindwa kufika ndani ya studio za Azam media bila kuwepo kwa taarifa yoyote kutoka kwake.
Kuna jambo lipo nyuma ya pazia. Soon litajulikana.
amechungulia kwenye account yake malipo hayajaingiaHabari nilizopewa kutoka Azam media ni kwamba aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Wilbrod Slaa ameshindwa kufika ndani ya studio za Azam media bila kuwepo kwa taarifa yoyote kutoka kwake.
Kuna jambo lipo nyuma ya pazia. Soon litajulikana.
Ndiyo maana Tido alifukuzwa TBC haaminiki!
anajua kabisa kuwa Jana alitoa tangazo kuwa leo saa 3 asbh watu waone LIVE Azam two
atakuwepo na Slaa
Hata kama Slaa hakutokeza
Je ameshindwa nini haya kutoa feedback kwa umma?
huku akijua kabisa watu wengi huenda walikuwa pembeni ya tv zao
Hata kuwataka radhi watazamaji wao?
ama kutoa sababu iliyokuwa nje ya uwezo wao!
Kwa mbaaliii naona sababu ya yeye kutimuliwa TBC