DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,642
Kuna siku atakuja changanyikiwa !!
Mara mbili?
Kuna siku atakuja changanyikiwa !!
Keshakuwa mdebwedo
Habari nilizopewa kutoka Azam media ni kwamba aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Wilbrod Slaa ameshindwa kufika ndani ya studio za Azam media bila kuwepo kwa taarifa yoyote kutoka kwake.
Kuna jambo lipo nyuma ya pazia. Soon litajulikana.
Habari nilizopewa kutoka Azam media ni kwamba aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Wilbrod Slaa ameshindwa kufika ndani ya studio za Azam media bila kuwepo kwa taarifa yoyote kutoka kwake.
Kuna jambo lipo nyuma ya pazia. Soon litajulikana.
Sio kwenye TV station tu atakimbia hata NCHI
Ule mkono ulivunjwa na mshumbuziBabu anayekula mihogo huwa ananifurahisha anavyoshika kipaza sauti.
Kanisani katoka?
Ndio hivyo hakikurekodiwa kwasababu huyo mzinifu aliingia mitiniKipindi ni recorded
Slaa hajamsema Tido.Sasa Tudo anaingiaje humu?Maswali yake atayatoa wapi.Tido angeleta wenye kujibu hoja za SlaaBabu padri kaona maswali ya Tido yatamuumbua Mshumbuzi akampiga beat usiende lasivyo atavunja huo mkono wa pili