Yaani huyu baba anasikitisha Maskini ya Mungu,anavyojibu yaani naionea huruma familia yake,eti kuna watoto wanamuita baba huyu Jamaniii!! Eeeh Mungu weee!!
Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!
Ndugu yangu Le Baharia Lemutuz, the Big show, Sauti za Umeme @NY amepata ajali nyingine ya kisiasa pale kigamboni baada ya kuangukia pua katika uchaguzi wa viongozi. Waliopita kidedea ni Ndg. Adriano Richard Haonga na Zulfikar ali Mzige.
Tafadhali ndugu yangu William Usikate tamaa. Kama vipi JK akupe hata ukuu wa wilaya ukisubiria Mtera 2015. umekuwa mtetezi mkubwa sana wa Chama, hata NEPI akupe kazi ya ushauri wake kwenye maswala ya mtandaoni na siasa kwa ujumla. Kumbuka hata shyrose Bhanji naye alipitia haya haya. USHAURI. Punguza kuhudhuria kumbi za starehe na kuzunguka na wadada zetu, pengine watakuona wa maana
W. J. Malecela
Kuingalia JF na Facebook ki-rahisi kama unavyo fanya ndo vinazidi kukuweka pabaya...ebu angalia vijana wanasiasa makini wenzako ni vip wan-behave in social networking, mathalani linganisha J Makamba, Zitto Kabwe comments in social networking na madudu unayopost wewe. kweli sikio la kufa halisikii dawa
Bill, Hongera kwa ushindi wa kishindo kwenye nafasi zote ulizogombea, kama tulivyoongea, endelea kujipanga...jenga profile yako. Hayo mengine ya wewe na warembo na clubbing ni yako binafsi, yasikutishe sana...
- Mkuu mleta mada heshima yako sana, kwenye uchaguzi wa juzi niligombea Ujumbe wa CCM Wilaya na kushinda kura 21 against 16, sasa nashangaa haya majungu umeyatoa wapi? Ha! ha! ha! ha! ha! well, nilikuwa Shoppers kwenye Show la Super Designer Khadija Mwanamboka, it was great yaani mitindo ya mavazi ya kiazawa ilikuwa supa sana, sasa hivi naenda Kawe nimealikwa kwenye White Party, nikitoka huko nitakuwa Mafian Lounge Club!! HA! HA! HA! HA! I MEAN THIS IS GREAT YOU KNOW!!
REPECT MUCH!
William John Samwel Malecela: MJUMBE WA WAZAZI MKOA & MJUMBE WA CCM WILAYA ILALA @ KATA KIVUKONI;DSM CITY!!
I see!!.....Bill, Hongera kwa ushindi wa kishindo kwenye nafasi zote ulizogombea, kama tulivyoongea, endelea kujipanga...jenga profile yako. Hayo mengine ya wewe na warembo na clubbing ni yako binafsi, yasikutishe sana...
"Success in almost any field depends more on energy and drive than it does on intelligence. This explains why we have so many stupid leaders."Bill, Hongera kwa ushindi wa kishindo kwenye nafasi zote ulizogombea, kama tulivyoongea, endelea kujipanga...jenga profile yako. Hayo mengine ya wewe na warembo na clubbing ni yako binafsi, yasikutishe sana...
Bill, Hongera kwa ushindi wa kishindo kwenye nafasi zote ulizogombea, kama tulivyoongea, endelea kujipanga...jenga profile yako. Hayo mengine ya wewe na warembo na clubbing ni yako binafsi, yasikutishe sana...
Mhhh yako mambo yanahitaji kufanyiwa kazi hapa hata kama yanasound kama majungu,naamini tutaona mabadiliko soon. kuandikwa na magazeti ya udaku hakutusaidii kama viongozi wala hakutufanyi tuwe role models wazuri. william wewe unapaswa kuwa role model na kama role model utachagua ni nini ungependa vijana wachukue toka kwako! je ni kuacha kifua wazi kuonyesha cheni? Ama kupiga picha na warembo waliochafuka katika jamii na kuzitundika kwenye blog? ama kuandikwa kwenye magazeti ya udaku? the choice is yours!
..... da sijui ni wivu, ama chuki binafsi. maanake malumbano haya sioni baya katika utendaji wa mtu! tanzania nzuri tunayo itegemea hawezi kuja kwa staili hii