William Malecela na Ajali za Kisiasa

Yani hili jamaa kubwa jinga kishenzi, cjui lina miaka mingapi????kweli ticha wa biology hakukosea , watu mabonge ubongo wao unakuwa mdogo kufikiria na kufanya maamuzi...ndo maana wanaweza kuachia ushuzi hata mbele ya kadamnasi.

- Umbeya huu mtoto wa kiume, angalia mjini hapa we haya tu! ha! ha! ha!

Le Mutuz!!
 
Kwa anayefahamu jiji la New York na state za kando kando yake za New Jersey & Connectcut kuna zile bar zinazojulikana sana na wapenda dogodogo, bar hizo huitwa Go Go Bar. Wasichana huwa actually naked kwani wanachokuwa nacho ni chupi na sidiria ambayo ni kambakamba tu ili kuachia mungo wazi. Na pengine huzivua hizo ili kutia hamasa zaidi wateja ili kujaza tip $$$.

Hao wasichana wanafanya hivyo ni kazi yao au ni biashara yao na wako official hapo na wanalipia. Wanaume wenye moyo mchache kama wangu hivi ni kujituma kwa speed zote kwa vile umeanikiwa vya bure na kiingilio ni kununua kinywaji tu. Hapo dodosa na mishiko ni kwa tip, kwa dakika ujue unamfutika kwenye kamba ya ambayo ndio cupi yake $$$.

Vijana wengi wa kiafrika baada ya kufika huko huchanganyikiwa na kuona wameukosa ulimwengu huo ambao ni maraha tupu. Wanaoendekeza huwa vigumu kuachana na tabia hiyo, kwani raha nazo ukiziendekeza nyumbani hapakaliki. Kutakuwa na visingizio vingi tu vya kujenga utetezi lakini ujue ukweli ndio huo kaudhaifu kameota mizizi vigumu kuanchana nako.

Nilipofika mara ya kwanza huko vijana wanaonifahamu wakataka kunitoa tongo ili nichangamkie, walichokishangaa nilisinyaa na kuona niko kusiko kwangu, kwa vile ilikuwa siku za awali na sikuba bado na private car, ilibidi nijisikie kwamba naumbwa nahitaji kwenda kupumzika na nikachukua cab. Kwa kweli nilijikia kichefuchefu sana, lakini kwa wengine nafasi ile ni chanda cha dhahabu kwenye kisani.

The right to be heard does not automatically include the right to be taken seriously ~ Hubert H. Humphrey
 
The right to be heard does not automatically include the right to be taken seriously ~ Hubert H. Humphrey

Duuuh hii kitu ina apply kwako zaidi mkubwa @W.J.Malecela,tunakusikia lakini we no longer take you seriously kwasababu unafanya mambo yanayoshabihiana na watu ambao hawako serious!

Kuna mambo unahitaji kuyaacha ili uwe na successful career otherwise fikiria kuanzisha kampuni ya Bongo Movie itafit zaidi bill kuliko siasa!

Ni ushauri tu na observation yangu siyo lazima ifanane na mtazamo wako! You are not bound to agree with me but if you do it will help you a great deal!!

All the best The Biiig Show!!
 
LE MUTUZ KIBOKO YA VILAZA JF,WAPE MAMBO MKUU,naikumbuka jamboforum enzi hizo nazuga na PC YA MSHUA ILIKUWA FULL CONSTRUCTIVE,ila now cjui tuendako
IMG:(:D:D:(:beer::beer::banghead::screwy::eek::eek::thumbup::what:]
 
Back
Top Bottom