William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,364
hebu punguza jazba kwanza nikuulize swali, are you she or he???
- How about you are you she or he??
Biig Shoow!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hebu punguza jazba kwanza nikuulize swali, are you she or he???
Wewe acha upumbavu hatuwezi kuwa na viongozi vilaza kama wewe kila siku unauza sura na hao maka***** sasa wewe na Diamond mna tofauti gani? Mi nadhani mwalimu aliwaona mlivyo wapuuzi akatibua mpango wa mzee wako wa kutaka uraisi. Watu wanakushauri unaleta uhuni tena wa kizamani unazidiwa na mwenzio Ridhiwani.
- Mkuu mleta mada heshima yako sana, kwenye uchaguzi wa juzi niligombea Ujumbe wa CCM Wilaya na kushinda kura 21 against 16, sasa nashangaa haya majungu umeyatoa wapi? Ha! ha! ha! ha! ha! well, nilikuwa Shoppers kwenye Show la Super Designer Khadija Mwanamboka, it was great yaani mitindo ya mavazi ya kiazawa ilikuwa supa sana, sasa hivi naenda Kawe nimealikwa kwenye White Party, nikitoka huko nitakuwa Mafian Lounge Club!! HA! HA! HA! HA! I MEAN THIS IS GREAT YOU KNOW!!
REPECT MUCH!
William John Samwel Malecela: MJUMBE WA WAZAZI MKOA & MJUMBE WA CCM WILAYA ILALA @ KATA KIVUKONI;DSM CITY!!
Wewe acha upumbavu hatuwezi kuwa na viongozi vilaza kama wewe kila siku unauza sura na hao maka***** sasa wewe na Diamond mna tofauti gani? Mi nadhani mwalimu aliwaona mlivyo wapuuzi akatibua mpango wa mzee wako wa kutaka uraisi. Watu wanakushauri unaleta uhuni tena wa kizamani unazidiwa na mwenzio Ridhiwani.
Hahaha usinitafutie ban wewehebu punguza jazba kwanza nikuulize swali, are you she or he???
- Mkuu mleta mada heshima yako sana, kwenye uchaguzi wa juzi niligombea Ujumbe wa CCM Wilaya na kushinda kura 21 against 16, sasa nashangaa haya majungu umeyatoa wapi? Ha! ha! ha! ha! ha! well, nilikuwa Shoppers kwenye Show la Super Designer Khadija Mwanamboka, it was great yaani mitindo ya mavazi ya kiazawa ilikuwa supa sana, sasa hivi naenda Kawe nimealikwa kwenye White Party, nikitoka huko nitakuwa Mafian Lounge Club!! HA! HA! HA! HA! I MEAN THIS IS GREAT YOU KNOW!!
REPECT MUCH!
William John Samwel Malecela: MJUMBE WA WAZAZI MKOA & MJUMBE WA CCM WILAYA ILALA @ KATA KIVUKONI;DSM CITY!!
hahahahahaha hili nalo neno.
LE mutuz at the end you are man of people for god sake no matter what the dodoma orphan thing on saturday you rock my world. Sons and daughter of Tanzania let's help the orphan and vulnerable children of dodoma with Le Mutuz this saturday. Wewe unayetokwa na povu umesaidiaje watoto wa yule babaako mdogo aliyefariki?One strong point about willy is uwazi, hana unafiki , mambo hadharani. To the best of my knowledge he has not used dads influence to seek political office , a real departure from tabia ya watoto wa wakubwa. Uwakilishi, whatever kata ya ilala truly speaking is humble job for a son of former diplomat/prime minister (by TZ standard). Le Mutuz for president.
yaani wewe si mshamba tu bali ni limbukeni uliyekubuhu, nilitegemea utakaa kimya ningekuona wa maana sana, mbaya zaidi kudhihirisha ujinga ulionao eti unaweka na picha za malaya hao hapo, sijui iwe nini, kuna wenzio wamepita hapo tena kimya kimya pasipo kufanya upuuzi kama wa kwako na inaonesha watu kama ninyi huwa mnakuwa hata kupewa hamjapewa sana sana ni sho za kipumbavu. Na sidhani kama huyo mzee ajasingiziwa mimba yako kwani siamini kama anaweza kuwa na uzao wa kipuuzi namna hiyo.
Its time watu sasa wamuache William awe William...
at least he does not fake to be what he is not...
Its time watu sasa wamuache William awe William...
at least he does not fake to be what he is not...
le mutuz at the end you are man of people for god sake no matter what the dodoma orphan thing on saturday you rock my world. Sons and daughter of tanzania let's help the orphan and vulnerable children of dodoma with le mutuz this saturday. Wewe unayetokwa na povu umesaidiaje watoto wa yule babaako mdogo aliyefariki?
- mkuu mleta mada heshima yako sana, kwenye uchaguzi wa juzi niligombea ujumbe wa ccm wilaya na kushinda kura 21 against 16, sasa nashangaa haya majungu umeyatoa wapi? Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Well, nilikuwa shoppers kwenye show la super designer khadija mwanamboka, it was great yaani mitindo ya mavazi ya kiazawa ilikuwa supa sana, sasa hivi naenda kawe nimealikwa kwenye white party, nikitoka huko nitakuwa mafian lounge club!! Ha! Ha! Ha! Ha! I mean this is great you know!!
Repect much!
William john samwel malecela: Mjumbe wa wazazi mkoa & mjumbe wa ccm wilaya ilala @ kata kivukoni;dsm city!!
Wewe acha upumbavu hatuwezi kuwa na viongozi vilaza kama wewe kila siku unauza sura na hao maka***** sasa wewe na Diamond mna tofauti gani? Mi nadhani mwalimu aliwaona mlivyo wapuuzi akatibua mpango wa mzee wako wa kutaka uraisi. Watu wanakushauri unaleta uhuni tena wa kizamani unazidiwa na mwenzio Ridhiwani.
- Mkuu mleta mada heshima yako sana, kwenye uchaguzi wa juzi niligombea Ujumbe wa CCM Wilaya na kushinda kura 21 against 16, sasa nashangaa haya majungu umeyatoa wapi? Ha! ha! ha! ha! ha! well, nilikuwa Shoppers kwenye Show la Super Designer Khadija Mwanamboka, it was great yaani mitindo ya mavazi ya kiazawa ilikuwa supa sana, sasa hivi naenda Kawe nimealikwa kwenye White Party, nikitoka huko nitakuwa Mafian Lounge Club!! HA! HA! HA! HA! I MEAN THIS IS GREAT YOU KNOW!!
REPECT MUCH!
William John Samwel Malecela: MJUMBE WA WAZAZI MKOA & MJUMBE WA CCM WILAYA ILALA @ KATA KIVUKONI;DSM CITY!!