King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,976
Yaani hiyo huwa inanikeLa hadi nakeLeka kwa nini inanikeLa!
Mphhhewww!
Mphhhewww!
Yaani Kuna watu wana POINT ila R na L zinaashinda.
Yaani Kuna watu wana POINT ila R na L zinaashinda.
kama EAF ya 1970 ilifail kwa nini tukimbilie??mwenda pole hajikwai hata akijikwaa haanguki na akianguka haumii
Nafikiri watu wengi pamoja na hata mleta mada wamechanganya mambo. Sidhani kama suala hasa hapa ni Jumuiya ya Afrika Mashariki. Suala hapa ni kama kweli tunapekeka watu makini kutuwakilisha huko. Inawezekana aliyosema William ni ya kweli kabisa lakini mbona wanasiasa wetu wakati wa kampeni huwa wanafanya hivyo hivyo kwa kutuondhoreshea list ya matatizo yetu na jinsi watakavyoyatafutia ufumbuzi lakini wakishachangualiwa hawafanya chochote?
Wakati babake alivyopigwa chini na Lusinde watu hapa walishangilia weee, kumbe Lusinde mwenyewe mliokuwa mnamshangilia ndiye huyo. Leo mnapewa maneno matamu na William tayari kwishaney. Ukitaka kuwapiga bao Watanzania ongea tuu kile wanachotaka kusikia. Hata kama ukiwa kichaa watakuchagua tuu uwawakilishe. Muone hata Lusinde kadhibitisha yeye ni kichaa wa kuzaliwa lakini still walimchagua kuwa mbunge wao.
Hatuna tabia ya kwenda deep na ku-examine hawa watu kama kweli wana credentials zinazotakiwa kutuwakilisha hasa kwenye ngazi za kimataifa where the national interests are at stake. Kwa kweli inabidi ifike mahali tujiulize: Are we picking the right people to represent and defend our interests in the East African Community na kwingine kote duniani? Je, process nzima inayotumika kuwapata hawa wawakilishi ni fair na open kwa watu wote? Au watu wanapitishwa kwa kujuana tuu? Imefika wakati tuache kudanganywa na maneno ya watu wanaodai kuwa wanataka kutuwakilisha wakati wanataka tuu uongozi kwa faida zao binafsi.
Kama kweli kuna mtu aliyesikiliza interview ya William kuanzia mwanzo mpaka mwisho na ku-conclude kwamba anafaa kabisa kutuwakilisha EAC then we have got a long way to go. Seriously, utakuwa huna tofauti na yeye kusema kuwa tuna gap ya miaka 250 kufikia demokrasia ya Marekani. Kama ndivyo unavyotaka then muunge mkono lakini usilalamike kuhusu demokrasia mbaya Tanzania kwa muda wa miaka 250 kama bado utakuwa hai.
Kwakuwa Wiliamu Malecela ni mtanzania na amezaliwa Tanzania, anahaki ya kushiriki siasa za Tanzania bila kuwekewa mipaka. Acheni kujifanya ninyi ndio wenye haki kuliko watu wengine, eboo!!!william Malecela wengi tunakufahamu tu kupitia jamiiforums lakini watanzania wengi hawajakusikia ungeanza na kujitangaza mapema kama ulikuwa na nia ya dhati ya kuingia kwenye siasa.
Kutumia short cut kwenye siasa unaweza kuwa unajitenegenezea ajali mbaya ya kisiasa.
Kumbuka SIYOI SUMARI alipokufa tu baba yake ndipo akataka siasa na wewe mzee wetu John Malecela alipoanguka tu jimboni kwake umechomoza kwenye siasa.
Hata kama nia yako ni njema umekosea mahesabu ili uweze kukubalika na watanzania wengi ndio maana wengine wanafikiri unatumia jina la baba kama ngao ya kufika juu kwa sababu umeruka baadhi ya ngazi muhimu kwenda juu
- Mkuu mleta Mada heshima mbele sana, bado nina uchovu sana maana jana tumemaliza kuhesabu kura usiku sana na kampeni kwa ujumla ilikuwa ni an-experience, kwa hiyo nitarudi tena later!
William.
Nakubaliana na hoja ya kujiunga na federation kuwa slow, ila kuna vitu ameongea eti watanzania wengi waliopo nje wanaikosoa serikali kwasababu ni CDM huu ni uongo uliopitiliza, naimani kuwa hata ukiwa ccm unaweza kuikosoa serikali inapokosea.
Wewe ndiye mjinga!
Angalia nchi kama Danmark, Norway. Hazipo kwenye european union na uchumi wake ni makini. Ficha ujinga wako usije ukaropoka na kujaji bila kuelewa duniani kuna nini. Nadhani wewe ndiye upo nyuma sana ki dunia. Huwezi ukazamisha uchumi wa Tz East Afrika na ukategemea tutaibuka. Ni muhimu tujijenge kwanza sisi ndiyo tufikirie kujiunga. Kwa taarifa yao asilimia 99.9999 ya vijana hawataki East africa federation kwani sasa ajila ni shida na hapo bado. Ardhi sasa hivi inamendewa na wageni, na vijana wa tanzania bado wengi ni maskini na wengi ndiyo tumetoka shule sasa huo ushindani tutauweza??
Mhh! Kiöngozi, mtoa mada sijui niseme una chuki binafsi na ze baharia w.melecela au unauelewa mdogo wa mambo ya e.a, au umekurupuka au ulitaka tu kujaza server. Sitegemei kama kuna kijana anayependa tanzania ifanye haraka kujiunga east afr. Vijana hawana ajira, ardhi taabu, elimu badala ya kuongezeka ubora, inapungua. Ukiwekwa na mkenya kwenye interview anakushinda. Kaa tulia, alfu njoo tena
hawa watu wa dizaini hizi hawawezi kutusaidia chochote zaidi ya kutafuta recognation kutoka kwa watu tuliojichokea.![]()
Nimesikiliza interview yake aliyoifanya ambayo imepostiwa michuzi blog. Inaonekana huyu yuko out of touch na maendeleo ya dunia
Hoja zake kubwa ni hizi:
4. William anasema kuwa angefurahi sana kama National Service ikarudishwa ili kurejesha uzaelndo kwa vijana lakini ukweli kasahau:
a) Kwa nini iliondolewa in the first place
b) Uzalendo hauwezi kupatikana kwa kulazimishana
c) Atapata wapi budget ya kuirudisha hiyo National service
d) Uzalendo haupatikani kama serikali haitazami wananchi wake
6. Amesema kuwa Tanzania middle class wamekuwa wengi....well ukweli ni kuwa tanzania ina population ya almost 44 million na the so called middle class ni less than 8% sasa na ni wale wale ambao ni watoto wa kishua na extension zao. Namshauri williama atoke aende rufiji, Mkuranga Kisarawe na tendahimba kama atakuta middle class hata mmoja.
9. William anasema kuwa achievements zake kubwa ilikuwa ni kuandaa sherehe ya kumpokea Asha Migiro alipoteuliwa kuwa Dpeuty SG wa Ban Ki Moon, mimi binafsi sioni kama hiyo ni issue na sioni kama ni achievement ya maana.
William kama mawazo yako ni hayo then I give up!