William Malecela: Dissaster waiting to happen

Kweli mgogo ni mgogo, anaridhika fasta & kifriji hicho, u know why..? Wagogo ni wavivu wa vyote kazi hadi kufikiri.... I'm calling it a day....
 
Duh!

EAC umekata sana lakini si eneo langu

haya tufahamishe kuhusu hili la yeye kusema lazima JKT irudishiwe ili kuwafunz wa tu uzalendo?

Tangu lini uzalendo ukalazimishwa kwa watu?

pia naomba utufahamishe kuhusu maneno yake kuwa kuna middle class wengi Tanzania kwa sababu ya serikali ya awamu ya 4...kivipi?

na nyingine hiyo ya kutetea mfumo uliopo bila ku challenge mambo inatisha na hasa kwa mwana JF ambaye ilitegemewaangekuwa na mawazo mbadala....

Ni heri ya yeye mnae weza kucheza nae kulikoni wale msiowajua kabisa na wako kwenye kinyanganyilo hicho, hayo mengine mwanamjini atawekwa sawa.Yeye mwenye bado anakaushamba kale ka kuhang out na watu ambao hawana taarifa sahihi,uzuri kaludi home atawekwa sawa na Jukwaa atabadilika.Mbona Zitto mnamlekebisha.Kwa kuwa tutake tusitake vile viti ni vya CCM,they have nothing to do with CDM or CUF.Hivyo tumpe support aingie huko tutamnyoosha mpaka mwenye ataijua Tanzania halisi,Waswahiki wanasema ni heri ya Zimwi likujalo alikuli likakwisha.Yeye kwetu huku sisi ndio zimwi lake atuwezi kummaliza jamani.

Muacheni aingie huko tuwe na insider,kwa tiketi ya CCM,Mengineyo ya ufahamu na ujuvi wa mazingira ya Tanzania atajifunza akae na nani ili ajue nini ni kitu muhimu kwa wananchi maskini.Bado anapita pita maeneo ya Roze Garden na viwanja vya wauza sura,wasiojua maana ya maisha ya walalaoi yakoje wengine wamevikuta nyumbani hawajui vilitafutwaje.Hivo atajifunza namna ya watu wa aina yake kuhusu watanzania wenye maisha duni ambao yeye anataka kuwa msemaji wao kwenye EA.
 
Mhh! Kiöngozi, mtoa mada sijui niseme una chuki binafsi na ze baharia w.melecela au unauelewa mdogo wa mambo ya e.a, au umekurupuka au ulitaka tu kujaza server. Sitegemei kama kuna kijana anayependa tanzania ifanye haraka kujiunga east afr. Vijana hawana ajira, ardhi taabu, elimu badala ya kuongezeka ubora, inapungua. Ukiwekwa na mkenya kwenye interview anakushinda. Kaa tulia, alfu njoo tena
 
Hana jipya ubishororo tu kutoka ni ny mpaka kuutaka ueast africa kuna shida hapo
 
kama EAF ya 1970 ilifail kwa nini tukimbilie??mwenda pole hajikwai hata akijikwaa haanguki na akianguka haumii
 
316444_2385989848381_1209820481_32959751_2885080_n.jpg

Nimesikiliza interview yake aliyoifanya ambayo imepostiwa michuzi blog. Inaonekana huyu yuko out of touch na maendeleo ya dunia

In short huyu bwana amenitisha sana. Nilitaka new ideas zake kama mtu aliyetoka nje na msomi ambaye amekuwa exposed

sasa nashangaa kwa nini anasema kuwa EAC process iwe slow.

Tatizo ni kuwa wenzetu hawatusubiri na si makosa yao kama sisi wananchi hawapewi elimu juu ya hii deferation

Naogopa sana ninapomsikia kijana anapokuwa hana mawazo mbadala na hawa wazee (dinosaurs) waliotufikisha hapa.

William kwa taarifa yako ni kuwa 70% ya watanzanai ni under 30 na wanajua yanayoendelea duniani na pia wako sharp minded....sasa hii akili ya go slow sijui umeipata wapi.

William kama mawazo yako ni hayo then I give up!

yuko sahihi. Watz wawe sharp kwa kipi? Shule za kata? Zain challenge ... Tu huonyesha tz tuna vyuo gani. Hongera Willy.
 
niliandika kabla sijamaliza kusikiliza hiyo interview na nimerudia kuisikiliza na sasa nime edit hiyo thread. Kila mmoja ana mtazamo wake na wangu ndio huo.
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Mtu akianza kuleta kauli za "miaka 50 ya demokrasia" na vague statements kama "moja ya lengo lake akiteuliwa Ubunge itakuwa ni kuelimisha Wananchi" basi usimchukulie kwa makini.
 
Willium anajua kuwa anachokiongea ni Total political play. Nina imani kabisa kuwa he knows for sure that wanaokosoa serikali si CDM bali ni wapenda maendeleo ila kwa kusema ukweli atakuwa anajitafutia kifo cha kisiasa hasa katika chama anachojipambanua nacho.

Mimi aliponifanya nikaacha kuendelea kumsikiliza ni pale alikuwa anaongelea demokrasia ya Tanzania na kusema kuwa sisi bado wachanga kwani US wao wana miaka 300 ya demokrasia sisi tunamiaka 50 tu hivyo tuna gap ya miaka 250!. Kwa kweli alinifanya nione kuendelea kumsikiliza ni kupoteza muda kwani mahojiano yale aliyakenga kwa watu wanaopiga kura za ubunge wa EA na si great thinkers.

Anashindwa kujua kuwa kuna nchi kama Israel imeendelea sana katika demokrasia kwa kipindi kidogo tu?. Lets cut William some slack
 
Willium anajua kuwa anachokiongea ni Total political play. Nina imani kabisa kuwa he knows for sure that wanaokosoa serikali si CDM bali ni wapenda maendeleo ila kwa kusema ukweli atakuwa anajitafutia kifo cha kisiasa hasa katika chama anachojipambanua nacho.

Mimi aliponifanya nikaacha kuendelea kumsikiliza ni pale alikuwa anaongelea demokrasia ya Tanzania na kusema kuwa sisi bado wachanga kwani US wao wana miaka 300 ya demokrasia sisi tunamiaka 50 tu hivyo tuna gap ya miaka 250!. Kwa kweli alinifanya nione kuendelea kumsikiliza ni kupoteza muda kwani mahojiano yale aliyakenga kwa watu wanaopiga kura za ubunge wa EA na si great thinkers.

Anashindwa kujua kuwa kuna nchi kama Israel imeendelea sana katika demokrasia kwa kipindi kidogo tu?. Lets cut William some slack
Kli hio ndio kauli ya ccm
 
Nafikiri watu wengi pamoja na hata mleta mada wamechanganya mambo. Sidhani kama suala hasa hapa ni Jumuiya ya Afrika Mashariki. Suala hapa ni kama kweli tunapekeka watu makini kutuwakilisha huko. Inawezekana aliyosema William ni ya kweli kabisa lakini mbona wanasiasa wetu wakati wa kampeni huwa wanafanya hivyo hivyo kwa kutuondhoreshea list ya matatizo yetu na jinsi watakavyoyatafutia ufumbuzi lakini wakishachangualiwa hawafanya chochote?

Wakati babake alivyopigwa chini na Lusinde watu hapa walishangilia weee, kumbe Lusinde mwenyewe mliokuwa mnamshangilia ndiye huyo. Leo mnapewa maneno matamu na William tayari kwishaney. Ukitaka kuwapiga bao Watanzania ongea tuu kile wanachotaka kusikia. Hata kama ukiwa kichaa watakuchagua tuu uwawakilishe. Muone hata Lusinde kadhibitisha yeye ni kichaa wa kuzaliwa lakini still walimchagua kuwa mbunge wao.

Hatuna tabia ya kwenda deep na ku-examine hawa watu kama kweli wana credentials zinazotakiwa kutuwakilisha hasa kwenye ngazi za kimataifa where the national interests are at stake. Kwa kweli inabidi ifike mahali tujiulize: Are we picking the right people to represent and defend our interests in the East African Community na kwingine kote duniani? Je, process nzima inayotumika kuwapata hawa wawakilishi ni fair na open kwa watu wote? Au watu wanapitishwa kwa kujuana tuu? Imefika wakati tuache kudanganywa na maneno ya watu wanaodai kuwa wanataka kutuwakilisha wakati wanataka tuu uongozi kwa faida zao binafsi.

Kama kweli kuna mtu aliyesikiliza interview ya William kuanzia mwanzo mpaka mwisho na ku-conclude kwamba anafaa kabisa kutuwakilisha EAC then we have got a long way to go. Seriously, utakuwa huna tofauti na yeye kusema kuwa tuna gap ya miaka 250 kufikia demokrasia ya Marekani. Kama ndivyo unavyotaka then muunge mkono lakini usilalamike kuhusu demokrasia mbaya Tanzania kwa muda wa miaka 250 kama bado utakuwa hai.
 
jamaa kawekwa na watu hapo... He is another lusinde

CCM ni Chama cha Matusi! Of all the people wanachagua huyu asiyejua EAC ilianzishwa lini na madhumuni yake!!! It's pathetic! Kila kitu sisi ni hovyo hovyo na fake! Kuanzia juu hadi chini
 
Back
Top Bottom