CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,929
Hii thread imewapa watu bans kwelikweli, kweli JF kuna untouchables
Ukiona mtu mzima mwenye umri wa kukaribia miaka 50 anaishi kwa baba, na kuendesha gari la dada yake, huku kakimbia familia kwa kuwa child support ilikuwa ikimkwaza, hapo ujue ni tatizo kubwa.
Huyu mtu hata ndugu zake wanamkimbia, kuna wanaodai hii inatokana na msongo wa mawazo kwa kuwa amekuja kukumbka shuka kukiwa kumekucha, dunia inamuwia ngumu, alidhani basi atatoka kisiasa kumbe siasa za Bongo sasa zimebadilika, halipendwi sir name tena kule, ni hoja na adabu.
Mbaya zaidi hawezi kurudi huku, kwa kuwa wanamamlaka wanamtafuta, kwa tuhuma nyingi tu mbali na issue ya kukimbia child support, ana issue nyingi tu za vibali vya kuishi huku.
Poleni wakuu, itabidi mumzoee tuu.
Ukiona mtu mzima mwenye umri wa kukaribia miaka 50 anaishi kwa baba, na kuendesha gari la dada yake, huku kakimbia familia kwa kuwa child support ilikuwa ikimkwaza, hapo ujue ni tatizo kubwa.
Huyu mtu hata ndugu zake wanamkimbia, kuna wanaodai hii inatokana na msongo wa mawazo kwa kuwa amekuja kukumbka shuka kukiwa kumekucha, dunia inamuwia ngumu, alidhani basi atatoka kisiasa kumbe siasa za Bongo sasa zimebadilika, halipendwi sir name tena kule, ni hoja na adabu.
Mbaya zaidi hawezi kurudi huku, kwa kuwa wanamamlaka wanamtafuta, kwa tuhuma nyingi tu mbali na issue ya kukimbia child support, ana issue nyingi tu za vibali vya kuishi huku.
Poleni wakuu, itabidi mumzoee tuu.
Ukiona mtu mzima mwenye umri wa kukaribia miaka 50 anaishi kwa baba, na kuendesha gari la dada yake, huku kakimbia familia kwa kuwa child support ilikuwa ikimkwaza, hapo ujue ni tatizo kubwa.
Huyu mtu hata ndugu zake wanamkimbia, kuna wanaodai hii inatokana na msongo wa mawazo kwa kuwa amekuja kukumbka shuka kukiwa kumekucha, dunia inamuwia ngumu, alidhani basi atatoka kisiasa kumbe siasa za Bongo sasa zimebadilika, halipendwi sir name tena kule, ni hoja na adabu.
Mbaya zaidi hawezi kurudi huku, kwa kuwa wanamamlaka wanamtafuta, kwa tuhuma nyingi tu mbali na issue ya kukimbia child support, ana issue nyingi tu za vibali vya kuishi huku.
Poleni wakuu, itabidi mumzoee tuu.
U just mentioned - EAF technical and strategic meetings, I betcha as well MPs were not part of the delegate..Nigger plse, MPs do not serve as technical support or strategist but they advocate POLICIES as we sees them best for us, they ask questions not build cases, the look for answers not being questioned...with your thinking - that is why we will always remain where we are, mkiani!!!................and that is why we will always remain where we are, mkiani!!! i betcha would say the same for the diplomats and any delegate on anything
Being a participant in several EAF technical and strategic meetings for the federation (a few years ago), i identified those as weaknesses in representation on our part, NO ONE CAN SHAPE ANY IMPORTANT POLICY without have knowledge and qualities to present his/her case... we dont need numbers, we need quality
BASI, KESI YANGU IMEISHA KWANI UMEDHIHIRISHA ONCE AGAIN KWAMBA WEWE NI WALEWALE WA BORA LIENDE
Never seen a good advocacy person who is as weak in building any case as William, much as you are respected here in JF, sometimes your views as as shoddy as they can be:A S confused:
I see.........Kwani mkuu William ni nani kwako?........Maana siku zote tunamuuliza hili swali la kukimbia Child support US hajawahi kujibu kama wewe ulivyojibu......Yaani umejibu as if wewe ndio William.....Binafsi siwezi kuwa na chuki na William kaa unavyodhani......Hapa nilichotaka ni William kutueleza ukweli wa hizo tuhuma/tetesi ambazo kimsingi si nzuri kwa mwanasiasa mtarajiwa ambaye soon atakuwa public figure wa Tanzania.......Ungemjibia ukiwa umetulia badala ya kujibu kwa JAZBA na kutokwa mapoovu kama hivi ungeeleweka zaidi Bro.......
................and that is why we will always remain where we are, mkiani!!! i betcha would say the same for the diplomats and any delegate on anything
Being a participant in several EAF technical and strategic meetings for the federation (a few years ago), i identified those as weaknesses in representation on our part, NO ONE CAN SHAPE ANY IMPORTANT POLICY without have knowledge and qualities to present his/her case... we dont need numbers, we need quality
BASI, KESI YANGU IMEISHA KWANI UMEDHIHIRISHA ONCE AGAIN KWAMBA WEWE NI WALEWALE WA BORA LIENDE
Never seen a good advocacy person who is as weak in building any case as William, much as you are respected here in JF, sometimes your views as as shoddy as they can be:A S confused:
Ni bora uiche kama ilivyo, wajanja wote humu wanaikimbia, wanaijuwa madhara yake ni nini,.......Daah! Hii thread bana.....
Ukiona mtu mzima mwenye umri wa kukaribia miaka 50 anaishi kwa baba, na kuendesha gari la dada yake, huku kakimbia familia kwa kuwa child support ilikuwa ikimkwaza, hapo ujue ni tatizo kubwa.
Huyu mtu hata ndugu zake wanamkimbia, kuna wanaodai hii inatokana na msongo wa mawazo kwa kuwa amekuja kukumbka shuka kukiwa kumekucha, dunia inamuwia ngumu, alidhani basi atatoka kisiasa kumbe siasa za Bongo sasa zimebadilika, halipendwi sir name tena kule, ni hoja na adabu.
Mbaya zaidi hawezi kurudi huku, kwa kuwa wanamamlaka wanamtafuta, kwa tuhuma nyingi tu mbali na issue ya kukimbia child support, ana issue nyingi tu za vibali vya kuishi huku.
Poleni wakuu, itabidi mumzoee tuu.
usimjali, he/she is a piece of waste, paranoia and probably schizo
Daah! Hii thread bana.....
Mkuu,
Leta uthibitisho,imekuwa ni tabia ya watanzania wengi wanaofahamiana na mtu anapojitokeza kwenye uwanja wa siasa wanatumia mwanya huo kwa nickname kumharibia jina.
Hii signature yako hapo juu, inanitia wasiwasi kama nia yako kweli kuhabarisha kwa nia njema au ni muendelezo ule ule wa kaharibiana majina kutokana na kambi kwa maslahi binafsi.
Wakuu,Tujikite katika mstari wa hoja tuache majungu. Hebu sema,ni kwa vipi Willy Malecela hawezi kusimamia maslahi ya Tanzania EAC? Hebu tujadili sifa na vigezo anavyotakiwa kuwa navyo mbunge wa Afrika mashariki kulingana na mazingira ya kisiasa na kiuchumi yaliyopo
Too low........- Mkuu ungejibu swali kama wewe ni mke wa William, maana mambo ya mkuu na ex wake ni siri yao wewe umeyajuaje? Ndio ninauliza swali je nini authority yako kwenye kuuuliza maswali kwa members wengine JF maana wewe mwenyewe si uliwahi kumpiga mkeo ukawekwa ndani yaani Rumande au uongo?
ES!
Teh teh.......Daah! Hii thread bana.....
Wazee wa Sauti ya Umeme........- Mkuu wangu Nyani we neeed to talk inbox, otherwsie I promise kutoa $ 100.00 kuichangia JF iwapo hiii thread itaachwa kama ilivyo, cause ndio njia pekee ya kumaliza mzizi wa fitina na habari za majitaka, I RPOMISE TENA KWA UTAWALA JF $ 100.00 USD, IWAPO HII HTREAD ITAACHWA KAMA ILIVYO, IWE FUNDISHO KWA WALE WANAOTAKA VIROJA NA HUKU WAO WENYEWE VILEMA NA WANAJULIKANA NA JAMIII ILA WANAMEZEWA NA SIKU YA KUTOA HIZO HELA NITASEMA WAZI! ha! ha! ha!
Es!
Ni bora uiche kama ilivyo, wajanja wote humu wanaikimbia, wanaijuwa madhara yake ni nini,.......
Bora ukarelax tu na warembo kule MMU.
- Mkuu wangu Nyani we neeed to talk inbox, otherwsie I promise kutoa $ 100.00 kuichangia JF iwapo hiii thread itaachwa kama ilivyo, cause ndio njia pekee ya kumaliza mzizi wa fitina na habari za majitaka, I RPOMISE TENA KWA UTAWALA JF $ 100.00 USD, IWAPO HII HTREAD ITAACHWA KAMA ILIVYO, IWE FUNDISHO KWA WALE WANAOTAKA VIROJA NA HUKU WAO WENYEWE VILEMA NA WANAJULIKANA NA JAMIII ILA WANAMEZEWA NA SIKU YA KUTOA HIZO HELA NITASEMA WAZI! ha! ha! ha!
Es!