William J. Malecela kugombea ubunge wa EAC

William J. Malecela kugombea ubunge wa EAC

Teh teh.......

Jamaa kaibuka toka chimbo.......Halafu eti anaahidi kuchangia $ 100 thread ikiachwa iendelee kujadiliwa......Watu wana mikwara sijapata kuona...

Nkwingwa, basi yaishe kaka. Manake huko hii mada inakoelekea si kuzuri kabisa. Nakuaminia.
 
- Finally, haki kwa wote hapa JF Mods wabarikiwe sana maana ilikwua imekithiri, jamani Mods mbarikwie sasna na I promise kutoa USD $ 100.00 iwapo hii thread itaachwa hivi hivi as a lesson wka wanaotaka siasa za majitaka wkamba ni two ways, ukianza usilie kwenye kurudishiwa ukweli!, infact kama mpaka next weeekend hii thread ipo ivi ivi nitatao hizo hela rasmi hapa hapa, tumechoka sana na majitaka,

- JF tuliyoilalia macho kuipa credibility watu tume-risk our lives kwenye uchaguzi wa 2005, watu wame-risk their lives kwenye Richmond hapa, leo wanakuja hawa mazumbukuku kila ukiweka hoja wanarusha matusi, ukiweka hoja wanaibadili kwenye udini, I mean ukiuliza eti wanajua life za members hapa, sawa sawa sasa wajifunze mkuki ulivyo mchungu kwa nguruwe!

OTHERWISE KAMA ILIVYOSEMWA UKIPENDA KULA LAZIMA ULIWE! HA! HA! HA! HA! NA UKILIWA USILIE!
leadership ni about quality and credibility, sio reward.... kama ni reward basi Mwanakijiji angetakiwa kugombea urais, Max na kundi lake wapewe uwazini nk

Ni matatizo hayahaya ya kupeana vyeo kizawadi-zawadi/fadhila ndio tumeishia hapa tulipo leo.... anyone needs to know the limit... MTERA SAWA SANA TU, EAF NO!!
 
- Finally, haki kwa wote hapa JF Mods wabarikiwe sana maana ilikwua imekithiri, jamani Mods mbarikwie sasna na I promise kutoa USD $ 100.00 iwapo hii thread itaachwa hivi hivi as a lesson wka wanaotaka siasa za majitaka wkamba ni two ways, ukianza usilie kwenye kurudishiwa ukweli!, infact kama mpaka next weeekend hii thread ipo ivi ivi nitatao hizo hela rasmi hapa hapa, tumechoka sana na majitaka,

- JF tuliyoilalia macho kuipa credibility watu tume-risk our lives kwenye uchaguzi wa 2005, watu wame-risk their lives kwenye Richmond hapa, leo wanakuja hawa mazumbukuku kila ukiweka hoja wanarusha matusi, ukiweka hoja wanaibadili kwenye udini, I mean ukiuliza eti wanajua life za members hapa, sawa sawa sasa wajifunze mkuki ulivyo mchungu kwa nguruwe!

OTHERWISE KAMA ILIVYOSEMWA UKIPENDA KULA LAZIMA ULIWE! HA! HA! HA! HA! NA UKILIWA USILIE!
Kwani ulikuwa haujui?,KULA na KULIWA ndio mtindo wa kisasa.....

Mbona mimi sijaona matusi yoyote katika Thread hii?....Acha mikwara mbuzi ES......

Kama uliilalia JF ni kwa utashi wako wewe mwenyewe,JF ni jukwaa Huru.....Kila mtu ana HAKI ya kutoa alichonacho moyoni(mradi tu asivunje kanuni na taratibu/sheria za JF) hata kama hakikupendezi wewe.....Ndio maana Kauli mbiu ya JF ni 'Where We Dare To Talk Openly'........

Kama lengo ni kuchangia JF si ungetoa tu hiyo $ 100.00 ama ungemtuia tu PM Max badala ya kuja hapa na kujishebedua eti utatoa dola 100 endapo Thread hii itaachwa mpaka Next Weekend......

Hivi kuna Bingwa wa matusi na viroja/kashfa hapa JF zaidi yako wewe ES.......

Kweli Nyani haoni Kundule.......
 
We need to talk aisee.

Ila mimi naona sasa imetosha sasa. Achana nayo tu kaka. Hakuna cha kunufaika nacho hapa.

Pia siafiki watu kuingiza habari za mke na watoto wa William. Mke na watoto wa William wanamhusu William tu. To everyone else they should be off-limits.

So just simmer down my friend.

- NYANI wewe tumetoka mbali siku zote huyu bwana anamtukana William mbona hujawahi ksuema anything na wewe ni rafiki wa karibu sana wa William? All oversudden sasa unataka suluhu?

Es!
 
leadership ni about quality and credibility, sio reward.... kama ni reward basi Mwanakijiji angetakiwa kugombea urais, Max na kundi lake wapewe uwazini nk

Ni matatizo hayahaya ya kupeana vyeo kizawadi-zawadi/fadhila ndio tumeishia hapa tulipo leo.... anyone needs to know the limit... MTERA SAWA SANA TU, EAF NO!!

- ha! ha! ha! kumbe unaweza kujadili kama civilized humanbeing kulikoni? ha! ha! unataka tujadili maana kurithishana na uongozi wa Taifa wa Tanzania? are you serious?

- Sheria ipo wazi kila mwananchi wa Tanzania ana haki ya kugomeba uongozi wanaoamua ni chama chake na wananchi kwa kufuata katiba kama unafikiri kuwa na uwezo wa kuandika hapa JF ni njia ya kuwachafua usiwajua basi na wewe ni lazima chafuliwe, William humjui kama wengine wote walivyo hapa, wanaomjua wapo kimyaa wanaangalia, lakini mimi ninamjua na ninawajua wengi sana maadui zake hapa so wacha wamtukane na tuwajibu, nasema this time Mods wanstahili heshima sana maaan wewe ulikuwa unawaka kwa matusi, vipi sasa umepunguza matusi?

- Viva JF!

Es!
 
- NYANI wewe tumetoka mbali siku zote huyu bwana anamtukana William mbona hujawahi ksuema anything na wewe ni rafiki wa karibu sana wa William? All oversudden sasa unataka suluhu?

Es!
Achana na Nyani Ngabu ndio wale wale wanaouza maduka ya chupi za wanawake, hapa mpaka kieleweke mkuu.....
Mwisho wa siku hapa JF itajipatia $ 100, nawasiliana mods sasa hivi ili hii thread iwe "STICKY"
 
- NYANI wewe tumetoka mbali siku zote huyu bwana anamtukana William mbona hujawahi ksuema anything na wewe ni rafiki wa karibu sana wa William? All oversudden sasa unataka suluhu?

Es!

Ni kweli, William ni rafiki yangu na nimeshamtetea hata pasipo na yeye kuwa na habari.

Hata FMES ni rafiki yangu sana tu. Tumetoka naye mbali sana...toka enzi za bcstimes.com....unazikumbuka hizo enzi?

Kwangu naona hawa washikaji zangu wawili wako above na hizi kelele za mitandaoni. Hakuna manufaa yoyote kwa wao kulumbana na watu walio anonymous. Ni mtazamo tu lakini.

Having said that, William and FMES have all the rights to defend themselves in any kind of way they see fit and they so choose.
 
- Bob point taken, nimekusikia sana na tupo one page sana bro!, I mean binafsi sina tatizo na Jumuiya lakini muhimu ni what is in it for us Taifa? Leo bajeti ya EAC ni USD $ 55, Million kutoka USD $ 28 Million ilipoanza Mwaka 1999, well swali langu ni what are we getting back Taifa to compare na what we contribute, ni lazima wananchi na Taifa zima wajue na ni kazi ya Wabunge wetu huko EAC!

- Na my outmost respect respect kwa mheshimiwa Leticia Nyerere kwa ujasiri wake.

MUCH RESPECT

fmES!

Kwa post hii, wewe ndiye LE MUTUS, na huna interest yeyote ya kusaidia katika jumuiya, ni wale wale tu kama waliopita mkuu! Binafsi namuunga mkono Mkandara kuwa hii jumuiya kwetu hatuihitaji!! Tunapelekwa tu...tunataka kuwafurahisha watu...

Kwa hiyo na wewe unaingia katika mfumo ule ule, unatumia influence ya babayo na wengineo wanaokuzunguka upate tawi la kushika huku ukiangalia jinsi ya kuingia katika system!! Hakika wewe ni wale wale tu...
 
- ha! ha! ha! kumbe unaweza kujadili kama civilized humanbeing kulikoni? ha! ha! unataka tujadili maana kurithishana na uongozi wa Taifa wa Tanzania? are you serious?

- Sheria ipo wazi kila mwananchi wa Tanzania ana haki ya kugomeba uongozi wanaoamua ni chama chake na wananchi kwa kufuata katiba kama unafikiri kuwa na uwezo wa kuandika hapa JF ni njia ya kuwachafua usiwajua basi na wewe ni lazima chafuliwe, William humjui kama wengine wote walivyo hapa, wanaomjua wapo kimyaa wanaangalia, lakini mimi ninamjua na ninawajua wengi sana maadui zake hapa so wacha wamtukane na tuwajibu, nasema this time Mods wanstahili heshima sana maaan wewe ulikuwa unawaka kwa matusi, vipi sasa umepunguza matusi?

- Viva JF!

Es!

ooppss, people never change, what a grandiose...

I am always humble but honest to my opinion, i dont like patting people while i dont mean it, umesema ulijitoa kurisk life na kusaidia JF... well that doesnt warrant anything in leadership

Hapo kwenye green, in this very thread m/umesema wanomharibia William ni wanaomjua na wanakuja na fake names/IDs, sasa tena unasema wanaomjua wa wako kimya.... REALLY ???

ABOUT MATUSI... yapi sasa?? yanayoenda na ya kwako au ya matendo??? Mimi nasema ninachotaka, na yakiwa matusi nakula ban ikiisha tunaendelea... siji hapa kulalama na kuzushia watu mambo ya kijinga kama wewe
 
- William ana nyumba na shamba kubwa sana Kinyerezi, anakusanya pension za ubaharia na pansion toka kampuni ya Sterycicle aliyoifanyia kazi wka 23 years, ananishi Dar ahana gari hajawahi kuendesha gari la dada yake never! ha! ha! hadaiwi na anybody US infact anakuja huko May! ha! ha! ha! ha!

ES!
1

Mkuu wewe ni msemaji wa William au William ana pande mbili zilizo sawa?
 
- ha! ha! ha! kumbe unaweza kujadili kama civilized humanbeing kulikoni? ha! ha! unataka tujadili maana kurithishana na uongozi wa Taifa wa Tanzania? are you serious?

- Sheria ipo wazi kila mwananchi wa Tanzania ana haki ya kugomeba uongozi wanaoamua ni chama chake na wananchi kwa kufuata katiba kama unafikiri kuwa na uwezo wa kuandika hapa JF ni njia ya kuwachafua usiwajua basi na wewe ni lazima chafuliwe, William humjui kama wengine wote walivyo hapa, wanaomjua wapo kimyaa wanaangalia, lakini mimi ninamjua na ninawajua wengi sana maadui zake hapa so wacha wamtukane na tuwajibu, nasema this time Mods wanstahili heshima sana maaan wewe ulikuwa unawaka kwa matusi, vipi sasa umepunguza matusi?

- Viva JF!

Es!

@William, Field Marshall ES. & Company
Simple Advice: Wakuu hii ligi inaelekea pabaya. Wanaoumia siyo wasomaji wala William. Wanaoumia ni silent voices. Wanaoumia ni mke wa Wlliam, watoto wake pamoja na Familia yake. Kwa hiyo ili kutuliza haya yote inabidi unyamaze. Tafadhali. This is too much and too low Mkuu. Wisdom is of paramount importance than cleverness. It seem you guys are clever but not wise. If they are indeed talking about William, they will turn out to be clawns at the end of the day if no one is responding to their despicable insults and accusations. Please desist from making this bigger than it is.Do you think fuelling people to talk about his wife, child support etc helps? I must blame you Field Marshall ES, because you are not helping but making this worse....... Please stop. You are hurting Williams EX wife and Children. If you really love William or even care about him, the only way to shw that is to keep mum.

It is obvious you are William. Please Stop !
Asante sana
Ubarikiwe
 
@William, Field Marshall ES. & Company
Simple Advice: Wakuu hii ligi inaelekea pabaya. Wanaoumia siyo wasomaji wala William. Wanaoumia ni silent voices. Wanaoumia ni mke wa Wlliam, watoto wake pamoja na Familia yake. Kwa hiyo ili kutuliza haya yote inabidi unyamaze. Tafadhali. This is too much and too low Mkuu. Wisdom is of paramount importance than cleverness. It seem you guys are clever but not wise. If they are indeed talking about William, they will turn out to be clawns at the end of the day if no one is responding to their despicable insults and accusations. Please desist from making this bigger than it is.Do you think fuelling people to talk about his wife, child support etc helps? I must blame you Field Marshall ES, because you are not helping but making this worse....... Please stop. You are hurting Williams EX wife and Children. If you really love William or even care about him, the only way to shw that is to keep mum.

It is obvious you are William. Please Stop !
Asante sana
Ubarikiwe
Hii inaitwa HEKIMA....
 
@William, Field Marshall ES. & Company
Simple Advice: Wakuu hii ligi inaelekea pabaya. Wanaoumia siyo wasomaji wala William. Wanaoumia ni silent voices. Wanaoumia ni mke wa Wlliam, watoto wake pamoja na Familia yake. Kwa hiyo ili kutuliza haya yote inabidi unyamaze. Tafadhali. This is too much and too low Mkuu. Wisdom is of paramount importance than cleverness. It seem you guys are clever but not wise. If they are indeed talking about William, they will turn out to be clawns at the end of the day if no one is responding to their despicable insults and accusations. Please desist from making this bigger than it is.Do you think fuelling people to talk about his wife, child support etc helps? I must blame you Field Marshall ES, because you are not helping but making this worse....... Please stop. You are hurting Williams EX wife and Children. If you really love William or even care about him, the only way to shw that is to keep mum.

It is obvious you are William. Please Stop !
Asante sana
Ubarikiwe

- This time umekuja na wisdom, saafi saan ila keep it to yourself kwenye siasa ni maswali na majibu muuulize Salim maana ya kutokujibu, naomba ubaki na busara zako sizihitaji na wasalimie sana hukos!

Es!
 
Back
Top Bottom