William J. Malecela kugombea ubunge wa EAC

William J. Malecela kugombea ubunge wa EAC

Mkuu wewe ni msemaji wa William au William ana pande mbili zilizo sawa?

- Kwani wewe ni nani kwa William? si ungeanza na kujisema ndio uwe na right ya kuuliza wengine! ha! ha! ha

OK PEOPLE, SASA NINAOMBA KU-RETIRE, NITARUDIA TU KUONA KAMA HIII THREAD IPO ILI NITOE AHADI YANGE YA USD $ 100.00 KWA JF KUMKOMA NYANI GILADI; MCHANA KWEUPEEEEEEEsssssss!

MUCH RESPECT WATU WOTE!, I AM OUT OF HERE!, UNLESS OTHERWISE1

SALUTE TO MODS!

ES!
 
Achana na Nyani Ngabu ndio wale wale wanaouza maduka ya chupi za wanawake, hapa mpaka kieleweke mkuu.....
Mwisho wa siku hapa JF itajipatia $ 100, nawasiliana mods sasa hivi ili hii thread iwe "STICKY"

- wOOOORD! uP! THIS IS WASUUUUUUUP! SALUTE!

ES!
 
- This time umekuja na wisdom, saafi saan ila keep it to yourself kwenye siasa ni maswali na majibu muuulize Salim maana ya kutokujibu, naomba ubaki na busara zako sizihitaji na wasalimie sana hukos!

Es!
Kaka, mbona unatuangusha. Hauniangushi mimi, bali unaliangusha taifa zima. Unaangusha chama chako, unamuangusha, mkeo wanao pamoja na familia. Ni bor autabumbue kwamba unapigana na kivuli chako mwenyewe. Watu wanakuchora na wengi wataanza kujiuliza kuhusiana na afya yako hasa akili. Fanya hima mkuu haya mambo uachane nayo. hayana tija.

Jaribu kuweka mikakati ya kujijengea heshima katika jamii. Kwani ukinyamaza watakulazimisha kuongea. Najua una mengi moyoni na akilini, ila unavyozidi ugomvi mtandaoni ndivyo mengi mazuri uliyonayo yanavyozidi kupukutika. Unapojaribu kuwa kiongozi, unakuwa kioo cha jamii. Jioni wewe kama kioo ambacho vijana wengi wadogo humu wanatumia kujitazama mapungufu yako. Tafadhali hachana na huu upuuzi. Wengine tuna mengi na tumenyamaza hadi hapa ni vyema utafakari kwamba umefika mbali

Asante
Lumato
 
- Kwani wewe ni nani kwa William? si ungeanza na kujisema ndio uwe na right ya kuuliza wengine! ha! ha! ha

OK PEOPLE, SASA NINAOMBA KU-RETIRE, NITARUDIA TU KUONA KAMA HIII THREAD IPO ILI NITOE AHADI YANGE YA USD $ 100.00 KWA JF KUMKOMA NYANI GILADI; MCHANA KWEUPEEEEEEEsssssss!

MUCH RESPECT WATU WOTE!, I AM OUT OF HERE!, UNLESS OTHERWISE1

SALUTE TO MODS!

ES!
Bala is Always Here.............
 
Mr. William Malecela,
Kaka, mbona unatuangusha. Hauniangushi mimi, bali unaliangusha taifa zima. Unaangusha chama chako, unamuangusha, mkeo wanao pamoja na familia. Ni bor autabumbue kwamba unapigana na kivuli chako mwenyewe. Watu wanakuchora na wengi wataanza kujiuliza kuhusiana na afya yako hasa akili. Fanya hima mkuu haya mambo uachane nayo. hayana tija.

Jaribu kuweka mikakati ya kujijengea heshima katika jamii. Kwani ukinyamaza watakulazimisha kuongea. Najua una mengi moyoni na akilini, ila unavyozidi ugomvi mtandaoni ndivyo mengi mazuri uliyonayo yanavyozidi kupukutika. Unapojaribu kuwa kiongozi, unakuwa kioo cha jamii. Jioni wewe kama kioo ambacho vijana wengi wadogo humu wanatumia kujitazama mapungufu yako. Tafadhali hachana na huu upuuzi. Wengine tuna mengi na tumenyamaza hadi hapa ni vyema utafakari kwamba umefika mbali

Asante
Lumato
Achana naye huyo.......Ni sikio la kufa......

Hapo unapoteza muda wako tu mkuu wangu......
 
- This time umekuja na wisdom, saafi saan ila keep it to yourself kwenye siasa ni maswali na majibu muuulize Salim maana ya kutokujibu, naomba ubaki na busara zako sizihitaji na wasalimie sana hukos!

Es!

ES; Hupitwi, yaani ni lazima umalize livyako! Kama hii ilikuwa ni silent campaign uone jamvi/bodi linaonaje wewe kujitosa huko, si umeshaona! Mi nashangaa sana unavyojiita wewe ni mmoja wa wanakuja kuleta mabadiliko huko EAC, are you sure? Wewe unaleta nyimbo zile zile tu, sema midundo ndo tafwauti, maana hii tunasikia ooh sijui toka ubaharia mpaka sijui wapi, sijui nini nini tu...ali muradi unataka tukuone huku...

Suala la EAC linajuliakna, ni matatizo ya CCM na serikali yake. Sualal la mkataba mbovu wa EAC unaowafanya wakenya kuvamia maofisi Dar, si ni yale yale tu.. Sasa ni kipi unachotaka kuleta... Serikali iliyojaa ***** na ulegelege ndo imetufikisha hapa, and so mikataba ya madini, umeme, n.k. Baada ya hapo nyimbo wanazoimba utadhani si wao!

Mimi nalidhania umekuja na mazito..ya kufumua mfumo wetu, tuandike katika iliyo njema, wongalau tutengeneze something kwa vijana wetu! Naona yale yale tu..unataka uende, halafu utakuja na vijisababu vingi tu, kama unavyoona hapa, kana kwamba tunakupoiga majungu!!

Potezea mkuu..tunakauelewa siku hizi!!! Si umeona ndg. Malima alivyojaribu ktutpiga changa la macho kule Moro eeh...
 
- Kwa twakimu za EAC, inaonyesha some very diturbing numbers kwamba at-least wananchi wa EAC wapo kwenye level ya kipato cha USD $ 520 mothly, Tunaweza kufaidika kuingia kwenye Sarafu moja kama Tanzania tutajitahidi sana kuziba the gap ya exchange ambapo sasa hivi One Kenyan Shilling ni Shillingi 20 yetu, that is big of a gap talking about integrating Monetary, I mean between madini yetu na utalii, tunaweza kabisa kuzipa hiyo gap cause itakwua ni makosa makubwa sana kuingia kwenye Sarafu moja huku tupo chini in Currency exchange kwa sababu hiyo automatically inawapa the higher money value a command over you on what to do na not what to do na your ecominy ili uwafikie, kweli unaamini kuna taifa Duniani linaweza kukusaidia ulifikie? I mean tunahitaji utafiti wa hali ya juuu sana na wa kisayansi kabla ya ku-commit ourselves na Sarafu moja ya EAC
eS!

Mkuu, wakati wingine wanajadiri personal life ya the so called William na suitability yake katika ubunge mimi nabaki kukata issue, kwasababu ndio njia ya kujifunza.

Back to the issue: najaribu kukusoma juu ya hasara za kiuchumi ambazo nchi yenye maendeleo duni ya kiuchumi yanaweza kupata. Hapa mkuu sijaambulia kitu. Kiuchumi nchi yenye ela yenye thamani ya juu katika umoja ndiyo inayotakiwa iwe na hofu kwasababu ya kitu wachumi wanakiita "free rider", kwa maana kwamba ghafla bin Vuu purchasing power ya sh ya Uganda inakuwa sawa na ile ya Kenya, kwa hiyo Uganda anapata free ride from monetary union. In addition, Kenya atajikuta ela yake haina mvuto Tz na Uganda endapo ataingia kwenye monetary union. Hii ni moja ya hofu zilizoifanya GB ibakie na pound yake.

Ikumbukwe kwamba utifauti wa exchange rate hauna maana ya utofauti wa level ya kiuchumi. Hivyo ni vitu viwili tofauti. Umeongelea GDP per capita in the region, sasa sijui ulikuwa unamaanisha ndio utofauti wa levels za kiuchumi ambazo zitatufanya tupate hasara tukiwa na sarafu moja au vipi. Hapo sijakusoma, ila niseme kwamba faida za sarafu moja havitegemei wala kujali nchi husika zimeanza na usawa au utofauti gani kwenye GDP per capita zao.

In general sijui ni utofauti gani wa kiuchumi au kimaendeleo utatufanya Tz tusinufaike na sarafu moja. Nadharia kwamba ni lazima nchi zilingane kimaendeleo au kiuchumi ndipo monetary union iwe na faida kwa wote HAINA MSINGI WA KIUCHUMI.

Kama Tz hatupendi sarafu moja EAC itabidi tuje na sababu za kisiasa na sio kiuchumi. Na sababu tunayoweza kuitumia ni kwamba serikali inakuwa serikali tu endapo inakuwa na central bank na kudhibiti demand na supply ya fedha yake. Vilevile kisiasa fedha ni national identity ambayo itapotea tukiwa na sarafu moja; kisiasa serikali itakosa meno ya haraka ya kukabiliana na nguvu za demand na supply ya fedha na meno ya kukabiliana na social services za short terms ( ndio mfano wako Wa Greece unakuja hapa) ambazo kisiasa zinaweza zikapunguza reputation ya serikali.

Hitimisho: level za maendeleo ya kiuchumi hazitaifanya Tz ipate hasara kukiwa na sarafu moja EAC. Hakuna nadharia ya kiuchumi inayosema hivyo, if anything anayetakiwa kuogopa ni nchi Kama Kenya yenye safaru ya thamani ingawa hofu hii kiuchumi nayo haina mashiko. utofauti Wa exchange rate sio sawa na utofauti Wa GDP per capita na vyote hivyo havitakiwi viwe kwenye level moja ili monetary union iwe na faida. Hasara za sarafu moja ni za kisiasa kwa maana kwamba sarafu moja unapunguza nguvu ya serikali katika short term obligations; mfano, short term provision of social services. Unapunguza fiscal and monetary autonomy ya nchi na kwa nchi husika.
 
Hivi na wewe si ndio wale wale wajelajela wa Marekani? umetoka lini Lupango mkuu? pole kwa yaliokukuta......
nikupe ofa ya beer? nakuaj huko bongo this year..duh..kweli una kumbukumbu kweli kijana. vipi ile id yako ya zamani huitumii tena?
 
nikupe ofa ya beer? nakuaj huko bongo this year..duh..kweli una kumbukumbu kweli kijana. vipi ile id yako ya zamani huitumii tena?
Pesa za kuuza chupi kwenye duka la chupi za wanawake huko kwa wabeba mabox ni bora ukawasaidie ndugu zako kule kijijini, mimi nina trekta zangu 3 saafi zinaniingizia pesa tu huko mashambani na ndio maana nakuwa na muda wa kukaa hapa JF.
Mimi kama una offer ya kunipa labda uniambie twende nikakutoe ushamba kwenye hifadhi za saadan, na gari tutatumia la kwangu.
 
Pesa za kuuza chupi kwenye duka la chupi za wanawake huko kwa wabeba mabox ni bora ukawasaidie ndugu zako kule kijijini, mimi nina trekta zangu 3 saafi zinaniingizia pesa tu huko mashambani na ndio maana nakuwa na muda wa kukaa hapa JF.
Mimi kama una offer ya kunipa labda uniambie twende nikakutoe ushamba kwenye hifadhi za saadan, na gari tutatumia la kwangu.
wewe ,mla vumbi una matatizo kweli yani kwenda mbugani wewe ndio unafikiri unanitoa ushamba wakati mimi nimezaliwa mbugani hadi tembo tulikuwa tunawapa majina tunawaita wanaitika. we jamaa kiazi kweli yaani,watu tumeshafanya kazi hadi kwenye machimbo kila sehemu wewe sijui utaniambia nini hapo Tanzania. kubali ofa ndugu yangu kama unaogopa kukutana na mimi naweza hata nikakutoa za madafu ukapige balance to perfection yako moja moto moja baridi.upo?
 
Kaka, mbona unatuangusha. Hauniangushi mimi, bali unaliangusha taifa zima. Unaangusha chama chako, unamuangusha, mkeo wanao pamoja na familia. Ni bor autabumbue kwamba unapigana na kivuli chako mwenyewe. Watu wanakuchora na wengi wataanza kujiuliza kuhusiana na afya yako hasa akili. Fanya hima mkuu haya mambo uachane nayo. hayana tija.

Jaribu kuweka mikakati ya kujijengea heshima katika jamii. Kwani ukinyamaza watakulazimisha kuongea. Najua una mengi moyoni na akilini, ila unavyozidi ugomvi mtandaoni ndivyo mengi mazuri uliyonayo yanavyozidi kupukutika. Unapojaribu kuwa kiongozi, unakuwa kioo cha jamii. Jioni wewe kama kioo ambacho vijana wengi wadogo humu wanatumia kujitazama mapungufu yako. Tafadhali hachana na huu upuuzi. Wengine tuna mengi na tumenyamaza hadi hapa ni vyema utafakari kwamba umefika mbali

Asante
Lumato
Hapo hakuna kioo cha jamii wala familia....
 
Back
Top Bottom