- Alikuta mambo magumu na huu ni Mwaka 2012 kuna Miaka 3 zaidi kufikia 2015 ni mingi sana kwenye siasa, anything can happen, kutembelea jimbo sio kugombea jimbo, ni mpaka mgombea atangaze ndio ina make a sense kumjadili mgombea! Uwe na amani sana bro, 2015 ni bado mbaaali sana a lot can happen! Usijiaminishe kihivyo cause hujui kinachoendelea ingawa unafikiri unajua!
- JF ninasema tujifunze ku-support another JF anapogombea nafasi za uongozi wa Taifa, akiingia ni plus kwa JF nzima najua tuna tofauti zetu za itikadi, lakini ifike pahali tujali Taifa kwanza, badala ya personalities na majina au Chama ndio maana ninasema Mh. Leticia ni jasiri sana na anahitaji heshima sana!
FMeS!