William J. Malecela kugombea ubunge wa EAC

William J. Malecela kugombea ubunge wa EAC

Huu ni upotoshaji na ni aibu kwa mtu anayetaka ofisi kubwa kuwa mtu wa uongo na majungu kiasi hiki, bilicanas is just a club, na SIYO Casino.

Futa kauli yako.

umeona Eenh ! Huyu William ni Muhuni wa aina ya pekee , hafai , hafai , hafai hata kurumangia kwa Mlenda . Tema tupa kule Mtera kambale wakale
 
Sina la kuchangia lakini nimefurahi kuwaona hawa watu jukwaani
FMES
Mwanzage
Gembe
Mgonjwa wa ukimwi
 
"Wazee wa sauti za umeme" Siku nyingi mzee...! Pamoja na watu kukushambulia kwa hoja na viroja, na wengine dharau bila sababu za msingi, utabaki kuwa mtu wa kukumbukwa sana katika jf haswa enzi zile za kuchokonoa ufisadi uliokuwa underground IPTL n.k.
 
Sina hakika kama kweli mwenyewe katangaza nia...

Wengi mnaongea kutoridhishwa kwenu na bwana Malecela lakini hamna hata mmoja aliyekuja na mifano hai ya kuonesha kwamba huyu bwana hawezi kutuwakilisha. Hitimisho langu ni kwamba hamna zaidi ya majungu, chuki na wivu ndio vimewajaa. Kama mnaona hafai basi na nyie kachukueni fomu.
 
Nimewafahamisha mods tayari matatizo Yako ya abuse so subiri rungs an sina Munda an nonsense Kama hizi

Es

hahaah unaomba msaada ! Najua hata wakiniblock ukweli utabaki kuwa wewe ni muhuni wa bei Rahisi.

Hufai kabisa William . . . . Naumia watu dhaifu kama wewe hata kutamani Ubunge , nchi imekufa hii.

Tupa Mtera akaliwe na Perege.
 
"Wazee wa sauti za umeme" Siku nyingi mzee...! Pamoja na watu kukushambulia kwa hoja na viroja, na wengine dharau bila sababu za msingi, utabaki kuwa mtu wa kukumbukwa sana katika jf haswa enzi zile za kuchokonoa ufisadi uliokuwa underground IPTL n.k.

kwenye hilo simpingi William , lakini Uongozi anapwaya sana.
 
umeona Eenh ! Huyu William ni Muhuni wa aina ya pekee , hafai , hafai , hafai hata kurumangia kwa Mlenda . Tema tupa kule Mtera kambale wakale

Inaelekea mods wanakuogopa sana maana so far umevunja Sheria za jf lakini bado tu haya mkuu mshindi wa matusi na kuspeculate I'd za members wengine



Es
 
Sina hakika kama kweli mwenyewe katangaza nia...

Wengi mnaongea kutoridhishwa kwenu na bwana Malecela lakini hamna hata mmoja aliyekuja na mifano hai ya kuonesha kwamba huyu bwana hawezi kutuwakilisha. Hitimisho langu ni kwamba hamna zaidi ya majungu, chuki na wivu ndio vimewajaa. Kama mnaona hafai basi na nyie kachukueni fomu.


Anayeongea ni Mtu mmoja a tu anafahamika sana ila the future is brighter sana so let him cry for nothing


Es
 
"Wazee wa sauti za umeme" Siku nyingi mzee...! Pamoja na watu kukushambulia kwa hoja na viroja, na wengine dharau bila sababu za msingi, utabaki kuwa mtu wa kukumbukwa sana katika jf haswa enzi zile za kuchokonoa ufisadi uliokuwa underground IPTL n.k.

Ndio mañana sasa no muhimu kuyaingiza mapambano Huko Huko ndani



Es
 
Sina hakika kama kweli mwenyewe katangaza nia...

Wengi mnaongea kutoridhishwa kwenu na bwana Malecela lakini hamna hata mmoja aliyekuja na mifano hai ya kuonesha kwamba huyu bwana hawezi kutuwakilisha. Hitimisho langu ni kwamba hamna zaidi ya majungu, chuki na wivu ndio vimewajaa. Kama mnaona hafai basi na nyie kachukueni fomu.

Harlem

Today 14:02

Senior Member
Join Date : 12th March 2012

Posts : 65

Rep Power :314

Likes Received
5
Likes Given
6



Mutuz nimetulia tu hapa St. Joseph nakula upepo wa baharia.

Sr.
 
Unahangaika tu ungewataja kwanza wannao fit yr bill pale ngoma nzito umekwama

Es
haya mkuu all the best

ndio yaleyale, jamaa wanapeleka intellectuals sisi tunapelekea wazibua mitaro

My bill
  1. elimu nzuri ya uraia, sheria, uchumi na diplomasia
  2. upeo wa juu wa global trend katika huduma za jamii
  3. mifumo
  4. uwezo wa kujieleza na kupambanua sio jitu la ku-guess-guess watu humu JF, kuzusha habari za kisiasa na kubwabwaja kijinga
  5. a man/woman with a track record... sio number of posts za humu JF
 
ujinga ndio huu unalalama navunja kanuni wakati unabeba nafsi ya kwanza kwenye maelezo yako , anazungumziwa William , unakuja kwa nafsi ya Willy kujibu maswali.
Umesoma wapi shule , Huelewi, hueleweki, hutoshi wala hujai.
Kilaza huyo.... anaenda kututia aibu tu
 
ujinga ndio huu unalalama navunja kanuni wakati unabeba nafsi ya kwanza kwenye maelezo yako , anazungumziwa William , unakuja kwa nafsi ya Willy kujibu maswali.
Umesoma wapi shule , Huelewi, hueleweki, hutoshi wala hujai.

Ni Wakati wa jf kuingia ndani Kwenye mapambano William Kama anhinga in jf so! Haijustify wewe kuspeculate I'd za member wengine hapa

Na Ilove this cause in clear huna ishu ila una chuki na wivu wa kufukuzwa Facebook pole sana ila jf huwa Tunaishi kea Sheria so

Es
 
haya mkuu all the best

ndio yaleyale, jamaa wanapeleka intellectuals sisi tunapelekea wazibua mitaro

My bill
  1. elimu nzuri ya uraia, sheria, uchumi na diplomasia
  2. upeo wa juu wa global trend katika huduma za jamii
  3. mifumo
  4. uwezo wa kujieleza na kupambanua sio jitu la ku-guess-guess watu humu JF, kuzusha habari za kisiasa na kubwabwaja kijinga
  5. a man/woman with a track record... sio number of posts za humu JF


Vyema sana ila msubiri jamaa Akitaka ushauri wako au










Es
 
Back
Top Bottom