William J. Malecela kugombea ubunge wa EAC

William J. Malecela kugombea ubunge wa EAC

mkuu wangu tupambane kwa hoja! hii lugha umetumia tena dhidi ya member ambaye wengi tunamuheshimu hapa haipendezi kwa mtu mstaarabu na mungwana!

natumia simu ningekugongea like.!
 
Bob......

Sidhani kama mtu kuhoji uwezo wa the so called WJM ni UNAFIKI....

Kumbuka nafasi inayodaiwa anataka kuigombea ni ya Uwakilishi wa nchi,Tanzania katika EALA......Akishinda atawawakilisha wananchi wa Tanzania,hivyo wananchi wa Tanzania wana haki ya kuhoji uwezo na sifa za huyo bwana WJM.....

Kama unamfahamu vizuri huyu bwana ni vema ukatueleza sifa zake(kiuongozi) zaidi ya kuwa BAHARIA.....Mbunge wa EALA ni zaidi ya Mbunge wa JMT..Hivyo anatakiwa ntu mwenye uwezo na sifa za kutetea maslahi ya Tanzania katika Jumuia ya Afrika Mashariki na si chekibobu wa aina yeyote ambaye hajawahi kuwa hata kiongozi wa mtaa zaidi ya porojo tu za JF na Facebook......Ubunge wa EAC ni zaidi ya kuishi na kuendesha gari US.....

Pia ni vema Mhishimiwa Mbunge Mtarajiwa akajibu tuhuma za kukimbia malezi ya watoto wake US......Maana kama ni kweli alikimbia Child support US basi atakuwa hafai kabisa kutuwakilisha EAC maana kama ameshindwa kuihudumia/kuiongoza familia yake atawezaje kuwa kiongozi mzuri wa Taifa letu hili changa?.....

Ni mtazamo tu.....

Bala.
Sio swala la kuhoji ila naowazungumzia wanajijua na wewe unaingilia ushabiki usioujua. Kumpinga William ni jambo la kawaida wala sijasema ndiye anafaa kuliko wote. Balozi huchaguliwa na sii maamuzi ya mzee Malecela wala Nape isipokuwa nafasi hii hugombewa na watu wengi tu. Hivyo mtu yeyote hapa JF au nje anaweza kugombea na badala ya sisi kumpa moyo ndio kwanza watu wanakuja na matusi kwa sababu tu hawampendi William na siku za nyuma walijifanya marafiki sana wa karibu. Kama sii Unafiki kitu gani?
 
Sio swala la kuhoji ila naowazungumzia wanajijua na wewe unaingilia ushabiki usioujua. Kumpinga William ni jambo la kawaida wala sijasema ndiye anafaa kuliko wote. Balozi huchaguliwa na sii maamuzi ya mzee Malecela wala Nape isipokuwa nafasi hii hugombewa na watu wengi tu. Hivyo mtu yeyote hapa JF au nje anaweza kugombea na badala ya sisi kumpa moyo ndio kwanza watu wanakuja na matusi kwa sababu tu hawampendi William na siku za nyuma walijifanya marafiki sana wa karibu. Kama sii Unafiki kitu gani?
Ninajua ninachokiandika na wala sijakurupuka na na kuingilia kishabiki kama unavyodai....

Siwezi kumpa Moyo mtu aisye na SIFA wala UWEZO wa kuongoza kama WJM....Huo utakuwa nni uanfiki mkuu wangu....

Hivi kuna mtu bingwa wa Matusi JF zaidi ya WJM na pacha wake?....Hawa jamaa mara nyingi wakizidiwa/wakibanwa kwa hoja wanaanza kuporomosha matusi na vitisho bin viroja....

William hana sifa za kuwa Mbunge wa EAC......Ukweli ndio huo japo unauma
 
Ninajua ninachokiandika na wala sijakurupuka na na kuingilia kishabiki kama unavyodai....

Siwezi kumpa Moyo mtu aisye na SIFA wala UWEZO wa kuongoza kama WJM....Huo utakuwa nni uanfiki mkuu wangu....

Hivi kuna mtu bingwa wa Matusi JF zaidi ya WJM na pacha wake?....Hawa jamaa mara nyingi wakizidiwa/wakibanwa kwa hoja wanaanza kuporomosha matusi na vitisho bin viroja....

William hana sifa za kuwa Mbunge wa EAC......Ukweli ndio huo japo unauma
Well, nambie sifa za mgombea Ubalozi wa EAC. Halafu tuendelee na mjadala. Kuhusu matusi, bila shaka mnamfuata yeye William na sio issue inayozungumziwa. Kuna mtu mnamtukana hapa JF hadi baba na mama yake kama William, hali mkitumia majina bandia?.. Kwa nini umtukane mtu na baba yake hapa JF wakati tunazungumzia issues. Babake anaingia vipi halafu mnategemea yeye afanye nini? mnaweka hadi picha zake na familia hii kweli haki?..sijasema wewe unafanya hivyo ila najibu hoja yako hapo juu.
 
Nimependa huu mjadala, I wish na wakuu wetu wangekuwa wakikaa mezani wana brain storm mambo haya.

Jamani hili swala la ajira lazima tuwe macho, tunasema hapa tanzania hamna kazi lakini nendeni Nairobi muone Moi avenue watu wanavyopigana vikumbo na bahasha za khaki. Na kubwa zaidi wakenya wanaamini sisi hatuna akili. Vijana wetu sisi wanamaliza chuo kikuu hawana hata moja kichwani.

Tukifungua mpaka wajameni mwekezaji akiwa na option ya kumchukua mkenya au mtanzania atachukua mkikuyu! Hata kama si kwa uwezo basi itakuwa kwa uwezo wa kujieleza.
Bahati mbaya mi nimefanya kazi na wakenya,hawana tofauti na wahindi kwa tabia ya kujipendekeza kwa big boss ili wewe uonekane mbaya na yeye alambe ujiko.

Mbaya zaidi sisi watanzania hatupo aggressive usinambie kwamba kuna mtanzania ataenda kuomba kazi Nairobi au Kisumu hata kama soko la ajira litafunguliwa.jamani tuacha longo huu mjadala mpana mi nikifikiria consequence za hii kitu hadi mwili unanisisimka.sema ndo hatuna jinsi tunaingia bora tujipange ingawa tumeshachelewa.
 
Well, nambie sifa za mgombea Ubalozi wa EAC. Halafu tuendelee na mjadala. Kuhusu matusi, bila shaka mnamfuata yeye William na sio issue inayozungumziwa. Kuna mtu mnamtukana hapa JF hadi baba na mama yake kama William, hali mkitumia majina bandia?.. Kwa nini umtukane mtu na baba yake hapa JF wakati tunazungumzia issues. Babake anaingia vipi halafu mnategemea yeye afanye nini? mnaweka hadi picha zake na familia hii kweli haki?..sijasema wewe unafanya hivyo ila najibu hoja yako hapo juu.
Bob......

Sio Ubalozi ni Ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki.....

Mimi situmii jina bandia kama unavyonijumuisha na hao wengine....Blantanda ni jina langu halisi la Kisukuma..Na si mmojawapo wa wanaomtukana WJM kama unavyodai na wala sijawahi kumtukana baba yake wala mama yake(simfahamu mama yake William)......Kwa suala la Picha nadhani ni William mwenyewe ndio aliingia JF kwa gia ya kuweka picha zake(angalia thread ya kwanza na ya pili ya William ndani ya JF)....

Kwa suala la sifa anazokosa William.......Sina haja ya kuzitaja maana zimetajwa nyingi sana kwenye thread hii na thread nyingine......Sina haja ya kurudia ila ukweli utabaki palepale kwamba WJM hana SIFA na Uwezo wa kuwa Mbunge wa EAC.....

Naomba kwa leo niishie hapa......Siku njema..

Bala.
 
Bob......

Sio Ubalozi ni Ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki.....

Mimi situmii jina bandia kama unavyonijumuisha na hao wengine....Blantanda ni jina langu halisi la Kisukuma..Na si mmojawapo wa wanaomtukana WJM kama unavyodai na wala sijawahi kumtukana baba yake wala mama yake(simfahamu mama yake William)......Kwa suala la Picha nadhani ni William mwenyewe ndio aliingia JF kwa gia ya kuweka picha zake(angalia thread ya kwanza na ya pili ya William ndani ya JF)....

Kwa suala la sifa anazokosa William.......Sina haja ya kuzitaja maana zimetajwa nyingi sana kwenye thread hii na thread nyingine......Sina haja ya kurudia ila ukweli utabaki palepale kwamba WJM hana SIFA na Uwezo wa kuwa Mbunge wa EAC.....

Naomba kwa leo niishie hapa......Siku njema..

Bala.
Mkuu wangu samahani sijakusudia kusema wewe napotumia Ujumla wa watu kwa sababu it's him against the world..William hakuziweka picha zake na familia hapa JF, na nililisema hilo toka siku picha hizo zimewekwa. Mbunge au balozi kwangu ni yale yale tu utaratibu wake wa kumpata mwakiloishi haupishani. Mtu yeyote mwenye akili timamu na mwenye kujiamini anaweza kugombea na anaruhusiwa kugombea na hata kujiuza kwa watu - ni haki yake ya msingi. Humpendi achana naye mpigie mtu unayemkubali lakini sio kumkana mtu kwamba hafai hata kugombea. Maadam huna sifa wala hutaki kuzitaja basi ungekaa kimya kama unavyoshindwa kutaja sifa hizo maana huna unachotetea.

Unajua huu unafiki wa watu hapa JF umefikia mahala pabaya sana, na hasa sisi Watanzania. Mimi nawatazama tu, maana alikuwepo hapa Marehamu Regia Mtema walikuwa wakimtukana kama sii mbunge wengine wakibeza hata Ulemavu wake, siku alokufa ndio wooote wamegeuka na kumwita HERO wengine wakijiweka mbele mbele kumtukuza. Huu ni unafiki mkuu wangu hautakiwi na tujifunze kuwa wa kweli.
 
Harlem said:
Mbaya zaidi sisi watanzania hatupo aggressive usinambie kwamba kuna mtanzania ataenda kuomba kazi Nairobi au Kisumu hata kama soko la ajira litafunguliwa.jamani tuacha longo huu mjadala mpana mi nikifikiria consequence za hii kitu hadi mwili unanisisimka.sema ndo hatuna jinsi tunaingia bora tujipange ingawa tumeshachelewa.

Harlem,

..siyo kweli kwamba wa-Tanzania hawako aggressive kwenda kutafuta opportunities Kenya.

..mimi nawafahamu wa-Tanzania walikuwa wanakwenda Kenya kibiashara tangu miaka ya 80. yaani wakati huo hata mahusiano ya serikali za Kenya na Tanzania hayakuwa mazuri.

..pia wa-Tanzania wengi tu wamesambaa maeneo mbalimbali kama Ulaya,Marekani,na Asia. Sasa hii notion kwamba wa-Tanzania siyo aggressive kutafuta opportunities nje ya mipaka ya nchi yao sijui inatokea wapi.

..wa-Kenya wengi unaowaona ktk soko la ajira la Tanzania ni kutokana na makampuni ya Kenya yaliyowekeza Tanzania. Kumbuka kwamba makampuni ya Kenya yanashika nafasi ya pili ktk ku-invest Tanzania sasa hivi.

..Kama kungekuwa hakuna makampuni ya Kenya yanayowekeza hapa usingeona hao wa-Kenya ktk ardhi ya Tanzania. labda nikuulize, kabla ya hii community uliwahi kumuona Mkenya anafanya kazi Tanzania??

..It would have helped kama tungekuwa na makampuni makubwa ambayo yanaweza ku-expand shughuli zake kwenda Kenya,Uganda,Rwanda, and beyond. Tatizo ni kwamba makampuni yetu mengi, kutokana na historia yetu ya uchumi wa kijamaa, hayajafikia ukwasi wa kuweza kuvuka nje ya mipaka ya Tanzania.

..zaidi kama wawekezaji wanakimbilia Tanzania wakitokea Kenya, kwanini wafanyakazi waende kinyume na trend hiyo? Kwanini job seekers[tanzanians in particular] wasibakie hukuhuku Tanzania ambako ndipo investors wanapakimbilia?

..mimi nadhani badala ya kuwa-demonize wa-Tanzania tujielekeze ktk kuwawezesha waweze kupata kazi hapa hapa ktk ardhi yao. Zaidi waajiri toka Kenya wamekuwa wagumu kuajiri wahitimu toka vyuo vyetu ya elimu ya juu. WHY??
 
Jokakuu,
Pia sheria ya kuzuia haya mashirika kuja na wafanyakazi wao ingefuatwa (kama ipo) lakini tulichokijenga ktk EAC tayari ni donda kwa uchumi wetu. Kenya wamerudisha nguvu yao kubwa walokuwa nayo toka Ukoloni kiuchumi tukafanya kosa kubwa kuruhusu ajira wanaweza kuingia tukisahau kwamba ni hulka ya binadamu wote kuajiri watu wa kwao kwanza.

Mifano tunayo hapa hapa nyumbani na hata nje. Badala ya kulinda ajira zetu tukawapa na mwanya wa kuajiri watu wao. Sii Wachina, Wazungu, Wathailand na wageni wote waliokuja nchini hupeana wao nafasi kwanza kabla ya kumfikiria Mtanzania. Na hakuna kitu elimu kuzidiana zaidi ya Ujuzi maana Mtanzania anapokosa nafasi ya ajira hukosa kikubwa zaidi nafasi ya kujenga ujuzi..
 
....Hivi na huu mradi uliishia wapi?...

https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/35559-tangazo-maalum-mradi-wa-kazi-majuu.html

....So nchi yenye watu Million 40, kumtuma mtu mwenye fikra laini hivi kuwa Mwakilishi wetu EAC??? i doubt....
Mkuu mbunge ni mwakilishi hayatoi maswala kichwani mwake.. Mkimtuma akazuia uhamiaji atafanya hivyo na kutetea kwa sababu mlizompa isipokuwa kinachotakiwa ni uwezo wa kujieleza na kuwakilisha. Ukimpelekea Lipumba ilihali tunafungua mipaka na ardhi, ajira sio issue yeye atasaidia nini. Mbona Wabunge wetu wasomi sana na wazungumziaji wakubwa ndio hulala bungeni na vijana wadogo tu kina Zitto, January, Kafulila, Halima Mdee huwaendesha hao wagumu bungeni. Ni kipimo gani kilichotumika?
 
Mkuu mbunge ni mwakilishi hayatoi maswala kichwani mwake.. Mkimtuma akazuia uhamiaji atafanya hivyo na kutetea kwa sababu mlizompa isipokuwa kinachotakiwa ni uwezo wa kujieleza na kuwakilisha. Ukimpelekea Lipumba ilihali tunafungua mipaka na ardhi, ajira sio issue yeye atasaidia nini. Mbona Wabunge wetu wasomi sana na wazungumziaji wakubwa ndio hulala bungeni na vijana wadogo tu kina Zitto, January, Kafulila, Halima Mdee huwaendesha hao wagumu bungeni. Ni kipimo gani kilichotumika?

...Sitaki kuamini kuwa tunaweza kulipeleka "robot" lituwakilishe eti kwa sababu tuta-li-programe sequence za actions zote litakalokutana nazo in advance tena katika mazingira very dynamic, beware kuwa kwenye issue ya mahusiano au mijadala, Bunge la EAC likiwepo, pamoja na sera na dira ya nchi, ni lazima uwezo na ukomavu wa kifikra wa mwakilishi uzingatiwe, unless kama tunamchangia mtu kwenda kufanya utalii...
 
Jokakuu,
Pia sheria ya kuzuia haya mashirika kuja na wafanyakazi wao ingefuatwa (kama ipo) lakini tulichokijenga ktk EAC tayari ni donda kwa uchumi wetu. Kenya wamerudisha nguvu yao kubwa walokuwa nayo toka Ukoloni kiuchumi tukafanya kosa kubwa kuruhusu ajira wanaweza kuingia tukisahau kwamba ni hulka ya binadamu wote kuajiri watu wa kwao kwanza.

Mifano tunayo hapa hapa nyumbani na hata nje. Badala ya kulinda ajira zetu tukawapa na mwanya wa kuajiri watu wao. Sii Wachina, Wazungu, Wathailand na wageni wote waliokuja nchini hupeana wao nafasi kwanza kabla ya kumfikiria Mtanzania. Na hakuna kitu elimu kuzidiana zaidi ya Ujuzi maana Mtanzania anapokosa nafasi ya ajira hukosa kikubwa zaidi nafasi ya kujenga ujuzi..

Mkandara,

..tumewaachia hawa wawekezaji wafanye wanavyotaka.

..majuzi nilisikia muwekezaji wa kiwanda cha cement toka Kenya akilalamika ati wahitimu wa vyuo vikuu vya TZ hawajui kuendesha mitambo yake ya uzalishaji. Kwa msingi huo amelazimika kuajiri wa-Kenya.

..kwa maoni yangu mwekezaji mwenye mawazo kama hayo hana nia ya ku-train wa-Tanzania. zaidi, visingizio vya aina hiyo nimevisikia zaidi toka kwa wawekezaji toka Kenya na India.

..wawekezaji hawapo hapa nchini kuzalisha na kulipa kodi tu, bali na kutoa ajira kwa wa-Tanzania.

..kama kuna kitu ambacho wa-Tanzania hatuko aggressive basi ni ktk kuhakikisha kwamba maslahi ya nchi hii na watu wake yanalindwa. tuhakikishe kwamba sheria za ajira zinafuatwa. pia tuboreshe mitaala ya elimu ya juu ili wahitimu wetu wawe more competitive ktk soko la ajira.
 
...Sitaki kuamini kuwa tunaweza kupeleka robut tu kwa sababu eti tuta-programe ina advance sequence the action zote itakazokutana nazo, beware kwenye issue ya mahusiano au mijadala, Bunge la EAC likiwepo, pamoja na sera na dira ya nchi, ni lazima uwezo na ukomavu wa kifikra wa mhusika uzingatiwe, unless kama tunamchangia mtu kwenda kufanya utalii...
Nakubaliana na wewe sana tu. Kumpeleka mtu na kugombea haya ni maswala mawili tofauti.. ila nataka unipe kipimo gani unachotumia kabla ya kumchagua mtu huyo. Kwa nfano, lLeo hii kuna mbunge wa CCM na Chadema wanagombea huko Arumeru nambie wewe sababu inayomfanya mtu yeyote aonekane hafai hata kugombea Ubunge huo?..
 
Mkandara,

..tumewaachia hawa wawekezaji wafanye wanavyotaka.

..majuzi nilisikia muwekezaji wa kiwanda cha cement toka Kenya akilalamika ati wahitimu wa vyuo vikuu vya TZ hawajui kuendesha mitambo yake ya uzalishaji. Kwa msingi huo amelazimika kuajiri wa-Kenya.

..kwa maoni yangu mwekezaji mwenye mawazo kama hayo hana nia ya ku-train wa-Tanzania. zaidi, visingizio vya aina hiyo nimevisikia zaidi toka kwa wawekezaji toka Kenya na India.

..wawekezaji hawapo hapa nchini kuzalisha na kulipa kodi tu, bali na kutoa ajira kwa wa-Tanzania.

..kama kuna kitu ambacho wa-Tanzania hatuko aggressive basi ni ktk kuhakikisha kwamba maslahi ya nchi hii na watu wake yanalindwa. tuhakikishe kwamba sheria za ajira zinafuatwa. pia tuboreshe mitaala ya elimu ya juu ili wahitimu wetu wawe more competitive ktk soko la ajira.
Na yawezekaa hii kuwa sababu ya nchi zetu kutoendelea maana nijuavyo mimi nimeendesha mashine za kila aina kwa kujifunza huku huku majuu. Hizi fikra za kwamba mtu anatakiwa kuwa na Phd ili kuendesha mashine au kuwakilisha ndizo zionazotukwamisha sana. Na mara zote CEO au waziri hapimwi kwa elimu bali ujuzi wake wa kuongoza Leadership.. Sisi ndio kwanza tunataza CV..

Nimefanya kazi nyingi sana na hata Uhasibu bila kuonyesha cheti changu bali ktk Interview walinipa mtihani unaohusiana na elimu yenyewe nikafanya na kushinda. Huwezi kumpima mtu kwa cheti hata kidogo wakati vyeti siku hizi vinachapishwa na hata huwezi kupata uhakiki wake. Na unaenda sehemu na elimu yako wanakutupa nje wanakuuliza kama UJUZI (experience) tena basi zipo experience hadi za nchini humo, kama ulifanya kazi hiyo UK haihesabiki kama ni sifa ila nchini wenyewe wanasema Canadian experience. Na ukienda na vyeti sijui hayo ma Phd, rahisi kuambiwa you're over qualified na ukanyimwa kazi...kwa mfano huu, Lipumba na Kitila are over qualified.. Haaa haa haa!
 
Kabla huyu Mhishimiwa(WJM) hajatangaza nia ya kugombea Ubunge wa EAC aje jibu tuhuma za kukimbia Child support US...

Siku zote amekuwa akiulizwa suala hili anashindwa kujibu kwa hoja na badala yake anaanza kujibu matusi na maneno ya kashfa....

- Balatanda uwe na aibu kidogo mtumzima, William ameachana na mkewe miaka miwili na nusu iliyopita, je ni wewe ulikwua unawalisha watoto wake? Au wewe ni mke wake William? ha1 ha! ha! unachojua ni nini hasa kuhusu ndoa na watoto wa William? William amejenga nyumba Tanzania kule Kinyerezi ili uje wewe mkewe uishi au yeye? Hivi aliwahi kukwambia kwamba anakwenda US kutafuta maisha na siku atakayorudi?

- Je ni wewe unayewalisha watoto wake sasa? I mean mtu amefanya kazi Ubaharia 6 years Europe aka-retire, na sasa amefanya kazi 23 years US ame-retire, unasema wewe ndiye unaye-handle mambo yake kwamba unajua namna watoto wake na his ex wanavyokula? Mbona unashuka chini sana bro na hizo chuki? Tunajua William alikwua rafiki sana na mkeo ndio wivu wako unakuumiza na kuja hapa kumchafua huku huna facts, unless wewe ni mke wa Willliam!

- Sasa hivi Baba yake William yupo New York na watoto wapo naye Hotelini, so much kwa mtu aliyekimbia watoto wake, wacha maneno ya kike hayo wewe ni mwanaume mtumzima sana, kama huji ul;iza umeshupalia sana hizi habari as if una ukweli, Balatanda ni aibu kwa mwanaume kama wewe kurusha rusha maneno usiyo na uhakika nayo hujui William alipoondoika amewaachia watoto wake hela ngapi na sasa anawatumia hela ngapi kama wewe ni mke wake sema hapa kama William hasaidii watoto wake? POLE SANA MKUU!
HESHIMA MBELE SANA BALATANDA!

FMES!
 
wanaokosa Hawana Wivu , ila wanajitahidi kuliepusha taifa na watu duni kifikra , watu duni kiuongozi, watu duni Kielimu,
watu duni kijamii

- Chuki na Wivu huonyeshwa na maneno ya binadam na pia ustaarabu wa binadam huonyeshw ana maneno yake mwenyewe, karibu sana mkuu wangu ila ya facebook mngeyaacha kule kule!

Es!
 
Mkuu hapa kama vile nakusoma kuwa unakiri kuwa wewe ni William?anyway sorry kama nimekusoma vibaya,endelea kukata issue

- Chakaza mengine ni common sense zaidi, kwamba Willam JF member akiingia huko ndani ni wote JF tumeingia, ha! ha! ha! ha! naona double standards zetu kama kawaida! lakini tutabanana tu mpaka kieleweks!

Es!
 
To Mkandara

to be honest william fits into local politics, coz he is brought up to it

he doesnt fit to any quality of my EAF member need a person who is articulated well with
  1. education priorities, challenges and politics around our region
  2. infrastructure and regional integration logistically
  3. natural resources that is hurting our vision of integration
  4. tourism and hospitality industry (we are doomed for now na waziri zero0
  5. health care system (regulatory issues on pharmaceuticals, benchmarking services packages etc)
  6. economic integration (factors, tools, performance indicators)
  7. understanding of local dynamics - he cant
  8. a person who know legislative, legal system, social integration tactics and the best communication skills let alone a well brought up candidate

moreover, we need a persona who is well manaered and balanced sio wa kuulizwa swali dogo na kuanza kusema oooh nakujua babako ni fulani umeona cha moto jana etc.....

In short Willy fails miserably in almost every aspect except being a JF member... he could do better in our bunge because even chiku abwao na sofia simba ni wabunge but he lacks all the other vital qualities
 
Kabla huyu Mhishimiwa(WJM) hajatangaza nia ya kugombea Ubunge wa EAC aje jibu tuhuma za kukimbia Child support US...

Siku zote amekuwa akiulizwa suala hili anashindwa kujibu kwa hoja na badala yake anaanza kujibu matusi na maneno ya kashfa....

- Hajawahi kushindwa kujibu ila wewe ndiye huna facts wala evidence za ku-prove uongo wako mtumzima, ongea kama mwanaume na uweke ukweli hapa maneno maneno ya majungu kwa sababu William ni rafiki wa karibu wa mkeo, fitina chuki mapaka kidogo umfukuzishe kazi mkeo, miezi sita amesiamishwa kazi kwa sababu za chuki zako na wivu wa kijinga I mean bosi kamuita kazini Jumamosi wewe unataka kwenda kupigana na bosi ndio tabia zako na zipo hapa very clear na mawivu na machuki ya kijinga sana kazi kuropoka ropoka mara kujiiita hivi mara vile mtu mjinga bana, kichwa kikubwa lakini ndani mawe kama anavyosema mke wako all the times! ha! ha1 ha!

- Mtumzima miaka 25 Majuu hata kibando tu cha chumba kimoja huna kazi miparty tu kila siku, sasa wewe utajilinganisha na William, Shamba Eka tano Kinyerezina nyumba ya ajabu, sasa amerudi kula jasho lake wewe unalia lia hapa na kumtukana si wewe mwenyewe ulie ndekza starehe na maparty kila siku, kwenu huko tunasikia ni waya wa ajaabu wewe kujifanya fanya na maparty kujishaua shaua, jaribu kurudi bongo kama hukufa, unafikiri bongo ni mchezo mtaishia huko huko kuuuza nguo za wanawake dukani mwanaume mzima, mwanaume mzima kuioshi kutegema mshara wa mke ha! ha! ha! kazi kujifanya masuti na matai, watu wanakucheka bro cause mke wako anasema ha! ha! ha1 mijitu mingine bana!


- HESHIMA MBELE LAKINI! HA! HA! HA!
ES!
 
Back
Top Bottom