Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Pamoja na malalamiko mengi mitandaoni, ya miradi isiyo na tija kwa Taifa huko Chato, ukweli umeanza kudhihiri.
Wilaya ya Chato sasa ni rasmi, ni moja ya wilaya zinazoongoza kwa matumizi mabaya ya fedha za umma.
CAG ameamrishwa na Waziri wa Fedha Dk Nchemba kufanya uchunguzi wa kina kwa Halmashsuri za Eilaya ya zKondoa,Mbogwe, Biharamulo na Chato.
Hii ni baada ya ukaguzi wa PPRA na Ripoti ya Tathmini Utendaji ya Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma ya mwaka 2020/2021, hata mwendazake akiwa madarakani nusu ya kipindi.
Haya Mkoa wa Chato unanukia!
Wilaya ya Chato sasa ni rasmi, ni moja ya wilaya zinazoongoza kwa matumizi mabaya ya fedha za umma.
CAG ameamrishwa na Waziri wa Fedha Dk Nchemba kufanya uchunguzi wa kina kwa Halmashsuri za Eilaya ya zKondoa,Mbogwe, Biharamulo na Chato.
Hii ni baada ya ukaguzi wa PPRA na Ripoti ya Tathmini Utendaji ya Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma ya mwaka 2020/2021, hata mwendazake akiwa madarakani nusu ya kipindi.
Haya Mkoa wa Chato unanukia!