usiue ALBINO
Member
- Aug 14, 2023
- 73
- 64
Kuna taarifa kuwa Waziri Ndumbalo anakwenda nchini Ivory coast eti kuwapa hamasa taifa stars. Haya ni matumizi mabaya ya pesa za umma
Kwa mvuto gani alionao?Kuna taarifa kuwa Waziri Ndumbalo anakwenda nchini Ivory coast eti kuwapa hamasa taifa stars. Haya ni matumizi mabaya ya pesa za umma
Ndumbalo kama Lissu tu wote vinyago kwenye football.Baada ya Lissu kwenda, wataenda wengi sio huyo pekee.
Na mm siku nikioa naenda na mke kuangalia El classico derbyBaada ya Lissu kwenda, wataenda wengi sio huyo pekee.
Afadhali hata wazo la kuoa limekuja 🤣🤣Na mm siku nikioa naenda na mke kuangalia El classico derby
Ungejua?Ndumbalo kama Lissu tu wote vinyago kwenye football.
Sasa si itakua kama 10yrs kutoka saiv ndo niwaze hayoAfadhali hata wazo la kuoa limekuja 🤣🤣
Umenipa akili, itabidi mie na kaka mzuri pia twende OT au Emirates kucheki Arsenal Vs Man U.
Haijalishi, muhimu umeongelea hilo ni neema 🤣Sasa si itakua kama 10yrs kutoka saiv ndo niwaze hayo
😁Sasa wewe game tu za yanga hauji taifa, utawezana za Madrid & united
Mi npo sana naendaga kama Sina ratiba ngumu lazima nitokee japo game ya mwisho ilikua ya Marumo hapa Kati umaskini nao uliniandama😂plus safari za mkoani nikawa nashuhudia kupitia Azam TiviiiHaijalishi, muhimu umeongelea hilo ni neema 🤣
Tatizo huonekani kwenye page za michezo, mi naenda uwanjani sana, sana.
Juzi tu hapo mechi zile za Ahly na Medeama nilikuwa uwanjani.
Hiyo ya Marumo nilikuwa uwanjani pia, hadi fainali. Hakuna mechi ya lile kombe la shirikisho niliikosa.Mi npo sana naendaga kama Sina ratiba ngumu lazima nitokee japo game ya mwisho ilikua ya Marumo hapa Kati umaskini nao uliniandama😂plus safari za mkoani nikawa nashuhudia kupitia Azam Tiviii
Yeye kama mzalendo wa kweli atume nauli yake hatutaki ujinga hapa.Kuna taarifa kuwa Waziri Ndumbalo anakwenda nchini Ivory coast eti kuwapa hamasa taifa stars. Haya ni matumizi mabaya ya pesa za umma
Next time nikija takustuaHiyo ya Marumo nilikuwa uwanjani pia, hadi fainali. Hakuna mechi ya lile kombe la shirikisho niliikosa.
Mechi za ligi nyingi ndio naangalia kwenye Tv, klabu bingwa nyingi huwa naenda.
Lissu Tayari yuko na TimuKuna taarifa kuwa Waziri Ndumbalo anakwenda nchini Ivory coast eti kuwapa hamasa taifa stars. Haya ni matumizi mabaya ya pesa za umma
Kaenda kwa ghsrama zakeLissu Tayari yuko na Timu
Watanzania too much!, full kulalamika!. Tena kulalamikia kila kitu!. Yeye ndiye Waziri wa michezo, asipoenda yeye, aende nani?, tena alipaswa kwenda na the Dreamliner full of Wabongo.Kuna taarifa kuwa Waziri Ndumbalo anakwenda nchini Ivory coast eti kuwapa hamasa taifa stars. Haya ni matumizi mabaya ya pesa za umma
Dada unawajua mpk medeama😂Haijalishi, muhimu umeongelea hilo ni neema 🤣
Tatizo huonekani kwenye page za michezo, mi naenda uwanjani sana, sana.
Juzi tu hapo mechi zile za Ahly na Medeama nilikuwa uwanjani.
Waziri wa michezo akiwepo kwenye michuano mikubwa kama hii ni hakuna ubaya, joja labda iwe ameenda na msafara?Kuna taarifa kuwa Waziri Ndumbalo anakwenda nchini Ivory coast eti kuwapa hamasa taifa stars. Haya ni matumizi mabaya ya pesa za umma
Mkuu Mayalla waambie hawa wanasiasa waachane na sisi. Kila kinachotupa furaha wao wanakiingilia mwisho wa siku tunagawanyika kama taifa.Watanzania too much!, full kulalamika!. Tena kulalamikia kila kitu!. Yeye ndiye Waziri wa michezo, asipoenda yeye, aende nani?, tena alipaswa kwenda na the Dreamliner full of Wabongo.
P