Wiki moja kabla ya Machozi... Zitto???

Wiki moja kabla ya Machozi... Zitto???

"Wajanja" watakwambia hao Rai Mwema wametunga tu hiyo habari! Natamani kujua "uchawi" waliotumia CCM hadi kuwafanya watu wawe "limbwende" kiasi hiki!

Mkumbo,
Naona hayo ndiyo MADHARA ya LIMBWETE la kisiasa. Wengine huwa wanasema ni MWENGE. Mie nilikoma kuhudhuria mbio za MWENGE na nimekuwa BORN AGAIN, Haleluyah!!
Tanzania hatuhitaji RAIS atakeyepambana na UFISADI, Uzembe na kila UOZO uliopo sasa hapa kwetu. Tunahitaji RAIS atakeyebadilisha MENTALITY za WATanzania. Bob Marley anasema "Jikwamue kutoka UTUMWA wa MAWaZO..." Huu wimbo inabidi mtu auimbe kwa KISWAHILI na uwe unapigwa kila siku redion na kwenye TV. Inanikumbusha maongezi ya Wamasai wawili (sijui ni joke) wakati Sokoine amekufa :-
Masaai1: Hivi katia ya Sokoine na Nyerere, nani alikuwa Mkubwa?
Masaai2: Nyerere, maana Nyerere ni Rais na alishakuwa Waziri Mkuu zamani.
Masaai1: Lakini Sokoine ni HAYATI, na Nyerere bado hajawa.

Kibaya zaidi kwa Tanzania, kwa MAKUSUDI au BAHATI mbaya, kuanzia Mkuu wetu hadi Wasaidizi wake, wanaona "HAYATI" ni kubwa zaidi ya "RAIS".
 
It's true Mkamap. Hata hawa akina Zitto, Slaa, Anne-Kilango Malecela, wanaoimbwa hapa JF wote ni walewale. Wasioaminika. Kama ni grade,basi ningewapatia "C-" (tena hapo nimewapendelea, maana wanastahili "D+").

Kelele zote zile (list of shame/whatever) zilikuwa ni kujizolea umarufu tu.

Ukweli ni kwamba, kama wangekuwa na nia ya kuleta real changes, basi wangeendeleza hizo kelele zao hadi leo. It's sad kwamba when I look at Slaa, or Zitto, or mama Malecela (today) I don't see an ounce of courageousness or bravery in them. what I see, rather, is fear, vulnerability, fragility, and defeatism.

Gustanza na MkamaP,
Mkitaka kuwa na Kiongozi Mzuri sana kwenu nyie mtafuteni mwenye SIFA hizi hapa chini na mkimpata basi mie ntaungana na nyie na kumpigia kura:-
Awe Tasa na Hanisi (Vatican wanalijua hili).
Asiwe na ndugu yeyote wala jamaa(YATIMA).
Asiwe Mnywaji Pombe wala Sigara wala kupenda Anasa au starehe.
Mwenye kupenda kazi zake kuliko maisha na milele anataka MASIFA (mfano mzuri ni Edger Hoover ex-boss wa FBI).
Huyu mkimpata, Tanzania tumepona.
FMes, naungana na wewe kuwa kwenye maendeleo hatuhitaji wasomi wengi sana au Mashujaa wengi sana. Nilipokuwa Sweden mfano nilipata habari kuwa Viwanda vya kule utakuta Wahandisi kama 20 hivi na Matechnicians wao. Hawa hu-Design na kutengeneza Mkanda wote wa UZALISHAJI. Huchukua form 4 na kuwafundisha WHAT TO DO na kazi inaanza. Utaona Volvo au SAAB zuri ukasema Wazungu wakali, kumbe ni watu wachache tu na katika hao inawezekana mmoja wao ni Mtanzania. Ndiyo maana ya GOOD MANAGEMENT.
Kama Management nzuri, basi Mkama na mwenzake wanaweza kuwa Wanamsubiri Mesaya pale kwenye Ukuta wa Jerusalem, na huku wachache wanaendeleza Injili a kusubiri Issa bin Mariam (yesu) aje ahukumu dunia.
 
Gustanza na MkamaP,
Mkitaka kuwa na Kiongozi Mzuri sana kwenu nyie mtafuteni mwenye SIFA hizi hapa chini na mkimpata basi mie ntaungana na nyie na kumpigia kura:-
Awe Tasa na Hanisi (Vatican wanalijua hili).
Asiwe na ndugu yeyote wala jamaa(YATIMA).
Asiwe Mnywaji Pombe wala Sigara wala kupenda Anasa au starehe.
Mwenye kupenda kazi zake kuliko maisha na milele anataka MASIFA (mfano mzuri ni Edger Hoover ex-boss wa FBI). Huyu mkimpata, Tanzania tumepona.

Sikonge, what's this mkuu? I think you need some sleep! I mean, badly.
 
Mwenye kupenda kazi zake kuliko maisha na milele anataka MASIFA (mfano mzuri ni Edger Hoover ex-boss wa FBI).

Kilichokupeleka kumtaja huyu fisadi sijui ni nini hasa, kwa sababu the record ya huyu bwana ni mbaya sana na ni chafu sana, tena alikuwa shoga huyu mkuu au ulikuwa hujui?

Hivi unajua kuwa kifo cha Martin Luther King, kinaanziia kwa huyu bwana? Hapana bongo hatuhitaji kiongozi kama huyu! Mkuu nina vitabu vyake vyote pamoja na kumsoma sana darasani nilipokuwa kule US, maana masomo ya criminology kule 40% yanaihusu FBI, na waalimu kutoka huko na huyu bwana akiwa ndio the center of atention, hapana mkuu hapa umetutukana wabongo mkuu hatuhitaji viongozi mashoga!!
 
Kilichokupeleka kumtaja huyu fisadi sijui ni nini hasa, kwa sababu the record ya huyu bwana ni mbaya sana na ni chafu sana, tena alikuwa shoga huyu mkuu au ulikuwa hujui?

Hivi unajua kuwa kifo cha Martin Luther King, kinaanziia kwa huyu bwana? Hapana bongo hatuhitaji kiongozi kama huyu! Mkuu nina vitabu vyake vyote pamoja na kumsoma sana darasani nilipokuwa kule US, maana masomo ya criminology kule 40% yanaihusu FBI, na waalimu kutoka huko na huyu bwana akiwa ndio the center of atention, hapana mkuu hapa umetutukana wabongo mkuu hatuhitaji viongozi mashoga!!

FMes,
Nilishaangalia film nyingi kwenye documentary jinsi huyu bwana alivyokuwa na ROHO mbaya na kupenda MISIFA. Na hiyo nimeandika. Kuna jamaa baba yake alimkamata MAFIA fulani na sifa zote zikaenda kwake. Masikini wa watu huwa ndiyo ukawa mwisho wake. Hoover alihakikisha jamaa HAPATI kazi milele na mwisho jamaa alijiuwa. Nafahamu kuwa ni wakati wake, haya mauwaji ya JFK, Kenendy na KIng yalitokea. Lakini ni wakati huu huu, ule uonevu kama wa ile flm ya MISISIPI BURNING ulianza kutokomezwa na FBI. Kila jambo baya likitokea na hawa jamaa WAKIINGIA ni kwamba litakuwa SOLVED. Hivyo ni sawa na STALIN. Kama umesoma historia yake utaona kuwa kuna WANAOMLANI na WANAOMSIFU. Stalin alikuwa BEST president baada ya WW2 kwa Warusi. Kuna mji nasikia alitoa miezi mitatu ujengwe na ukajengwa. Kutokana na shida ya usafiri na wafanyakazi, alianzisha utaratibu kuwa UNAINGIA ndani ya BUS/Metro/Trams na kutoboa ticket mwenyewe. Bus lina DRIVER tu. Watu kama kawaida wakaanza kwenda BURE. ALichofanya ni kukagua mara mbili BUS na wasio na ticket walipigwa RISASI palepale.
Nafikiri KUMLAANI Edger kwa kila kitu alichofanya SI SAWA. Huyu bwana ukweli ni huu kuwa, alikuwa MCHAPA KAZI wa kupindukia. Hakuwa na family (no matter kuwa alikuwa shoga). Hata kazi alipoachishwa, hakuweza kuishi bila kazi ya KUPELELEZA. Kama tungelikuwa na mtu kama huyu pale Tanzania, amini usiamini MAFISADI, Wauwa Mazeruzeru, Majambazi sugu, wanaomuwinda Zitto, Waliomuuwa Salome Mbatia, na kila UCHAFU tunaousema humu ndani kama EPA, MEREMERATA, kuuwa watu kwenye Migodi nk hii kitu huyu bwana angeliDEAL nayo si kawaida. Ili muradi tu akimaliza mnaMWAGIA MISIFA.
Sasa Tanzania tuna Rais, mpole, hauwi watu, siyo shoga, hapendi kazi yake yaani karibu kila kitu kinyume cha Hoover, je UNAMFURAHIA?? Au wewe kinachokuchemsha ZAIDI ni USHOGA? Nyerere alisema RAIS siyo PAPA.
 
Sikonge, what's this mkuu? I think you need some sleep! I mean, badly.

GUSTANZA,
Ukisoma wewe unachoandika, kiongozi mnayemtaka basi inabidi awe na sifa hizo. Kwako kila kiongpzi unampa C au D. Sasa unafikiri hawa jamaa hawana family? Hawana mahitaji yao mengine? Kila akifanya kitu, wewe unamchokonoa hadi ukipate KIDOA na hapo kusema "ona hapa, hata Zitto ana madhambi. Ohhh, kaacha Kigoma yuko huku, oohh yuko vile...." Ndiyo maaana nakwamia ukitaka kiongozi wa hivyo basi TAFUTA MWENYE HIZO SIFA.
Hebu mseme KIONGOZI yeyote DUNIANI unayempa walau B na watu wakupe makosa yake. Kiongozi mzuri ni yule ambaye yuko sawa KUPOTEZA watu 100 ili kusaidia wengine milion 100. Akifanya hivyo ingawa ilikuwa LAST OPTION, wengine kama wewe bado watalaani kuwa KAUWA watu 100.
 
Westing Of Time And Money,mbona Hayo Makali Ya Zito Yapo Wapi Uchaguzi Uje Hata Ccm Wasipo Jinadi Wanashinda Tu Wala Hakuna Upinzani Bara,mshikemshike Zenji
 
Kilichokupeleka kumtaja huyu fisadi sijui ni nini hasa, kwa sababu the record ya huyu bwana ni mbaya sana na ni chafu sana, tena alikuwa shoga huyu mkuu au ulikuwa hujui?

Hivi unajua kuwa kifo cha Martin Luther King, kinaanziia kwa huyu bwana? Hapana bongo hatuhitaji kiongozi kama huyu! Mkuu nina vitabu vyake vyote pamoja na kumsoma sana darasani nilipokuwa kule US, maana masomo ya criminology kule 40% yanaihusu FBI, na waalimu kutoka huko na huyu bwana akiwa ndio the center of atention, hapana mkuu hapa umetutukana wabongo mkuu hatuhitaji viongozi mashoga!!



Mkuu,

Unanivunja mbavu mkuu. Kweli wewe kiboko.salute nyingi bro!
 
Mkuu,

Unanivunja mbavu mkuu. Kweli wewe kiboko.salute nyingi bro!
Ben,
Usiwe mtu wa KUSIFU wala hujui ni kitu gani. Tatizo la BINADAMU ni kufikiri umejua kila kitu lakini huajua bado. Pamoja na Hoover kuwa na MAPUNGUFU yake kama binadamu, huyu jamaa ndiye kapigana sana na uonevu wa WEUSI kusini mwa USA. Mafia pia walishaanza kutesa sana na ni hawa FBI waliwamaliza. Ndiyo maana hata jengo la FBI limepewa jina lake.
Sasa ukija kwenye USHOGA, dunia hii wamejaa na wanafanya MAVITUZ kama kawaida. Wakiwapa hela mnapokea na KUSHUKURU. Ningelikuwa mie rais ningelijenga SANAMU ya Freddy Mercury na wacha Mashoga waje na hela zao (George Michael, Elton John nk) kuja kutalii. Mbona mkiwa UK mnafaidi Kodi zao. Mnaishi karibu nao, kula nao, kusoma nao nk na hatuoni JITU limegoma kwenda UK kwa kusema Nchi ya MASHOGA. Mie SIKUBALIANI nao ila naheshimu uamuzi wao. Demokrasia.
Hebu angalia hiki KISA uone binadamu walivyo KIGEU GEU.
______________________________________________________

The daughter had not been to the house for over 5 years. Upon her return, her father cussed her out:

"Where have you been all this time, you ingrate! Why didn't you write to us,
not even a line to let us know how you were doing?
Why didn't you call? You little tramp! Don't you know what you put your Mom through??!!"
The girl, crying: "Sniff, sniff... Dad... I became a prostitute.. ."

"WHAT? Out of here, you shameless harlot, sinner, you're a disgrace to this family - I don't ever want to see you again!"

"OK, Dad - as you wish. I just came back to give Mom this fur coat and title to a mansion, a savings account certificate of $5 million for my little brother,
and for you, Daddy, this gold Rolex,the spanking new BMW that's parked outside and... a lifetime membership to the Country Club ... an invitation for you all to spend New Years' Eve on-board my new yacht in the Riviera ,
and ...

"Now what was it you said you had become?"
Girl, crying again: Sniff, sniff "A prostitute Dad!" ... Sniff, sniff

"Oh! Gee - you scared me half to death, girl! I thought you said " a Protestant ".
Come here and give your old man a hug!" I had really missed you!
Thanks to see you back alive!
 
Sikonge FBI ilianzishwa ili iweze kupingana na u komunisti na usoshalisti..Hii ni kwasababu ya ile vita baridi...Kwani wakati wa ile Great Depression kulikuwa na uwezekano mkubwa sana wa wananchi kuanza kuwa na mwelekeo wa ki soshalisti...Kuna watu waliwindwa na kunyongwa na movement ya Hoover kabla hata haija amuliwa kuwa FBI ianzishwe...Kama hujaelewa uliza swali nitajaribu kukuelewesha.
 
FMes,
Nilishaangalia film nyingi kwenye documentary jinsi huyu bwana alivyokuwa na ROHO mbaya na kupenda MISIFA. Na hiyo nimeandika. Kuna jamaa baba yake alimkamata MAFIA fulani na sifa zote zikaenda kwake. Masikini wa watu huwa ndiyo ukawa mwisho wake. Hoover alihakikisha jamaa HAPATI kazi milele na mwisho jamaa alijiuwa. Nafahamu kuwa ni wakati wake, haya mauwaji ya JFK, Kenendy na KIng yalitokea. Lakini ni wakati huu huu, ule uonevu kama wa ile flm ya MISISIPI BURNING ulianza kutokomezwa na FBI. Kila jambo baya likitokea na hawa jamaa WAKIINGIA ni kwamba litakuwa SOLVED. Hivyo ni sawa na STALIN. Kama umesoma historia yake utaona kuwa kuna WANAOMLANI na WANAOMSIFU. Stalin alikuwa BEST president baada ya WW2 kwa Warusi. Kuna mji nasikia alitoa miezi mitatu ujengwe na ukajengwa. Kutokana na shida ya usafiri na wafanyakazi, alianzisha utaratibu kuwa UNAINGIA ndani ya BUS/Metro/Trams na kutoboa ticket mwenyewe. Bus lina DRIVER tu. Watu kama kawaida wakaanza kwenda BURE. ALichofanya ni kukagua mara mbili BUS na wasio na ticket walipigwa RISASI palepale.
Nafikiri KUMLAANI Edger kwa kila kitu alichofanya SI SAWA. Huyu bwana ukweli ni huu kuwa, alikuwa MCHAPA KAZI wa kupindukia. Hakuwa na family (no matter kuwa alikuwa shoga). Hata kazi alipoachishwa, hakuweza kuishi bila kazi ya KUPELELEZA. Kama tungelikuwa na mtu kama huyu pale Tanzania, amini usiamini MAFISADI, Wauwa Mazeruzeru, Majambazi sugu, wanaomuwinda Zitto, Waliomuuwa Salome Mbatia, na kila UCHAFU tunaousema humu ndani kama EPA, MEREMERATA, kuuwa watu kwenye Migodi nk hii kitu huyu bwana angeliDEAL nayo si kawaida. Ili muradi tu akimaliza mnaMWAGIA MISIFA.
Sasa Tanzania tuna Rais, mpole, hauwi watu, siyo shoga, hapendi kazi yake yaani karibu kila kitu kinyume cha Hoover, je UNAMFURAHIA?? Au wewe kinachokuchemsha ZAIDI ni USHOGA? Nyerere alisema RAIS siyo PAPA.

Tanzania hatuhitaji viongozi mashoga period, hata uwe na kipaji gani kama ni shoga ni waste tu, kwa sababu wewe ni a compromise, tafuta viongozi wengine wa mfano huyu alikuwa shoga bro pleaaseee!
 
Usiwe mtu wa KUSIFU wala hujui ni kitu gani. Tatizo la BINADAMU ni kufikiri umejua kila kitu lakini huajua bado. Pamoja na Hoover kuwa na MAPUNGUFU yake kama binadamu, huyu jamaa ndiye kapigana sana na uonevu wa WEUSI kusini mwa USA. Mafia pia walishaanza kutesa sana na ni hawa FBI waliwamaliza. Ndiyo maana hata jengo la FBI limepewa jina lake.

Mkuu ile wiki ambayo Martin Luther aliuliwa huyu Hoover ilikuwa am-expose kwa kuwa a wife cheater baada ya kumfuatilia sana na kumrekodi kwa kumtumia wasichana akiwa hotelini mbali na mkewe, Tanzania hatuhitaji kiongozi manipulative na shoga, tafadhali sana mkuu kuna watoto wanasoma hapa watafikiri ni okay kuwa shoga na kiongozi mzuri no way!

Kupewa jina haina maana yoyote, mbona kuna shule bonmgo zinaitwa Mkapa?
 
Labda tukubali kuwa.....................WAFRIKA NDIVYO TULIVYO

One unappreciated tragedy that attests to the wasted talents of its peoples is that Africans tend to do well all around the world except in Africa. This is seen by the large number of prosperous, professional and skilled African families throughout Europe and the United States. Back home, these same people would be hamstrung by their corrupt governments. The worst thing that can be done is to give more foreign aid to African nations. Foreign aid goes from government to government. Foreign aid allows Africa's corrupt regimes to buy military equipment, pay off cronies and continue to oppress their people. It also provides resources for its leaders to set up "retirement" accounts in Swiss banks (Akina Chenge hawa !). What Africa needs, foreign aid cannot deliver, and that's elimination of dictators regimes, establishment of political and economic freedom, rule of law and respect for individual rights. Until that happens, despite billions of dollars of foreign aid, Africa will remain a basket case.
 
Labda tukubali kuwa.....................WAFRIKA NDIVYO TULIVYO

...The worst thing that can be done is to give more foreign aid to African nations. Foreign aid goes from government to government. Foreign aid allows Africa's corrupt regimes to buy military equipment, pay off cronies and continue to oppress their people. It also provides resources for its leaders to set up "retirement" accounts in Swiss banks (Akina Chenge hawa !). What Africa needs, foreign aid cannot deliver, and that's elimination of dictators regimes, establishment of political and economic freedom, rule of law and respect for individual rights. Until that happens, despite billions of dollars of foreign aid, Africa will remain a basket case.

I couldn't disagree more with your analysis, mbogela!
 
Msimamo wangu siku zote we need a kind of a movement, tunahiyaji movement isiyokuwa ya kisiasa ingawa najua wengi mtasema tusipopata Ukombozi wa kisiasa hatuwezi kuafanikiwa. Lakini nawaambia tuanze na hili, kuwa na mijadala ya wazi juu ya maliasili zetu kama Madini tuanzishe mijadala itakayowahusu wananchi sio tu wale waliopo katika maeneo yenye migodi hata Mbeya na Iringa na sehemu zisizo na madini tuawangize kwenye boti

alafu tuwe na maazimio kama kutokufanya biashara na mafisadi kama kususia kusoma habari katika vyombo vyo vya habari kama magazeti ya RA. Kama tuanaweza kuwaelimisha wananchi wakafika hatua kuwa hakuana anayesoma gazeti la hawa watu lianalowapa Nguvu tutashinda vita hii in no time. Kumbuka karatasi nyingi zinazoingia katika lile box ni la wale ambao hataembelei hapa wala hawakuwai kuuona mlango wa chuo, hata kujua kuwa kuna kama duniani hapa kuna kitu knaitwa mobile phone (amabazo ni common sana Bongo saa hizi)

Nahamasisha movement kama za akina Bob Mosses wakati wa Black Peoples movement in the USA za akina Steve Biko huko SA. Movement ambayo itaihusisha jamii at large. Tanzanian Consiousness Movement
 
Msimamo wangu siku zote we need a kind of a movement, tunahiyaji movement isiyokuwa ya kisiasa ingawa najua wengi mtasema tusipopata Ukombozi wa kisiasa hatuwezi kuafanikiwa. Lakini nawaambia tuanze na hili, kuwa na mijadala ya wazi juu ya maliasili zetu kama Madini tuanzishe mijadala itakayowahusu wananchi sio tu wale waliopo katika maeneo yenye migodi hata Mbeya na Iringa na sehemu zisizo na madini tuawangize kwenye boti

alafu tuwe na maazimio kama kutokufanya biashara na mafisadi kama kususia kusoma habari katika vyombo vyo vya habari kama magazeti ya RA. Kama tuanaweza kuwaelimisha wananchi wakafika hatua kuwa hakuana anayesoma gazeti la hawa watu lianalowapa Nguvu tutashinda vita hii in no time. Kumbuka karatasi nyingi zinazoingia katika lile box ni la wale ambao hataembelei hapa wala hawakuwai kuuona mlango wa chuo, hata kujua kuwa kuna kama duniani hapa kuna kitu knaitwa mobile phone (amabazo ni common sana Bongo saa hizi)

Nahamasisha movement kama za akina Bob Mosses wakati wa Black Peoples movement in the USA za akina Steve Biko huko SA. Movement ambayo itaihusisha jamii at large. Tanzanian Consiousness Movement

This is so deep, brother! Nimekuwa na-preach the same thing hapa kila kukicha ila machoni pa wengi, ninaonekana kama sina akili nzuri vile. Asante kwa kutambua hili, mkuu.
 
One unappreciated tragedy that attests to the wasted talents of its peoples is that Africans tend to do well all around the world except in Africa. This is seen by the large number of prosperous, professional and skilled African families throughout Europe and the United States. Back home, these same people would be hamstrung by their corrupt governments. The worst thing that can be done is to give more foreign aid to African nations. Foreign aid goes from government to government. Foreign aid allows Africa's corrupt regimes to buy military equipment, pay off cronies and continue to oppress their people. It also provides resources for its leaders to set up "retirement" accounts in Swiss banks (Akina Chenge hawa !). What Africa needs, foreign aid cannot deliver, and that's elimination of dictators regimes, establishment of political and economic freedom, rule of law and respect for individual rights. Until that happens, despite billions of dollars of foreign aid, Africa will remain a basket case.

Maneno yako mkuu ni mazuri na yenye busara sana, lakini they have nothing to do na topic at hand, lakini respect maneno yako ni mazito sana!
 
Maneno yako mkuu ni mazuri na yenye busara sana, lakini they have nothing to do na topic at hand, lakini respect maneno yako ni mazito sana!

Mkuu katika maneno yangu ukiondoa suala la misaada nadhani jambo tunalozungumzia hapa ni kuwa na Viongozi ambao wataleta Tija katika Uongozi wao. Na ndicho nachosema hapa Hata wanaochangia miswada hii hap bado sio viongozi kwa sababu hawapo tayari kuongoza kwa kuonyesha talents za uongozi hasa wakiwa nyumbani.

wengi wazuri katika kusema, Movement is more than contribution of ideas. Alafu wajumbe wengi wa baraza ni wataalamu wa kuacha hoja in question na kuanza kujadili kitu kingine ambacho kilikuwa sio basic katika point ya mchangiaji wa kwanza. Kama ambavyo umetoka nje ya hoja kwa kushikia bango suala la ushoga! I think that was not a subject in question, alafu by the time being Ushoga na uongozi is imaterial subejct to discuss kwa mazingira ya Tanzania.

Unanipata Mkuu I was trying to bring you back to the context in question.

Hata hivyo Thank you for your Kind observation
 
Back
Top Bottom