Wiki moja kabla ya Machozi... Zitto???

wengi wazuri katika kusema, Movement is more than contribution of ideas. Alafu wajumbe wengi wa baraza ni wataalamu wa kuacha hoja in question na kuanza kujadili kitu kingine ambacho kilikuwa sio basic katika point ya mchangiaji wa kwanza.

Mchangiaji wa kwanza hoja yake ilikuwa inahusu matatizo yaliyompata Zitto, akiwa Kenya, hiyo ndio point ya msingi ya hii topic na sio movemment ya anything!

Kama ambavyo umetoka nje ya hoja kwa kushikia bango suala la ushoga! I think that was not a subject in question, alafu by the time being Ushoga na uongozi is imaterial subejct to discuss kwa mazingira ya Tanzania.

Nilikuwa ninajibu hoja kuwa Hoover ni kiongozi wa mfano wa kuigwa, nimesma kuwa hafai kwa sababu ni shoga, now what this has to do na Zitto na Kenya? Nilijua kuwa kama kawaida nimekushika pabaya, utabdilika rangi na kujaribu kugeuza maneno na ishu, lakini ukweli hapa uko very clear!

Ahsante Mkuu!
 
sure hoja ilikuwa Zitto na tail aliyofanyiwa Kenya, Binafsi sikuona sababu ya kuchngia sana kwa hilo (No evidence) Lakini wachangiaji waliokuwa wameamua kuibadili hoja ya msingi (From event) kuzungumzia Uongozi wa Tanzania na kufananisha na akina Hoover (Facts) Niloona hapo ndipo tunapofika kwenye Azimio. So I thought i should put my input on leadership, kuwa baraza letu la mawaziri labda ni wawili au 1 amabo hakusoma katika vyuo vizuri tunavyoviadmire huko mtoni, na kuishi huko, lakini walirudi na chemistry, Europan history sio Uongozi.

Nadhani hapa ndio penye tatizo, we can work on it. Kumfuata Zitto kwa mazuri au Mabaya, Kumuua au kumlinda, magaidi au usalama wa Taifa, I have No comment.
 
Mchangiaji wa kwanza hoja yake ilikuwa inahusu matatizo yaliyompata Zitto, akiwa Kenya, hiyo ndio point ya msingi ya hii topic na sio movemment ya anything!

No, Field Marshall! Hii thread ime-evolve mno tangu mchangiaji wa kwanza alipochangia (kuhusu matatizo yaliyompata Zitto huko Kenya).Unahitaji ku-upgrade memory zako. Ukisoma replies za nyuma utakuta kuwa kuna badhi ya watu walikuwa na serious doubts kuhusu ukweli wa hii story, na kuhoji motive hasa ya Zitto/Chadema kuzirusha habari hizi hewani.

So, Mbogolea yuko sahihi: kinachozungumziwa hapa kwasasa ni uongozi/utendaji bora (na sio Zitto sijui kafanywaje huko Kenya...)

After all, sioni kama kuna ubaya wa kuzungumzia "movement" ndani ya hii thread, coz yote mawili yako connected.
 
FMes na Mushi,
Naona hili wala si muhimu sana. Naomba TUTOFAUTIANE. Mie milele NItAWAHESHIMU Stalin, Hitler, Hoover, nk kwa KAZI zao. Ingawa zilikuwa kazi mbaya, wao walizifanya kwa ufanisi mkubwa. Nyie mnaangalia KAZI zao kuwa mbaya/mie naangalia UFANISI.
Ni sawa na MUUWAJI wa KULIPWA anayejua kuifanya kazi VIZURI. Nyie mnalaani kuwa jamaa MUUWAJI, mie nasema jamaa MKALI WA FIELD YAKE.
Ukija kwenye USHOGA: FMES unasema SISI HATUTAKI, ni wewe na nani? Au ndiyo yale ya Kigoma, mtu anasema "muache huyo, ni MUHA WANGU". Nilikuwa sijui maamuzi ya Tanzania unaamuwa wewe na sijui nani? Kume akina Lowassa mko wengi (mnaoshika Tz).
 
FMes na Mushi,
Naona hili wala si muhimu sana. Naomba TUTOFAUTIANE. Nyie mnaangalia KAZI zao kuwa mbaya/mie naangalia UFANISI.

Bravo Sikonge!! Binafsi, siangalii personal flaws za viongozi, nachozingatia zaidi ni ufanisi wa kikazi. I mean, utendaji bora.
 
Ukija kwenye USHOGA: FMES unasema SISI HATUTAKI, ni wewe na nani?

Tumekuwa wepesi sana wa kusingizia mila ya Tanzania ukiuuliza mila yetu ni ipi? watanzania wakati wa akina Mkwawa na Mtemi Mirambo walishirikishwa katika maamuzi yanayoihusu Jamii, tawala ziliunganishwa hata kugawiwa kwa warithi wao kwa mjadala wa wazi na wanajamii walijua nini chief wao alikuwa ana intend kufanya na kwa faida gani.

watu (wapo wenye Bidii na Maarifa)
Ardhi (> 80 Fertile Cultivatable land)
Siasa safi (hakuna shaka, Arusha Declaration is the best policy)
Uongozi Bora (Ben Mkapa? Mwinyi? JK? Yona? Mramba? Meghji? Msekwa? RA? EL? Mzindakaya? Mwandosya? Mwakyusa? Kapuya? Karume? Mbowe? Mrema? Lipumba? Pombe?) can some1 come out with Who Is Who in Tz.
 
Ni sawa na MUUWAJI wa KULIPWA anayejua kuifanya kazi VIZURI. Nyie mnalaani kuwa jamaa MUUWAJI, mie nasema jamaa MKALI WA FIELD YAKE.

Huyu Hoover, hakuwa mkali wa field hapana alichoweza ni kuitumia nafasi yake kikazi na mazingara ya Cold War, kujinufaisha binafsi, akidai kupigana against Communism, alifanikiwa kuwatisha viongozi na kuwauwa wananchi wengi wassiokuwa na hatia, Tanzania hatuhitaji kiongozi wa namna hii ambaye yuko radhi kufanya anything kwa kutumia power aliyopewa na taifa, kujinufaisha, sasa sielewi usiochoelewa hapa ni kipi?

Ukija kwenye USHOGA: FMES unasema SISI HATUTAKI, ni wewe na nani? Au ndiyo yale ya Kigoma, mtu anasema "muache huyo, ni MUHA WANGU". Nilikuwa sijui maamuzi ya Tanzania unaamuwa wewe na sijui nani? Kume akina Lowassa mko wengi (mnaoshika Tz).

1. Mimi ni mwananchi wa Tanzania, mwenye passport na uraia wa Tanzania, kwa hiyo Tanzania ni nchi yangu, mimi sio raia wa nchi nyigine na wala sijabadili uraia wangu, nimewahi kuishi US kwa muda mrefu sana lakini never crossed in my mind kubadili uraia wangu na kuukana uzalendo wangu, kwa sababu ya kutarajia vipande vya pesa kidogo kwa kufanya hivyo,

2. Mara ya mwisho Tanzania, tuliwahi kuwa na kiongozi shoga, ilikuwa under rais Mwinyi, yaani aliyekuwa Director wetu wa Immigration aliyeacha mke na kumuoa kijana mmoja niliwahi kusoma naye Primary School (RIP) Abasi Senga, sijui kama unayajua vizuri matendo aliyoyafanya huyu mkuu akiwa kazini, siwezi hata kuyarudia hata kusema hapa maana ni aibu kubwa sana, tusingependa yarudie tena sisi wananchi tuliyaona, yaani kuwa na kiongozi shoga.

Lowassa, labda ni wewe maana haiwezekani ukarukia majina ya mafisadi bila sababu labda wanakuhusu hao, na utueleze ukitaka ni kwa nini umerukia Lowassa?

Ahsante Mkuu
 
FMes na Mushi,
Naona hili wala si muhimu sana. Naomba TUTOFAUTIANE. Mie milele NItAWAHESHIMU Stalin, Hitler, Hoover, nk kwa KAZI zao. Ingawa zilikuwa kazi mbaya, wao walizifanya kwa ufanisi mkubwa. Nyie mnaangalia KAZI zao kuwa mbaya/mie naangalia UFANISI.
Ni sawa na MUUWAJI wa KULIPWA anayejua kuifanya kazi VIZURI. Nyie mnalaani kuwa jamaa MUUWAJI, mie nasema jamaa MKALI WA FIELD YAKE.
Ukija kwenye USHOGA: FMES unasema SISI HATUTAKI, ni wewe na nani? Au ndiyo yale ya Kigoma, mtu anasema "muache huyo, ni MUHA WANGU". Nilikuwa sijui maamuzi ya Tanzania unaamuwa wewe na sijui nani? Kume akina Lowassa mko wengi (mnaoshika Tz).

..........Yaani ninaitafuta hiyo sehemu ambayo ilisema "SISI HATUTAKI".......ili NIIUNGE MKONO...........yes.........HATUTAKI USHOGA...............na mashoga wote walaaniwe.....damn!
 
FMes na Mushi,
Naona hili wala si muhimu sana. Naomba TUTOFAUTIANE. Mie milele NItAWAHESHIMU Stalin, Hitler, Hoover, nk kwa KAZI zao. Ingawa zilikuwa kazi mbaya, wao walizifanya kwa ufanisi mkubwa. Nyie mnaangalia KAZI zao kuwa mbaya/mie naangalia UFANISI.
Ni sawa na MUUWAJI wa KULIPWA anayejua kuifanya kazi VIZURI. Nyie mnalaani kuwa jamaa MUUWAJI, mie nasema jamaa MKALI WA FIELD YAKE.
Ukija kwenye USHOGA: FMES unasema SISI HATUTAKI, ni wewe na nani? Au ndiyo yale ya Kigoma, mtu anasema "muache huyo, ni MUHA WANGU". Nilikuwa sijui maamuzi ya Tanzania unaamuwa wewe na sijui nani? Kume akina Lowassa mko wengi (mnaoshika Tz).

Nieleze vizuri tulipotofautiana ili na mimi nijaribu kukuelewesha...Maana hata FMES kuna mambo ninayokubaliana naye na megine sikubaliani naye..Hivyo be specific...Kuhusu hilo la Hoover naona hata FMES na yeye keshakubaliana na mimi kuhusu umaarufu wake ambao ndio hasa mlichokuwa mkijadiliana ni kwa kivipi tunaweza kuiga mfano wake.
Na kwa taarifa yako...LAITI WAMAREKANI WANGEMSIKILIZA DWIGHT EISENHOWER...Basi Dunia ingekuwa ya maana sana leo na watu kama kina Bush wasingekuwepo madarakani wala kulitumia jeshi la Taifa zima kwa manufaa yao binafsi na huku wakijidai ni usalama wa Taifa la marekani....Kwa mfano ufisadi wake wa kuivamia Iraki kwa ushahidi wa kuchonga usingewezekana kama wangezingatia maoni ya DWIGHT.
Naona hata wanasiasa wetu wakahamisha jumla jumla.
 
FMes,
Nilishaangalia film nyingi kwenye documentary jinsi huyu bwana alivyokuwa na ROHO mbaya na kupenda MISIFA. Na hiyo nimeandika. Kuna jamaa baba yake alimkamata MAFIA fulani na sifa zote zikaenda kwake. Masikini wa watu huwa ndiyo ukawa mwisho wake. Hoover alihakikisha jamaa HAPATI kazi milele na mwisho jamaa alijiuwa. Nafahamu kuwa ni wakati wake, haya mauwaji ya JFK, Kenendy na KIng yalitokea. Lakini ni wakati huu huu, ule uonevu kama wa ile flm ya MISISIPI BURNING ulianza kutokomezwa na FBI. Kila jambo baya likitokea na hawa jamaa WAKIINGIA ni kwamba litakuwa SOLVED. Hivyo ni sawa na STALIN. Kama umesoma historia yake utaona kuwa kuna WANAOMLANI na WANAOMSIFU. Stalin alikuwa BEST president baada ya WW2 kwa Warusi. Kuna mji nasikia alitoa miezi mitatu ujengwe na ukajengwa. Kutokana na shida ya usafiri na wafanyakazi, alianzisha utaratibu kuwa UNAINGIA ndani ya BUS/Metro/Trams na kutoboa ticket mwenyewe. Bus lina DRIVER tu. Watu kama kawaida wakaanza kwenda BURE. ALichofanya ni kukagua mara mbili BUS na wasio na ticket walipigwa RISASI palepale.
Nafikiri KUMLAANI Edger kwa kila kitu alichofanya SI SAWA. Huyu bwana ukweli ni huu kuwa, alikuwa MCHAPA KAZI wa kupindukia. Hakuwa na family (no matter kuwa alikuwa shoga). Hata kazi alipoachishwa, hakuweza kuishi bila kazi ya KUPELELEZA. Kama tungelikuwa na mtu kama huyu pale Tanzania, amini usiamini MAFISADI, Wauwa Mazeruzeru, Majambazi sugu, wanaomuwinda Zitto, Waliomuuwa Salome Mbatia, na kila UCHAFU tunaousema humu ndani kama EPA, MEREMERATA, kuuwa watu kwenye Migodi nk hii kitu huyu bwana angeliDEAL nayo si kawaida. Ili muradi tu akimaliza mnaMWAGIA MISIFA.
Sasa Tanzania tuna Rais, mpole, hauwi watu, siyo shoga, hapendi kazi yake yaani karibu kila kitu kinyume cha Hoover, je UNAMFURAHIA?? Au wewe kinachokuchemsha ZAIDI ni USHOGA? Nyerere alisema RAIS siyo PAPA.

Stallin alikuwa BRUTAL...Na Marekani chini ya Roosevelt walimkumbatia ili aweze kupigana na Hitler...Kwasababu hiyo...Ni wazi kuna wakati walimwandika habari zake kuwa alikuwa ni mtu mzuri...Ni sawa na Saddam ambaye kuna wakati alitumiwa na kupewa silaha dhidi ya Muiran.....Kadri historia ya dunia inavyoelekea kuandikwa..Sitashangaa kusikia kuna watu wakisema Saddam alikuwa mtu shujaa kama wewe unavyodai upande mzuri wa Stallin...
Double standards kwenye siasa ni mbaya sana.
 
Stallin alikuwa BRUTAL...Na Marekani chini ya Roosevelt walimkumbatia ili aweze kupigana na Hitler...Kwasababu hiyo...Ni wazi kuna wakati walimwandika habari zake kuwa alikuwa ni mtu mzuri...Ni sawa na Saddam ambaye kuna wakati alitumiwa na kupewa silaha dhidi ya Muiran.....Kadri historia ya dunia inavyoelekea kuandikwa..Sitashangaa kusikia kuna watu wakisema Saddam alikuwa mtu shujaa kama wewe unavyodai upande mzuri wa Stallin...
Double standards kwenye siasa ni mbaya sana.

Mushi,
Nimekuandikia mfano mdogo sana wa UNYAMA wa Joe Stallin. Ila watu wanaofahamu hali halisi watakuambia kuwa alikuwa BEST PRESIDENT wa Russia mara baada ya WW2. Warusi ni sawa na Watz. Ila kule, UNYAMA wao umewafanya wawe walipo. Na siku zote wanahitaji kiongozi Mnyama. Ndiyo maana wanampenda Putin. Juu ya WW2, Stallin hakuamini kuwa Hitler amemvamia. Wajeruman hadi walipopiga hodi Mlangoni Moscow, ndipo Stallin aliamini. Alianza kupewa habari kuanzia Hitler kaingia Poland. Yeye aliamini mkataba wao bado uko LIVE. Hakuwaamini Warusi kwani yeye alikuwa anatoka Georgia. Hivyo alijua anafungwa kamba. Ila alipojua ni kweli, hapo alibadili kibao. Na unyama wake wote, alipigana na Wajeruman na kwa msaada wa WINTER kali, Walishinda by paying high cost.
Mushi, inabidi utafute watu wa Urusi wakupe historia. Maana hii ya kusoma za huko kwenue USA, kidogo zimeandikwa kivyenu.
Ila ukweli ni mmoja, aliijenga RUSSIA. Hitler a unyama wake, KABADILI MAWAZO ya Wajeruman hadi kesho. Wanajiamini na hawa hadi dakika ya 90, huwa hawaamini kuwa wamefungwa. Waone Watz walivyochoka na kukata tamaa. Kama Tanzania, angelikuwa kaja STALLIN au HOOVER au Hitler kwa gia ya MAISHA BORA kwa Watz wote, jamani ni kuwa WANGELIFANYA hivyo. Na wangelifanikiwa pamoja na USHOGA wao. Ikibidi kuuwa watu au kunyonga, wangelifanya hivyo. Ni heri uuwe watu 100, na uokoe milioni 35. Hapo ndipo utasikia WANAUME wa shoka wakikusifia na kusema "Jamaa ana MAPULIZO mawili makubwa saana kati ya miguu..."
Mushi, mie ni mpinzani sana wa kusema WAAFRICA DNA zetu zinatufanya tuwe tulivyo. Ila pana wakati huwa naanza kuamini. Siku moja nilisikia Mswidi akisema kuwa, kama tungelibadilishana nchi, wao waache kila kitu waende Tanzania (na ushoga wao) na sisi (na UDINI na MILA zetu) twende Sweden na kukuta kila kitu kama kilivyoachwa, baada ya miaka 10, tutaanza kwenda Tanzania na KUJILIPUA MSOMALI.
 
Mushi,
Nimekuandikia mfano mdogo sana wa UNYAMA wa Joe Stallin. Ila watu wanaofahamu hali halisi watakuambia kuwa alikuwa BEST PRESIDENT wa Russia mara baada ya WW2. Warusi ni sawa na Watz. Ila kule, UNYAMA wao umewafanya wawe walipo. Na siku zote wanahitaji kiongozi Mnyama. Ndiyo maana wanampenda Putin. Juu ya WW2, Stallin hakuamini kuwa Hitler amemvamia. Wajeruman hadi walipopiga hodi Mlangoni Moscow, ndipo Stallin aliamini. Alianza kupewa habari kuanzia Hitler kaingia Poland. Yeye aliamini mkataba wao bado uko LIVE. Hakuwaamini Warusi kwani yeye alikuwa anatoka Georgia. Hivyo alijua anafungwa kamba. Ila alipojua ni kweli, hapo alibadili kibao. Na unyama wake wote, alipigana na Wajeruman na kwa msaada wa WINTER kali, Walishinda by paying high cost.
Mushi, inabidi utafute watu wa Urusi wakupe historia. Maana hii ya kusoma za huko kwenue USA, kidogo zimeandikwa kivyenu.
Ila ukweli ni mmoja, aliijenga RUSSIA. Hitler a unyama wake, KABADILI MAWAZO ya Wajeruman hadi kesho. Wanajiamini na hawa hadi dakika ya 90, huwa hawaamini kuwa wamefungwa. Waone Watz walivyochoka na kukata tamaa. Kama Tanzania, angelikuwa kaja STALLIN au HOOVER au Hitler kwa gia ya MAISHA BORA kwa Watz wote, jamani ni kuwa WANGELIFANYA hivyo. Na wangelifanikiwa pamoja na USHOGA wao. Ikibidi kuuwa watu au kunyonga, wangelifanya hivyo. Ni heri uuwe watu 100, na uokoe milioni 35. Hapo ndipo utasikia WANAUME wa shoka wakikusifia na kusema "Jamaa ana MAPULIZO mawili makubwa saana kati ya miguu..."
Mushi, mie ni mpinzani sana wa kusema WAAFRICA DNA zetu zinatufanya tuwe tulivyo. Ila pana wakati huwa naanza kuamini. Siku moja nilisikia Mswidi akisema kuwa, kama tungelibadilishana nchi, wao waache kila kitu waende Tanzania (na ushoga wao) na sisi (na UDINI na MILA zetu) twende Sweden na kukuta kila kitu kama kilivyoachwa, baada ya miaka 10, tutaanza kwenda Tanzania na KUJILIPUA MSOMALI.

Siasa safi ni zile Zisizohusisha ideological impositions.

Kusema ukweli usitake kufikiri kuwa historia yangu yote knowledge wise nimejifunza Yote hapa MAREKANI...

Wewe nimekwambia kama una swali uliza...Ama kafanye research..Mimi kusema kweli World History niko FIT.

Kwa kifupi ni kwamba siwezi kusema eti tuige u dictator ili kuweza kuimpose ideas za kimaendeleo.

Wao empire zao zilikuwa based on who wins what and when...Wana angukiana saini basi ngoma ntolee mmeshauzwa...Na sisi kama kawaida timebakia kuwa mashabiki huku wakitunyonya tu na kubakia watumwa na mashabiki either wa ukomunisti ama ubepari....Maslahi ya mwafrika wa kawaida hayaangaliwi kabisa.

Hayo mambo ya kusema ni mtu wa Gerogia nani asiyejuwa BOLSHEVICKS?

Sasa si hao wanaoungana na Russia huko South Essetia kupigana na Georgia?

Ninachokwambia ni kwamba...Hata Stallin alikuwa BRUTAL na yeye kwasababu alitaka idea yake itawale dunia...Kama jinsi ilivyokuwa kwa Hitler na Nazism,Musolini na FASCISM HUKO ITALLY...Na sasa Mujahidina!

Kwa kifupi ni kwamba hao wote waliwasaidia wananchi wao lakini kwa kutumia unyama wa kuwaaminisha wananchi hao kuwa wao ni BORA KULIKO BINADAMU WENGINE!

Hata hao warusi wenyewe kwanza ndio wabaguzi BALAA!

Huko weusi wana windwa kabisa kama wanyama.

Usishabikie mifano ya viongozi waliokuwa na ajenda ambazo si za kuifanya dunia iwe better place bali kuitawala na kujifanya superiors.

Dunia ya sasa ni ya kuishi pamoja...Na kama wanadamu wakisikilizana bila ya kujali kama wana pesa ama ni weupe/weusi nk....Basi dunia will be a better place na Afrika patakuwa PARADISE.
 
Huyu Hoover, hakuwa mkali wa field hapana alichoweza ni kuitumia nafasi yake kikazi na mazingara ya Cold War, kujinufaisha binafsi, akidai kupigana against Communism, alifanikiwa kuwatisha viongozi na kuwauwa wananchi wengi wassiokuwa na hatia, Tanzania hatuhitaji kiongozi wa namna hii ambaye yuko radhi kufanya anything kwa kutumia power aliyopewa na taifa, kujinufaisha, sasa sielewi usiochoelewa hapa ni kipi?

1. Mimi ni mwananchi wa Tanzania, mwenye passport na uraia wa Tanzania, kwa hiyo Tanzania ni nchi yangu, mimi sio raia wa nchi nyigine na wala sijabadili uraia wangu, nimewahi kuishi US kwa muda mrefu sana lakini never crossed in my mind kubadili uraia wangu na kuukana uzalendo wangu, kwa sababu ya kutarajia vipande vya pesa kidogo kwa kufanya hivyo,

2. Mara ya mwisho Tanzania, tuliwahi kuwa na kiongozi shoga, ilikuwa under rais Mwinyi, yaani aliyekuwa Director wetu wa Immigration aliyeacha mke na kumuoa kijana mmoja niliwahi kusoma naye Primary School (RIP) Abasi Senga, sijui kama unayajua vizuri matendo aliyoyafanya huyu mkuu akiwa kazini, siwezi hata kuyarudia hata kusema hapa maana ni aibu kubwa sana, tusingependa yarudie tena sisi wananchi tuliyaona, yaani kuwa na kiongozi shoga.

Lowassa, labda ni wewe maana haiwezekani ukarukia majina ya mafisadi bila sababu labda wanakuhusu hao, na utueleze ukitaka ni kwa nini umerukia Lowassa?

Ahsante Mkuu

FMes,
Kama Hoover hakuwa mkali, basi NAKIPA HONGERA chama cha KIKOMUNISTI cha USA. Nawapa hongera MAFIA wote USA ambao wameiteka CHICAGO na New York. Nawapa Hongera KKK kwa kuendelea kuuwa na kutesa huko USA. Mwisho nawapa HONGERA FBI kwa kulifanya hili jina liwe kichekesho na kukosa heshima mbele ya watu USA na duniani kwa ujumla. Ni kama UWT wa Tanzania. Kwa hili naomba niombe msamaha kuwa nilikuwa naelewa kisivyo.
Juu ya ushoga nilishaomba TUTOFAUTIANE. Ila bado hujajibu swali. Kwa Utanzania hata mie ni Mtanzania, tena sana tu. Hata Waanglican nao ni Watanzania. Sasa kisa cha wewe kujiona BORA na kuwaamulia wengine KIONGOZI gani anayetufaa kinatoka wapi? Ndiyo maana ya Demokrasia. Mie nasema kama akija SHOGA atakayekuwa tayari kuleta MAISHA BORA kwa Watz, na kweli akaleta, basi na USHOGA wake ntampigia. Hawa wasio mashoga ila wana wake wanne wanne, wametusaidia nini? USHOGA hauna UHUSUSIANO wowote na UONGOZI mbaya. Hata Lowassa na ubovu wake SI SHOGA. Unanikumbusha JAMAa mmoja ambaye alijikuta kwenye hali mbaya baada ya kusema SHOGA ni KIBAKA (PEDOFILE).
Hivi unaposema HATUTAKi vipande vya fedha, unapopata msaada toka nchi nyingi za EUROPE, ujuwe kuwa KUNA HELA ZA MASHOGA kibao. Ona tu Berlin siku wakikutana na Berlin huwa inaingiza MAMILION ya pesa katika ile kitu iitwacho LOVE PARADE. EU Wakija chukua hizo fedha na kuwajengea BARABARA TZ, FMes unatesa na gari yako huku unalaani, MASHOGA aka!!

NB: Please, usiniite mie LOWASSA wala msemaji wa Mashoga kama Mama Chambua kama Karanga.
 
FMes,
Kama Hoover hakuwa mkali, basi NAKIPA HONGERA chama cha KIKOMUNISTI cha USA. Nawapa hongera MAFIA wote USA ambao wameiteka CHICAGO na New York. Nawapa Hongera KKK kwa kuendelea kuuwa na kutesa huko USA. Mwisho nawapa HONGERA FBI kwa kulifanya hili jina liwe kichekesho na kukosa heshima mbele ya watu USA na duniani kwa ujumla.

Under Hoover, Mafia anyejulikana kama Sam Gianciana ndiye aliyemsaidia JFK, kuwa rais, sasa wewe unasema kuwa Hoover alikuwa mkali na aliwabana Mafia? JFK kwanza alimtuma Giancana, kujaribu kummmaliza Castro, na ni hao hao Mafia ndio waliomuunganisha JFK na yule mwanadada Marlyin Monroe, unasema hiki hakikuwa kichekesho kwa FBI under Hoover?

Ni kama UWT wa Tanzania. Kwa hili naomba niombe msamaha kuwa nilikuwa naelewa kisivyo.

Huna sababu ya kuomba msamaha, UWT yetu ni kali sana tena sana, tatizo ni kwamba inakuwa ruled out na wanasiasa, lakini sina wasi wasi nao kabisaaa kwamba ni wakali kuliko FBI, pamoja na kwamba hawana Techonology kama FBI.

Juu ya ushoga nilishaomba TUTOFAUTIANE.

Hapana kwangu hapa ndio kuna hoja ya msingi as far as Hoover kama mfano is concerned, kama wewe unataka viongozi mashoga sisi bongo tuliamua siku nyingi sana kuwa hatutaki na hasa kanisa langu la Anglikana.

, FMes unatesa na gari yako huku unalaani, MASHOGA aka!!
NB: Please, usiniite mie LOWASSA wala msemaji wa Mashoga kama Mama Chambua kama Karanga.

nina magari zaidi ya moja, lakini yote nimeyapata kwa kutoka jasho zito sana na damu ndani yake, hakuna hela ya shoga kwenye hela zangu ndogo nilizonazo, and I am very proud about it kwamba ubaharia na all the rest of story vimenifikisha hapa nilipo kimaisha, bila ya kumtegemea mtu wala shoga,

Lowassa ni wewe uliyemleta kwenye hoja yako, ndio nikaakuuliza kulikoni?
 
FMes,
Kama Hoover hakuwa mkali, basi NAKIPA HONGERA chama cha KIKOMUNISTI cha USA. Nawapa hongera MAFIA wote USA ambao wameiteka CHICAGO na New York. Nawapa Hongera KKK kwa kuendelea kuuwa na kutesa huko USA. Mwisho nawapa HONGERA FBI kwa kulifanya hili jina liwe kichekesho na kukosa heshima mbele ya watu USA na duniani kwa ujumla. Ni kama UWT wa Tanzania. Kwa hili naomba niombe msamaha kuwa nilikuwa naelewa kisivyo.
Juu ya ushoga nilishaomba TUTOFAUTIANE. Ila bado hujajibu swali. Kwa Utanzania hata mie ni Mtanzania, tena sana tu. Hata Waanglican nao ni Watanzania. Sasa kisa cha wewe kujiona BORA na kuwaamulia wengine KIONGOZI gani anayetufaa kinatoka wapi? Ndiyo maana ya Demokrasia. Mie nasema kama akija SHOGA atakayekuwa tayari kuleta MAISHA BORA kwa Watz, na kweli akaleta, basi na USHOGA wake ntampigia. Hawa wasio mashoga ila wana wake wanne wanne, wametusaidia nini? USHOGA hauna UHUSUSIANO wowote na UONGOZI mbaya. Hata Lowassa na ubovu wake SI SHOGA. Unanikumbusha JAMAa mmoja ambaye alijikuta kwenye hali mbaya baada ya kusema SHOGA ni KIBAKA (PEDOFILE).
Hivi unaposema HATUTAKi vipande vya fedha, unapopata msaada toka nchi nyingi za EUROPE, ujuwe kuwa KUNA HELA ZA MASHOGA kibao. Ona tu Berlin siku wakikutana na Berlin huwa inaingiza MAMILION ya pesa katika ile kitu iitwacho LOVE PARADE. EU Wakija chukua hizo fedha na kuwajengea BARABARA TZ, FMes unatesa na gari yako huku unalaani, MASHOGA aka!!

NB: Please, usiniite mie LOWASSA wala msemaji wa Mashoga kama Mama Chambua kama Karanga.

Mkuu nani kasema KKK na MAFIA vimekufa?
 
Sikonge kama huelewi vizuri kuhusu siasa za marekani...Basi soma hii....


Supremacists hope for boost from Obama win
Anticipate election of a black president would jar whites into action


updated 12:44 p.m. ET, Fri., Aug. 8, 2008
PEARL, Miss. - They're not exactly rooting for Barack Obama, but prominent white supremacists anticipate a boost to their cause if he becomes the first black president. His election, they say, would trigger a backlash — whites rising up, a revolution of sorts — that they think is long overdue.

He'd be a "visual aid," says former Ku Klux Klan leader David Duke, in trying to bring others around to their view that whites have lost control of America. Obama's election, says another, would jar whites into action, writing letters, handing out pamphlets rather than sitting around complaining.

While most Americans have little or no direct contact with white supremacists, organizations such as the Anti-Defamation League and the Southern Poverty Law Center keep close tabs; the law center estimates some 200,000 people nationwide are active in such groups. These observers think the prospect of a white revolution is fantasy.

White supremacists — many call themselves nationalists or "White activists," with a capital W — have had limited political success: Duke served in the Louisiana Legislature. And the public has periodically been unsettled by their public events, like the effort by uniformed Nazis to march through Skokie, Ill., the annual Aryan Nations meetings in Idaho and elsewhere or the FBI's clashes with armed white supremacists in several Western compounds.

Richard Barrett is a 65-year-old lawyer who traveled the country for 40 years advocating what he perceives as the white side in racial issues — like his January rally in Jena, La., to support a white teenager who hung a noose in a school yard.

Barrett is convinced Democrat Obama will defeat Republican John McCain in November.

And that could cause an upheaval, Barrett, a leader in the Nationalist Movement, told The Associated Press in an interview at his rural Mississippi home.

"Instead of this so-called civil rights bill, for example, that says you have to give preferences to minorities, I think the American people are going — once they see the 'Obamanation' — they're going to demand a tweaking of that and say, 'You have to put the majority into office,'" Barrett said.

Across the United States, some white supremacists are saying an Obama presidency could create a racial backlash that will give their groups a boost.

Barrett is evasive about his ideology and tries to keep reporters from using "buzz words" to describe him. He doesn't call himself a white supremacist, although the Anti-Defamation League and the Southern Poverty Law Center do.

The law center tracks the Nationalist Movement, the Klan and like-minded groups from its Montgomery, Ala., headquarters. The center's "Hatewatch" newsletter reported in June that some neo-Nazis, Klansmen and anti-Semites are saying an Obama presidency could prompt a race war, which many on the "radical right" believe whites would win.

Although not all white supremacists agree, "large numbers of these people really seem to think that an Obama election would benefit them hugely," Mark Potok, the center's intelligence director, said in an interview. He called that view "essentially a fantasy."
Duke, the former Klan leader, posted an essay on his Web site in June titled, "Obama Wins Demo Nomination: A Black Flag for White America."

Obama "will be a clear signal for millions of our people," Duke wrote. "Obama is a visual aid for White Americans who just don't get it yet that we have lost control of our country, and unless we get it back we are heading for complete annihilation as a people."

Jason Robb, a Harrison, Ark., attorney who represents the Klan's Knights Party, describes himself as a "white nationalist."

"It doesn't really matter if Obama wins the election or McCain wins the election," Robb said in an interview. "Neither of them are going to try to fight to preserve the white race or heritage."

Robb said, however, that Obama's election could prompt more whites to get involved in politics by distributing pamphlets or writing letters to editors.

Although the South has had more racial violence than most of the country, Randy Blazak, a sociology professor at Oregon's Portland State University, says white supremacists live all over the United States. Blazak, who has studied skinheads for two decades, calls white supremacists a counterculture, not a movement, contending the latter term overstates their numbers.

Blazak said white supremacists thrive on fear of changing race relations, the women's movement and gay rights. Blazak said white working class people in particular long for a "Leave It To Beaver" society.
"Those were the 'good old days' for straight, white males. But for everyone else, it was a pretty raw deal," Blazak said.

Barrett, a New York City native who moved to Mississippi in 1966, said the Nationalist Movement has members in 36 states, but he won't say how many. He compares today's skinheads to the minutemen of the American Revolution.

"The Revolution, if you will, in 1776 brought the 13 colonies together against the king. And the same thing can happen now against Martin Luther King, with the 50 states," Barrett said, if Obama's elected.

Barrett says he is a Democrat but won't say whether he's voting for Obama. He'll only say he won't support McCain, Libertarian Bob Barr or independent Ralph Nader.

Charles Evers, brother of Medgar Evers, the Mississippi NAACP leader killed by a sniper in 1963, chuckles when told about Barrett's assertions.

"See, Richard doesn't really mean what he says. It's popular for him to say it. That's the way he makes a living," said Evers, who hosts a talk show on WMPR-FM in Jackson. "Same as Jesse Jackson, some more of our black revolutionaries who make a living off of keeping things emotional."

Although a longtime Republican, Evers supports Obama. He says the Democrat is more qualified than McCain
Evers, whose office has photos of him with Robert Kennedy, Richard Nixon, George W. Bush and other politicians, said he sees broad, multiracial support for Obama, even in parts of the South where the white establishment dug in to try to preserve racial segregation decades ago.

"I think we're past that stage," Evers said. "I don't think the majority of white people are thinking that way anymore."

Kim Edwards of Matteson, Ill., a black woman who traveled to Mississippi with a racially mixed group so her son could play in a baseball tournament, is more skeptical. Edwards worries that extremists want Obama to be elected so they can assassinate him.

"I'm really concerned for his safety," said Edwards, who plans to vote for Obama. "I'm concerned that once he gets in office that he won't be recognized as an American president."

However, former Mississippi Gov. William Winter, a white Democrat who served on President Clinton's commission on racial reconciliation, doesn't foresee widespread white backlash if Obama is elected.

"We are a diverse country," said Winter, who supports Obama. "We are made up of people of every conceivable racial background."
 
...UWT yetu ni kali sana tena sana, tatizo ni kwamba inakuwa ruled out na wanasiasa, lakini sina wasi wasi nao kabisaaa kwamba ni wakali kuliko FBI, pamoja na kwamba hawana Techonology kama FBI.

Field Marshall huo uzalendo wako sasa unakupeleka pabaya. Sometimes you gotta just accept the obvious, mkuu. UWT yetu imechoka! Na huwezi ukaiweka kwenye class moja na FBI. Not even close!
 
FMes,
EU Wakija chukua hizo fedha na kuwajengea BARABARA TZ, FMes unatesa na gari yako huku unalaani, MASHOGA aka!!

nina magari zaidi ya moja, lakini yote nimeyapata kwa kutoka jasho zito sana na damu ndani yake, hakuna hela ya shoga kwenye hela zangu ndogo nilizonazo, and I am very proud about it kwamba ubaharia na all the rest of story vimenifikisha hapa nilipo kimaisha, bila ya kumtegemea mtu wala shoga,

FMes,
Hakuna binadamu asiyetegemea mtu mwingine. Hapa naona unatufunga kamba. Hata Billy Gates au Waarabu wanategemea LOOSER fulani wanunue bidhaa zao na wao WAJANJA wazidi kutajirika. Ukiwabadilisha kibao, watakuwa tambarale sana.
Juu ya magari yako 100 sijui hii imetokaa wapi. Mie nimeongelea hapa BARABARA zinazojengwa na kwa msaada wa EU. Hizi barabara zikishajengwa, wewe unapita na hayo magari yako. Kama si hawa MASHOGA, ungelishuhudia MAHANDAKI katikati ya barabara. Nashindwa kuelewa kama UMESOMA haraka haraka na kufikiri mie NAKUSIMANGA na magari yako au umefanya MAKUSUDI ili tu uonekane MSHINDI? Kama jibu ni hili la pili basi naona kweli wee ni MTOTO WA MZEE KIFIMBO. Yaani haya ndiyo majibu PURE ya Nyerere. Kama hauko kwenye SIASA basi ingia maana kweli huko kunakufaa.
Dr. Slaa na Zitto Kabwe, kama mkisoma hiyo basi mumtafute huyu jamaa awe MSEMAJI wenu. Nafikiri hata Mzee Makamba na Kuraani zake akichanganya na Biblia itabidi akimbie. FMes, unakipaji cha kubadili mambo. Mwanzo nilifikiri tunaelewashana kumbe hapa ni MTU ASHINDE.

NB:- Juu ya MAFIA na HOOVER, naona tunarudia kilekile.
 
Ninachokwambia ni kwamba...Hata Stallin alikuwa BRUTAL na yeye kwasababu alitaka idea yake itawale dunia...Kama jinsi ilivyokuwa kwa Hitler na Nazism,Musolini na FASCISM HUKO ITALLY...Na sasa Mujahidina!

Kwa kifupi ni kwamba hao wote waliwasaidia wananchi wao lakini kwa kutumia unyama wa kuwaaminisha wananchi hao kuwa wao ni BORA KULIKO BINADAMU WENGINE!
Hata hao warusi wenyewe kwanza ndio wabaguzi BALAA!
Huko weusi wana windwa kabisa kama wanyama.

Mushi,
Nilishakutana na Mzungu akijisifu kuwa anajua mila na desturi za Waafrica. Mie nikwambia hongera sana maana mie hapa hata za makabila mengine ya Tanzania sizijui. Hii ndiyo huwa tatizo la kusoma vitu. Russia na kukaa, utakuwa na story nyingine tofauti na ukisoma. Hayo ya Ubagudhi wa Weusi, nafikiri wewe umesoma tu, wengine tumeushuhudia. Na tuandelea kupata habari zake karibu kila wakati.
Warusi ni ROHO mbaya sana. Na kwa unyama ndiyo wenyewe. Ndiyo maana nakwambia hata kiongozi wao inabidi awe Bruttal. Sasa Stallin na unyama wake, jamaa yangu mmoja akiwa darasani na Wazungu, wakimsoma Stallin na mwalimu kulaani vikali akiwa na wanafunzi wake, yeye Mpingo peke yake alisimama na kusema "Napinda Stallin.." Ilizuka varangati. Na yeye huku akiSMILE aliwaambia kuwa "Huyu jamaa na unyama wake, alisaidia sana kusimamishwa BIASHARA YA UTUMWA duniani ambao uligusa sana Waafrica. Je unaweza kunielezea juu ya hili? Ilikuwaje hadi Stallin awe refa wetu? Sorry, mie haya mambo yamekaa kushoto (mie ni Mbeba Zege) na mengi hujifunza kutoka kwa watu kama Mushi, FMes, MKJJ, Kuhani, Morani, Fundi Mchundo, nk (hii ni kwa Jamiiforums tu).
 
Back
Top Bottom