Wiki moja kabla ya Machozi... Zitto???

Sikonge kama huelewi vizuri kuhusu siasa za marekani...Basi soma hii....


Supremacists hope for boost from Obama win
Anticipate election of a black president would jar whites into action


updated 12:44 p.m. ET, Fri., Aug. 8, 2008
PEARL, Miss. - They're not exactly rooting for Barack Obama, but prominent white supremacists anticipate a boost to their cause if he becomes the first black president. His election, they say, would trigger a backlash — whites rising up, a revolution of sorts — that they think is long overdue.

He'd be a "visual aid," says former Ku Klux Klan leader David Duke, in trying to bring others around to their view that whites have lost control of America. Obama's election, says another, would jar whites into action, writing letters, handing out pamphlets rather than sitting around complaining.

Masahihisho, ujumbe wa juu ni jamaa alisema "NINAMPENDA STALLIN.."

Mushi,
Ni kweli siwezi kuzijua kwa karibu sana kama wewe uneishi huko. Ila nimekuwa nafuatilia kwa karibu sana kwa kusikiliza/kusoma media tofauti duniani. Ila ukisoma utaona kuwa "Hawa akina WHite Power wanajua kuwa WAMEPOTEZA UBABE wao". Wanatamani zile siku walisokuwa wakiwa NYONGA na kuwa ning'iniza weusi mitini. Sasa akija Obama, ndipo wakumbushie kuwa bado wapo? Mie nafikiri viongozi wao, wanaish kwa kudanganya. Sasa kama ilivyo mambo ya dini, wameshapata kisababu cha kutafuta waumini wengine wawili watatu ili wasife njaa. Najua kuwa kama wakizidisha ujinga, MEN IN BLACK watawazoa na kuwatunza sehemu. Hii huwa mie inaniwacha hoi. KKK wanajeshi lao, Black Panther nao wana lao, Farkhan na nation of Islam nao wana la kwao, Suge Knight naye na kijeshi chake, mhhh, hii labda siku moja Mungu akitukutanisha basi tutaka unielezee, maana kusoma sidhani kama ntasoma yote. Anyway, USA sasa inaanza kuwekwa pembeni kama UK na mambo sasa ni CHINA. Inabidi vijana mchangamkie mabinti wa Kichina na unaweza kukuta siku moja Waziri au ..... wa China ni M.. au Muta au Mwaka au .................
 
Back
Top Bottom