Bahati mbaya Wabunge karibu wote wako pale kusubiri TEUZI za Rais kabla au baada ya kumaliza kipindi chao cha UWAKILISHI.
Mkuu WildCard,
Heshima tena, unajua mimi na umasikini nimekuwa na tabia ya kuwapeleka watoto wangu kwenye sehemu muhimu za kihistoria ya nchi yetu, na hasa mbuga za wanyama every other summer, na sasa hivi ninapoandika wapo huko sasa nikiongea nao kwenye simu huwa wananiuliza one big question kwamba Dad how come huku kwenye mbuga za wanyama kuna wazungu tu wabongo ni wafanya kazi tu? Huwa ninawajibu kuwa at least you guys sio wazungu ni wabongo, mbona na nyinyi mko huko?
Sasa my point ni kwamba, at least kuna baadhi ya viongozi wetu kama Zitto, huwezi kuwaweka kwenye hilo kundi la kungojea kuteuliwa na rais, n hata wakiteuliwa kazi zao hujisema zenyewe ni kwa ajili ya manufaa ya taifa na wananchi, kwa mfano kazi zilizofanywa na wabunge kama Mwakyembe na Zitto, through hizo kamati si zinajulikana as opposed na kazi za Said Mema na Hosea kwenye kamati kama hizo? Halafu kuteuliwa kwenye kamati ukiwndani ya bunge, ni moja ya responsibility za ubunge anyways, the question hapa kwa hoja yako inapaswa kuwa nini the results ya kuteuliwa kwao kwenye hizo kamati,
Hoja ngu ya msingi hapa ni kwamba si viongozi wote waliooza, na sio kweli kuwa taifa letu zima limeoza, hata kwenye vitabu vya dini Mungu alipoamua kuiangamiza Sodoma, bado kulikuwepo na watu credible kama Mkulu Lot na Noah, ambao aliwa-save kwanza kabla ya soo kuanguka,
Viongozi kama Zitto, tunatakiwa kuwaheshimu sana kwa sababu bila wao, can you imagine kina Rostam wangekuwa wanatufanya nini wananchi wa bongo? I understand your point lakini sio applicable kwa baadhi ya viongozi kama Zitto.
Ahsante Mkuu