Ukweli silijui lipi sahihi na hilo sijilaumu na laumu mfumo wa elimu,shule ya msingi kiswahili, secondari english,bachalor polish,master kijerumani ,kazi kiswidish mara kinorway mara kibelarusi hapo unadhani nini kitatokeo?
....kwi kwi kwi kwi kwi..........haya "bana" nimekubali.....kwi kwi kwi......