Lakini mtu ukishaoa, ukawa na mwanamke mwengine nje uyo kwako ni mchepuko sababu unapita njia ya pembeni awezi akafanana na ulie muweka ndani, ni atabaki mchepuko tuh.....Kaka kabanga, msome vizuri jamaa na utamwelewa tu.
Anasema, jamaa karudia nyumba yake ya zamani na sasa kule mapenzi ni motomoto. Huu sio mchepuko! Kurudia life style yako sio mchepuko. Mchepuko ni kama ataongezea mwingine. Huku ni kuchunga colony lako lisichepukiwe. Anatunza nyumba na analea bustani zake zisiingiliwe na maguruwe, kosa liko wapi?
Kaweka saini kuoa huyu aliyekuwa analilia kuolewa, huyu aliyekuwa huru ana haki pia ka mwenzake. Asimwite mchepuko banaa
sawa mangatara....Kaka kabanga, msome vizuri jamaa na utamwelewa tu.
Anasema, jamaa karudia nyumba yake ya zamani na sasa kule mapenzi ni motomoto. Huu sio mchepuko! Kurudia life style yako sio mchepuko. Mchepuko ni kama ataongezea mwingine. Huku ni kuchunga colony lako lisichepukiwe. Anatunza nyumba na analea bustani zake zisiingiliwe na maguruwe, kosa liko wapi?
Kaweka saini kuoa huyu aliyekuwa analilia kuolewa, huyu aliyekuwa huru ana haki pia ka mwenzake. Asimwite mchepuko banaa
Mambo mengine ni siri,labda mke hazungushi kama mchepuko,siunajua mchepuko anavyojituma!!!
Inaweza ikawa umbeya ila ni kutaka mabinti tuelemishane na tujitambua zaid kuhusu binaadamu anayeitwa mwanaume, we kama unaona aileti mafikilio kichwani kwako kaa nayo mbali ila kwa mabinti inawahusuuuu.......Kwani maisha ya MTU mwingine unayàfutilia ili ikusaidie nin?!kwani kuna aliyekuja kwako kukueleza au kutaka ushauri?!acha kuleta thread za kimbea APA.ova.
Lakini mtu ukishaoa, ukawa na mwanamke mwengine nje uyo kwako ni mchepuko sababu unapita njia ya pembeni awezi akafanana na ulie muweka ndani, ni atabaki mchepuko tuh.....