Wiki mbili tu za ndoa yake kaanza michepuko

Wiki mbili tu za ndoa yake kaanza michepuko

Pepo la ngoja halijamwacha, sidhani kama ataacha kuchepuka.
 
Siku hizi ndoa zimekuwa kama vifungo kwa kuwa hata hao wanaoana hawajui kwanini wameona zaidi ya nguvu ya ny.ege tu.....mtu aliyeoa kwa kujua maana ya ndoa hawezi akawaza wa nje kwani mkewe ndiye mwanamke mrembo kuliko wote duniani, ndio maana akamchagua na kula nae kiapo kuwa ni kifo tu ndio kiwatenganishe kwani hakuna mwingine tena zaidi yake chini ya jua...........NDOA NDOANO.........
 
so umeona wivu... ulitaka aje kwako.......wacha usukununu wako....
 
BASI achana nae, ayasubiri majanga....

Kaka kabanga, msome vizuri jamaa na utamwelewa tu.
Anasema, jamaa karudia nyumba yake ya zamani na sasa kule mapenzi ni motomoto. Huu sio mchepuko! Kurudia life style yako sio mchepuko. Mchepuko ni kama ataongezea mwingine. Huku ni kuchunga colony lako lisichepukiwe. Anatunza nyumba na analea bustani zake zisiingiliwe na maguruwe, kosa liko wapi?
Kaweka saini kuoa huyu aliyekuwa analilia kuolewa, huyu aliyekuwa huru ana haki pia ka mwenzake. Asimwite mchepuko banaa
 
Kuna swahiba angu uwa namuuliza kwa nini aliamua kuoa na jibu lake ni "MUDA ULIFIKA" maana hana mabadiliko yaani michepuko kama kawa,ratiba ya kukesha bar ipo pale pale tumemuelekeza mpaka imebidi aachwe
 
Wacha ushamba unafiri wanawake wasiolewa watapewa mgegedo na nani.waka ndio wengi
 
Back
Top Bottom