Wife wangu ananiibia, ushauri unahitajika

Wife wangu ananiibia, ushauri unahitajika

Duude wewe ni mchoyo sana.na siamini unavyosema mkeo hachangii chochote.ninaona mambo mawili hapa.1 umeamua kufurahisha baraza 2.uliyoandika ni mawazo sasa unaangalia comments ili ukafanye vitendo.hii dunia especially chakula,msaidie binadamu mwenzio pale utakapoweza.you never know kesho utakuwaje ,u never know watoto wako wataishije after you.Mkemee roho wa uchoyo ni mbaya sana
Mkuu nilichoandika hapa sio hadithi wala kitendawili,,, ila ni hali halisi, na kila mmoja ana mtazamo wake binafsi, kuleta hapa ni moja ya sehemu watu wako kujengana, kuimarishana na kuelimishana,,, sikuleta hapa kufurahisha baraza kama usemavyo,,,,,sina uchoyo hata kidogo, na ndio maana niliwasomesha wadogo zake kwa moyo mkuu, tena from ma poket, chakula ni nini kwani,,,, tatizo hapa kwa nini aibe chakula anachokula yeye,,,,nilimkanya akasema sina ushahidi,,,, now i got the evedence.........kakake kamtoa yuko kwakwe na meanwile nimefuta kesi.... ila ushahidi upo....tutayazungumza in family.....yuko huru kabisa....
 
Mkuu nilichoandika hapa sio hadithi wala kitendawili,,, ila ni hali halisi, na kila mmoja ana mtazamo wake binafsi, kuleta hapa ni moja ya sehemu watu wako kujengana, kuimarishana na kuelimishana,,, sikuleta hapa kufurahisha baraza kama usemavyo,,,,,sina uchoyo hata kidogo, na ndio maana niliwasomesha wadogo zake kwa moyo mkuu, tena from ma poket, chakula ni nini kwani,,,, tatizo hapa kwa nini aibe chakula anachokula yeye,,,,nilimkanya akasema sina ushahidi,,,, now i got the evedence.........kakake kamtoa yuko kwakwe na meanwile nimefuta kesi.... ila ushahidi upo....tutayazungumza in family.....yuko huru kabisa....

Mkuu unajua watu wengine hawakuelewi kabisa......ila ni issue serious

Cc CYBERTEQ Kongosho
 
Pole sana mkuu, japo hili la kuwaweka ndani mkeo na shemeji yako nadhani halikuwa sahihi, ninachokushauri ni:
1. Mfanye mkeo awe responsible na familia, mjengee mazingira ya yeye kuchangia cost za familia
2.Usihusike na issue za jikoni directly, kaa chini na mkeo mjuwe kwa mwezi mnatumia kiasi gani kwa chakula,kisha mpe hiyo pesa mkeo na msisitize kuwa umeshafunga mkataba kwa mwezi huo, akili kichwani mwake ikifika tar 15 akakwambia pesa imeisha basi usitoe shilingi moja na mwambie huna pesa na endeleza msimamo huo.kwa kuwa mmepanga bajeti ya mwezi mzima haiwezekani tar 15 ikawa pesa imeisha, angalau iwe imeishia kuanzia tar 25 na kuendelea atleast hapo mana najuwa kuna emergencies nk.
Kuwa na muda nje ya nyumba yenu uwe unatoka na mkeo TU mnakwenda kuzungumza au kuspend for sometimes, huko utapata fursa nzuri ya kumuweka sawa!

Umeongea vizuri sana mkuu, but nakwambia umeme unaweza kuisha,,, wajua ukiwa na 2000 unapata umeme hata wa kusogeza,,, she cant by, tena anawaambia watoto nampigia baba yenu mumwambie umeme umeisha,,,,sula la bajeti nilijaribu likanishinda kabisa,,, pesa inaisha kabla, ukiuliza utanuniwa 3days, kisa atadai simuamini,,,ana kazi nzuri tuu, hata gari analotumia ni ghali kuliko langu,,, hata mafuta nilikuwa namuwekea, but nilisimamisha kwa makusudi,,, she afford herself......sidhani kama kuhusika jikoni ni dhambi, nimejifunza toka kwa my family,, toka tukiwa kids home tulikuwa na zamu za kuosha vyombo, kuandaa meza,,, na my dad alikuwa kinara kuhakikisha tunahusika direct shughuli za home,,,,,,hata leo nikiingia jikoni kama kuchafu,,, i can clean myself,,,,na shemeji zangu wameketisha kwenye tv,,, sio sawa hata kidg,,,
 
Mkuu unajua watu wengine hawakuelewi kabisa......ila ni iasue serioufs

Cc CYBERTEQ Kongosho
na hawataelewa kabisa, watashabikia kwa mitazamo yao..... all in all, nawashukuru walionipa maneno yafaayo,,,,na wengine wote,,,...kwa wakati muafaka.....kibaya ni kuwa baada ya kakake kumtoa alikwenda home akakusanya kila kimfaacho karudi kwa kakake,,,,,,...... coz najua yuko kule wala sijishughulishi nae.......may be ana stress zaidi yangu....ubarikiwe mkuu
 
Umeongea vizuri sana mkuu, but nakwambia umeme unaweza kuisha,,, wajua ukiwa na 2000 unapata umeme hata wa kusogeza,,, she cant by, tena anawaambia watoto nampigia baba yenu mumwambie umeme umeisha,,,,sula la bajeti nilijaribu likanishinda kabisa,,, pesa inaisha kabla, ukiuliza utanuniwa 3days, kisa atadai simuamini,,,ana kazi nzuri tuu, hata gari analotumia ni ghali kuliko langu,,, hata mafuta nilikuwa namuwekea, but nilisimamisha kwa makusudi,,, she afford herself......sidhani kama kuhusika jikoni ni dhambi, nimejifunza toka kwa my family,, toka tukiwa kids home tulikuwa na zamu za kuosha vyombo, kuandaa meza,,, na my dad alikuwa kinara kuhakikisha tunahusika direct shughuli za home,,,,,,hata leo nikiingia jikoni kama kuchafu,,, i can clean myself,,,,na shemeji zangu wameketisha kwenye tv,,, sio sawa hata kidg,,,

pole sana mkuu yaani huu ni unyanyapaa wa kutosha kabisa anaokufanyia....muda wa kutoka kwenye kichupa if any
 
na hawataelewa kabisa, watashabikia kwa mitazamo yao..... all in all, nawashukuru walionipa maneno yafaayo,,,,na wengine wote,,,...kwa wakati muafaka.....kibaya ni kuwa baada ya kakake kumtoa alikwenda home akakusanya kila kimfaacho karudi kwa kakake,,,,,,...... coz najua yuko kule wala sijishughulishi nae.......may be ana stress zaidi yangu....ubarikiwe mkuu

mwache huko huko, hawezi kukaa na kakae moja kwa moja, atanyooka tu mwenyewe atarudi...we endelea na maisha kama kawaida
 
Hata kama umewasomesha hadi chuo lakini bado unatakiwa kukaa chini na mkeo muangalie mtawasaidiaje waondokane na kuwa tegemezi!
Kama mnaweza kuwatafutia shughuli ya kufanya itakuwa vyema au kibarua!Lakini nina uhakika kwa maelezo unayo yatoa hakuwai kukaa chini na mkeo na mksongea kama marafiki na ukaonesha unaguswa na hilo tatizo!

Hebu tafuta njia nzuri zaidi ya kutatua hili tatizo hii ya kupelekana polisi na shemeji zako+mkeo kwa sababu chakula si afya kwa familia yako!

Hili swala lazima ujaribu kulitatua bila kutumia nguvu maana litaendelea kumuathiri mkeo na hamtakuwa na amani kwenye ndoa yenu!

Sidhani kama huyu jamaa anastahili kulaumiwa kwa hatua alizochukua maana kama ni kumkanya mkewe alishafanya hivyo na mke wake hakusikia. Mke ana kazi nzuri hachangii chochote nyumbani, kwa nini hasitumie mshahara wake kuwasaidia ndugu zake ila anataka kuwasaidia kwa kutumia vitu vilivyonunuliwa na mume wake tu!

Mwanamke wa aina hii ni mbinafsi na hana shukrani, wanaume wangapi ambao wako tayari kuwasomesha shemeji zao hadi chuo kikuu, hata kama uwezo wanao? Hata wewe unayemlaumu huyu jamaa unaweza kufanya hivyo?
Tatizo la shemeji zake na huyu jamaa wanautegemezi na wanatakiwa wajifunze kujitegemea.

Shemeji hawataki kutafuta kazi na kujitegemea sababu walishaambiwa na dada yao ana uwezo wa kuwatunza, sasa siku wakioa itakuwaje? Mi nadhani hili hawa mashemeji wapate akili ya kujifunza kujitegemea inabidi wapitie changamoto kama hizo za kulala sero, baada ya hapo kutakuwa na akili kichwani
 
Mkuu unajua watu wengine hawakuelewi kabisa......ila ni iasue serioufs

Cc CYBERTEQ Kongosho

unajua kama hayajakukuta au hauna mtu wako wa karibu aliyefikwa ni ngumu kuelewa, watu watakalia ushabiki wa yuma ya keyboard na kumponda jamaa sjui njaa kali, mchoyo, anachukia ndugu, wamesahau keshasema kwamba AMESOMESHA shemeji zake mpaka chuo, wakati huohuo kipato cha mkewe HAKIGUSWI, anajitahidi kuwatengenezea mazingira ya kujitegemea bado mke huyohuyo ambaye pesa yake haielewekei inakwenda wapi anahujumu nyumba tena!!!! mimi ninao uzoefu na ndugu zangu wa huko alikoowa jamaa kwa kweli wanatabia ngumu kumeza (najua si wote), mimi ni kidogo tu niuingie huo mkenge, bahati nzuri ilikuwa kipindi cha ujana nilikuwa bado na roho mbaya sana, usiku tumelala nikawa namwelekeza maisha yalivyo akaleta kiburi na maneno yasiyoeleweka nikaamka nikavaa jeans na shati, nikachukua documents zangu zote nikatia kwenye backpack kisha nikatoa kisu nikamwambia "nikikuchinja sasa hivi saa saba usiku, nikakutenganisha kiungo kimojakimoja, itanichukua muda wa masaa manne tu kuvuka mpaka na kutoweka" aliogopa sana na ikawa mwisho wa mahusiano yetu sijapata kumwona mpaka leo. jamaa yangu wa karibu niliyesimulia pale juu hakuwa na bahati hiyo, amekaa miezi kadhaa hospital,mke kauza kila kitu alishindwa kuuza nyumba tu lakini aliuza maduka mawili, vitu vyote vya thamani akaondoka, maisha yalienda kumpiga huko ndugu yangu stori ilivyokwenda mpaka leo nikikwambia mwanamke alirudi tena kuishi kwenye nyumba ya jamaa, jamaa anakwambia ni bora kufuga chatu lakini yeye kaamua kumfuga, imagine kumfuga mtu aliyekwacha ufe!! anapeleka pesa za matumizi na kila kitu lakini anaishi nyumba tofauti na anakwambia amejifunza ugaidi na hamwachi huyo mwanamke kwa sababu anajua anachosubiri huyo mwanamke ni talaka, unaochezwa sasa ni mchezo wa chess, ni game la paka na panya!
 
Shem pole sana daa.. huyo mamaanahitaji adhabu nyingine naona kama hiyo ndogo. Mie ni msichana sijaolewa bado but this is too much....na hao mashemej watafute kaz au wakalime ulimwengu wa kutegemea watu umepitwa na wakati. Kingine itoen serikal ya CCM madarakan ndio imesababisha huu umaskin wa kupindukia sheet CCM...
 
Umeongea vizuri sana mkuu, but nakwambia umeme unaweza kuisha,,, wajua ukiwa na 2000 unapata umeme hata wa kusogeza,,, she cant by, tena anawaambia watoto nampigia baba yenu mumwambie umeme umeisha,,,,sula la bajeti nilijaribu likanishinda kabisa,,, pesa inaisha kabla, ukiuliza utanuniwa 3days, kisa atadai simuamini,,,ana kazi nzuri tuu, hata gari analotumia ni ghali kuliko langu,,, hata mafuta nilikuwa namuwekea, but nilisimamisha kwa makusudi,,, she afford herself......sidhani kama kuhusika jikoni ni dhambi, nimejifunza toka kwa my family,, toka tukiwa kids home tulikuwa na zamu za kuosha vyombo, kuandaa meza,,, na my dad alikuwa kinara
kuhakikisha tunahusika direct shughuli za home,,,,,,hata leo nikiingia jikoni kama kuchafu,,, i can clean myself,,,,na shemeji zangu wameketisha kwenye tv,,, sio sawa hata kidg,,,

Dah pole sana...........ikitokea akarudi nyumbani majukumu mgawane pasu kwa pasu ......kama hataki aache kazi alee watoto hapo nyumbani .......mana haina faida kufanya kazi napesa isionekane nyumbani..........i
 
Nahisi utakua una roho ya ubinafsi,chuki na kutojiamini.Unapenda kufuatilia vitu vidogo,siamini kama mwanaume mzima unachunguza hadi chakula.Hao ndugu za mkeo unaowafukuza na kuwadhalilisha kisa chakula hujui kua ipo siku wanaweza kua msaada mkubwa Kwa wanao mbele ya safari.Ningekupa kisa flani cha kweli ila ngoja nikuache hujui ufanyalo.
Wewe unaliangalia hili suala kwa upande mmoja tu, kama kawasadia kwa kuwasomesha hadi chuo kikuu unataka afanye nini zaidi ya hapo? Mke wake si ana kazi nzuri tu kwa nini hasiwasaidie kwa pesa zake.
Watanzania ndio maana hatuendelei kwa kushabikia ujinga kama huu, wewe unadhani maisha mazuri yanapatikana kwa kukaa nyumbani?

Ngoja wapate somo ndio watajifunza kujitegemea, kama wanakuwa tegemezi kiasi hicho na hawataki kujifunza kujitegemea ikitokea huyu jamaa hayupo watafanyaje?
 
Very serious, ni issue ya uzalendo wa kifamilia, kama mtu hana uzalendo atauza familia.

Ndo maana na viongozi wetu wanatuuza kwa kukosa uzalendo, sasa nashangaa kuliona hili kwa ngazi ya familia. Huyo akipewa bil 1, achomoe roho ya mumewe anafanya bila kufikiria.


Kule kwetu kuna msemo "Nfumu nkali akabulagagwa na ng'hemba okwe, wakimaanisha 'mganga anayeogopeka huwa anauliwa na wasaidizi wake.

Kwa mambo ya kisasa ni kuwa hata viongozi wanaolindwa sana huwa wanauawa na walinzi wao, lazima ndani ya kundi lake wachache wawe compromised.

Mke wa jamaa tayari keshacompromised, it is not good kabisa.

Mkuu unajua watu wengine hawakuelewi kabisa......ila ni issue serious

Cc CYBERTEQ Kongosho
 
Very serious, ni issue ya uzalendo wa kifamilia, kama mtu hana uzalendo atauza familia.

Ndo maana na viongozi wetu wanatuuza kwa kukosa uzalendo, sasa nashangaa kuliona hili kwa ngazi ya familia. Huyo akipewa bil 1, achomoe roho ya mumewe anafanya bila kufikiria.


Kule kwetu kuna msemo "Nfumu nkali akabulagagwa na ng'hemba okwe, wakimaanisha 'mganga anayeogopeka huwa anauliwa na wasaidizi wake.

Kwa mambo ya kisasa ni kuwa hata viongozi wanaolindwa sana huwa wanauawa na walinzi wao, lazima ndani ya kundi lake wachache wawe compromised.

Mke wa jamaa tayari keshacompromised, it is not good kabisa.


1bn?!!...bhebhe nanho Kongosho lekaga, wanawake wanauwa waume zao kwa ajili ya nyumba, vigari na vijiduka tu!
 
Last edited by a moderator:
Wakuu CYBERTEQ na Kongosho nimewasoma kwa.makini sana and i just wanted you to share your experiences hapo....maana ni sheeder hii wajameni...baadhi ya wanawake can be so evil to themselves and their families! Damn
 
Last edited by a moderator:
Jamani CYBERTEQ usihukumu wanamigombani wote kwa visa vichache ulivyovisikia.........haya matatizo yapo katika kila kabila na sio wanamigombani tu lol..............
 
Last edited by a moderator:
Mwache apumzike ajitafakari kama ndoa hii anaihitaji ama lah.

Akiona anaihitaji atarudi, na akirudi set rules mpya kabisaaaa.


Kosa kubwa kwa wanamme nadhani ni kukubali wake zenu wafanya kazi, halafu wasichangia lolote katika familia, Inawajengea kutokuwa wawajibikaji, na wanahisi ni rahisi tu kuweka ugali mezani na kuweka mambo yote sawa. Bila kujua kuwa hata kama haulalamiki, kuna siku hulali unawaza utapata wapi pesa.

Kuna kaka mmoja, mkewe na degree yake, hadi mafuta ya gari anamwekea. Na kwa kweli bi dada anamfuja mmewe kweli, akiachiwa hela hata za matumizi ya home anakula zote. Huwa sielewi anazila kwa kitu gani.


Kusaidia wazazi wetu sio jinai hata kidogo, lakini kwa makubaliano na labda kwa zamu zamu.

Na tatizo la familia zingine wakishaona mmoja katoka baso waliobaki wanasinzia, ukiwaendekeza waliosinzia mtagombana kila siku. Lazima kila mmoja afanya kazi ili kujikimu na maisha yake. Haiwezekani mtu mmoja ahudumie watu wazima 7 na bado asonge mbele. Huu ni unyonyaji wa mchana kweupeeeee.

na hawataelewa kabisa, watashabikia kwa mitazamo yao..... all in all, nawashukuru walionipa maneno yafaayo,,,,na wengine wote,,,...kwa wakati muafaka.....kibaya ni kuwa baada ya kakake kumtoa alikwenda home akakusanya kila kimfaacho karudi kwa kakake,,,,,,...... coz najua yuko kule wala sijishughulishi nae.......may be ana stress zaidi yangu....ubarikiwe mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom