!
!
kama wewe i mwanamke sawa, sasa mke wa kaka yako ndio anaitwa wifi,ila katiuka simu sijui
Ahsante kuthjulisha na sisi wengine. Namu niulize kuwa kwa nini cm yangu aina ya htc one v haina uwezo kushika mtandao nikiwa kama km 7? Hii nj cm kubwa na ni ghali. Je nimekosea zetting? Nisaidieni
Una nia ya kusaidiwa kwely?
.
Simu yako kuwa ghali vina uhusiano wowote na unachoulza?
Samahani kwa lugha nilotumia maana yangu hasa ni kuwa simu ya bei hiyo ingelingana basi na efficience yake. Unajua tatizo lake?
wifi is something that gives access to go onlinehabari
jamani mimi natumia tecno n7 sas sielewi matumizi ya Wi-Fi na nikitaka kuitumia nafanya nini???? kiukweli i know nothing about it naiona tuuu ipo ila siielewi kabisaaaaa naomba mnifafanulie kwa kina na mnielekeze jinsi ya kuitumia
asanteni
![]()
Hii kitu itasaidia simu zetu zilizofungwa na TCRA tunaweza kujiunga na whatsapp kwa msaada wa wifi[/
you can use Wifi to make calls with Whatapp or Viber. Also you can use Wifi to connect online. I will give you an example, when I was at Mbeya Hotel, I was able to watch you tube videos by using Wifi at the hotel.