WHY SLAA MUST RESIGN...! "..effect of the crowded house.."

WHY SLAA MUST RESIGN...! "..effect of the crowded house.."

kukaa na kulalama kila siku kilo ya sukari, kilo ya sembe na kadharika ni kupungiwa hoja nadhani. kupanda kwa bei ya vitu ni hali ambayo ipo almost sehemu nyingi duniani hata kwa hao majirani zetu kenya na uganda pia. ni kweli vitu vinapanada tokea matumizi ya sumni na senti mpaka shilingi. so jenga hoja ya msingi yaa kuongelea..
 
Tandale One,

umeandika vyema, nashukuru kuwa katika wachangiaji wa thread hii yawezekana ni wewe wa kwanza labda pia unaweza ukabaki wa pekee ambae amehoji na kutaka ufafanuzi wa haja juu ya kuwepo kwa mgogoro huo, athari zake kwa chama,na taifa kwa ujumla, lakini pia umehoji juu ya yale niliyodhani ni ya msingi kuyajadili katika baraza kuu lililokwisha hivi karibuni na kuacha kuyajadili hayo, na kwa uhakika upi kuwa hayo hayajajadiliwa, umetaka kujua haya.,nami bila ya khiyana nitayabainisha haya kwa kina, moja baada ya jingine;

i) Nilichokieleza ni mgogoro uliokuwepo baina ya viongozi waandamizi wa bavicha na chadema, mgogoro ambao ni wa kimaslahi zaidi na umejaa UNAFSI.,,kwa kumbukumbu ya maandiko ya mwalimu nyerere katika kitabu chake alichoandika mwaka 1962.,TUJISAHIHISHE ameeleza kwa upana juu ya athari mbaya zitokanazo na unafsi na hivyo inabainisha wazi kuwa mgogoro huu ni mbaya na mpana kuliko mgogoro wa kiitikadi, kisera na kikatiba.,kwani mgogoro huu wa UNAFSI unaathiri utendaji wa chama, unaathiri utekelezaji wa sera, unasababisha kushindwa kuisimamia itikadi ya chama na mbaya zaidi unapindisha KATIBA na MAADILI ya chama, vitu ambavyo ni misingi mikubwa ya chama ambayo ikiguswa misingi hiyo chama kizima hutetereka kama ilivyo kwa chadema hivi sasa.

ii) Bigaraone.,umetaka kujua pia mwanachadema anaathirika vipi, ama taifa linaathirika vipi ama chama juu ya katiba yake, strategy zake, ideology ama mode na conducts, nitakujibu kama ifuatavyo; Katiba ya chadema inasema katika madhumuni ya Chama kuwa; Kukuza, kulinda, kuelimisha na kutetea haki za binadamu katika misingi ya Tangazo laUlimwengu la haki za Binadamu na miKataba yote ya Kimataifa inayolinda haki hizo na
inayofutilia mbali ukandamizaji wa watu katika misingi ya rangi, jinsia, ukanda, umri au
itikadi jambo hili linaloendelea katika chadema limeenda kinyume na madhumuni ya chadema kikatiba, na kwa maana ideology yake pia itaathirika kuwa "CHADEMA inaamini katika uhuru chini ya sheria zilizo za haki. na jambo hili linabainisha wazi kuwa kuna ukandamizaji ndani ya chadema kwa kigezo cha udini na ukanda-mind u, hayo ni kwa mujibu wa kauli ya shonza, makamu mwenyekiti wa BAVICHA taifa.,not just mere street virus.,ni mtu ambae anakifahamu chama kuliko unavyodhani..,pia imebainishwa kuwa katika chadema hakuna haki kwa walio chini, bali haki ni kwa wakuu wa chama hiko tu na kinachoamuliwa na wao ndio haki hata kama hakina misingi ya haki-zingatia rufaa ya chagulani ya kufukuzwa uanachama,zingatia rufaa ya madiwani wa arusha, zingatia kauli ya zitto kwenye press yake ya february akiwa kigoma,hayo yote yanatoka kwa viongozi ambao ndio hasa wanaishi katika laboratory ya Chadema na wanaijua zaidi ya mimi na wewe, wameyasema hayo wewe na mimi ni nani hata tupinge ukweli huu..???

iii) Kuhusu kuwa nilichokiandika ni fabricated forged propaganda, ambayo inawatoa watu katika hoja za msingi zihusuzo umasikini.,dah hapa naanza kupata shaka kuwa ukumaliza kuisoma thread yangu mpaka mwisho kwani hili la watu kufikiri katika mlengwa wa wafikirivyo akina fulani nilishalitolea angalizo hapa;
ANGALIZO:
Napenda pia kukumbusha kuwa katika umasikini mbaya ni kufikiri chini ya kiwango au utumwa mbaya ni kuruhusu wengine wafikiri kwa ajili yako nawe uwe mfuata mkumbo na upepo wa mawazo yao, ni bora kujilazimisha kufikiri hata kuliko kikomo ulichodhani unacho kwa kufanya hivyo unaweza kugundua kuwa unaweza kufikiri na kuwaza kuliko vile ulivyodhani awali.Tusiweke kando fikra na hoja zetu zenye ufasaha kwa kufuata ushabiki.

hili halina sura ya kutaka watu wasahau juu ya umasikini wao, wala halisemi kwa nia ya kuchochea mgogoro na wala si sawa kusema kuwa haya ni mambo ya kutunga na non-constructive kama ulivyoandika, bali nimeshauri kwa ukweli wa kushauri, kwa maana kwa nia ya kuiona chadema inasimama na inakuwa imara ili iwe inaikumbusha CCM juu ya makosa yao na hivyo kuichochea katika kasi ya kuleta maendeleo kwa watu na hivyo kuondoa umasikini, ama ili uone nimegusa umasikini ulitaka nianze kutaja orodha ya wezi wa EPA na kisha kuonyesha picha za madarasa mabovu na wanafunzi wanaokaa kwenye mawe kwenye madarasa mabovu ndipo uone kuwa nimedhamiria kuondoa umasikini, hivi haikuwa ni jambo jema kushauri chadema ili kuleta upinzani imara utaochochea maendeleo ya watu..??? unafikiri namna ipi wewe..?

iv) umetaka pia nikutajie makundi yaliyopo chadema, nikutajie list ya kundi la Slaa, ili uone.,unataka kuniambia kuwa bado haujaona wala hutaki kukiri kuwa Chadema kuna makundi.,hutaki kulikubali tatizo kwa maana na mtazamo huo hautaweza tatua tatizo lililopo,usiwe kama mbuni kuficha kichwa na kuacha mwili, ni kwa mawazo kama yako chadema waliacha kujadili haya kwenye baraza lao wiki iliyopita na three days ahead mtu anakuja kuyamwaga hapa JF kinyume na taratibu ni kwa kuwa hakupata nafasi ya kuyajadili hayo kwenye vikao vya chama, vikao havikumpa nafasi, wakuu wa chama wanambana na kumfanya ashindwe kuyasema huko, hivi bado hujaona kuwa hilo ni tatizo..??
kamati kuu imeshindwa na nitasema hili kokote haikutoa fursa na kuwaacha watu wajadili kwa upana wa kujadili hoja ambazo ni zenye kujenga na kubainisha mustakabali wa chama, hii ilikuwa ni hoja na ajenda ya msingi kujadiliwa lakini haikujadiliwa, na ajenda nyingine iliyokuwa skipped ni ya kuhusu maadili na rufaa za waliohisi kuonewa katika maamuzi ya chama. watu hawa wanayo haki na wanastahili kupewa nafasi kwa baraza kuwajadili kwa mara ya pili(kama walijadiliwa kwa mara ya kwanza) juu ya malalamiko yao kuhusu hukumu za kipilato zilizowapata ndani ya chama hicho.
Naweza nisieleweke na nisionekana kuwa ni mshauri mwema lakini hilo sijali sana, ila ningeridhia zaidi kama mngenielewa na kufanyia kazi ushauri wangu;

JAMII YA KISTAHARABU HUKOSOANA KWA UPENDO NA KUONYESHANA NJIA...!
 
Tandale One,

Umejitahidi kuandika nakupongeza sana na kupongeza kwa kujaribu kutolea maelezo pale ambapo watu wanasema hujaeleweka. Naona hujaeleweka maana umeshindwa kuonyesha kwa mapana na marefu hasa tatizo unalotaka kutuaminisha ni la kiitikadi, kisera, kikatiba, kisheria au kimaadili?

Makundi ambayo unayasema kuwa yapo kati ya Zitto na Dr. Slaa yameathiri kwa kiasi gani itikadi ya CDM? au sera yake, au mikakati yake, sheria za nchi na maadili ya CDM na Taifa? Kama wewe ni mwana CDM umeathrika kiasi gani on basis of constitution, strategy, ideology na mode and conduct.

Uliyosema in a nutshell are fabricated and forged propaganda geared to diverge attention of CDM from being vocal against the vices deliberately done by CCM that have led this country into abject poverty and the impact of that poverty is that we have a generation that cannot analyse issues and identify critical and basic ones from simple ones that do not have any impact whatsoever to the nation.

Ndio maana watu wanashangaaa kuwa mnanyamazia mambo ya msingi na mnaagalia mambo ya kutunga ambayo lengo sio kujenga (non constructive) bali kubomoa (destructive). Umeombwa utuonyeshe kundi la Dr. Slaa na jinsi uwepo wake unavyoathiri framework niliyoionyesha hapo juu ambayo kwayo uhai wa chama chochote husimaa lakini hujfanya hivyo.

Umesema kamati Kuu iliyokaa iishindwa kuadress mambo muhimu. Ni yepi hayo muhimu. Wewe ni member wa kikao hicho? Kilikuwa na agenda? Kama kweye agenda uliyotaka yajadiliwe kama hayakuwa sehemu ya agenda je kikao kiliendeshwa kidikiteita kiadi kwamba hata mengineyo hayakuwepo. Minutes za kikao ziichukuliwa? Ziweke wazi basi short of that all said by you are mere allegations


umeandika vyema, nashukuru kuwa katika wachangiaji wa thread hii yawezekana ni wewe wa kwanza labda pia unaweza ukabaki wa pekee ambae amehoji na kutaka ufafanuzi wa haja juu ya kuwepo kwa mgogoro huo, athari zake kwa chama,na taifa kwa ujumla, lakini pia umehoji juu ya yale niliyodhani ni ya msingi kuyajadili katika baraza kuu lililokwisha hivi karibuni na kuacha kuyajadili hayo, na kwa uhakika upi kuwa hayo hayajajadiliwa, umetaka kujua haya.,nami bila ya khiyana nitayabainisha haya kwa kina, moja baada ya jingine;

i) Nilichokieleza ni mgogoro uliokuwepo baina ya viongozi waandamizi wa bavicha na chadema, mgogoro ambao ni wa kimaslahi zaidi na umejaa UNAFSI.,,kwa kumbukumbu ya maandiko ya mwalimu nyerere katika kitabu chake alichoandika mwaka 1962.,TUJISAHIHISHE ameeleza kwa upana juu ya athari mbaya zitokanazo na unafsi na hivyo inabainisha wazi kuwa mgogoro huu ni mbaya na mpana kuliko mgogoro wa kiitikadi, kisera na kikatiba.,kwani mgogoro huu wa UNAFSI unaathiri utendaji wa chama, unaathiri utekelezaji wa sera, unasababisha kushindwa kuisimamia itikadi ya chama na mbaya zaidi unapindisha KATIBA na MAADILI ya chama, vitu ambavyo ni misingi mikubwa ya chama ambayo ikiguswa misingi hiyo chama kizima hutetereka kama ilivyo kwa chadema hivi sasa.

ii) Bigaraone.,umetaka kujua pia mwanachadema anaathirika vipi, ama taifa linaathirika vipi ama chama juu ya katiba yake, strategy zake, ideology ama mode na conducts, nitakujibu kama ifuatavyo; Katiba ya chadema inasema katika madhumuni ya Chama kuwa; Kukuza, kulinda, kuelimisha na kutetea haki za binadamu katika misingi ya Tangazo laUlimwengu la haki za Binadamu na miKataba yote ya Kimataifa inayolinda haki hizo na
inayofutilia mbali ukandamizaji wa watu katika misingi ya rangi, jinsia, ukanda, umri au
itikadi jambo hili linaloendelea katika chadema limeenda kinyume na madhumuni ya chadema kikatiba, na kwa maana ideology yake pia itaathirika kuwa "CHADEMA inaamini katika uhuru chini ya sheria zilizo za haki. na jambo hili linabainisha wazi kuwa kuna ukandamizaji ndani ya chadema kwa kigezo cha udini na ukanda-mind u, hayo ni kwa mujibu wa kauli ya shonza, makamu mwenyekiti wa BAVICHA taifa.,not just mere street virus.,ni mtu ambae anakifahamu chama kuliko unavyodhani..,pia imebainishwa kuwa katika chadema hakuna haki kwa walio chini, bali haki ni kwa wakuu wa chama hiko tu na kinachoamuliwa na wao ndio haki hata kama hakina misingi ya haki-zingatia rufaa ya chagulani ya kufukuzwa uanachama,zingatia rufaa ya madiwani wa arusha, zingatia kauli ya zitto kwenye press yake ya february akiwa kigoma,hayo yote yanatoka kwa viongozi ambao ndio hasa wanaishi katika laboratory ya Chadema na wanaijua zaidi ya mimi na wewe, wameyasema hayo wewe na mimi ni nani hata tupinge ukweli huu..???

iii) Kuhusu kuwa nilichokiandika ni fabricated forged propaganda, ambayo inawatoa watu katika hoja za msingi zihusuzo umasikini.,dah hapa naanza kupata shaka kuwa ukumaliza kuisoma thread yangu mpaka mwisho kwani hili la watu kufikiri katika mlengwa wa wafikirivyo akina fulani nilishalitolea angalizo hapa;
ANGALIZO:
Napenda pia kukumbusha kuwa katika umasikini mbaya ni kufikiri chini ya kiwango au utumwa mbaya ni kuruhusu wengine wafikiri kwa ajili yako nawe uwe mfuata mkumbo na upepo wa mawazo yao, ni bora kujilazimisha kufikiri hata kuliko kikomo ulichodhani unacho kwa kufanya hivyo unaweza kugundua kuwa unaweza kufikiri na kuwaza kuliko vile ulivyodhani awali.Tusiweke kando fikra na hoja zetu zenye ufasaha kwa kufuata ushabiki.


hili halina sura ya kutaka watu wasahau juu ya umasikini wao, wala halisemi kwa nia ya kuchochea mgogoro na wala si sawa kusema kuwa haya ni mambo ya kutunga na non-constructive kama ulivyoandika, bali nimeshauri kwa ukweli wa kushauri, kwa maana kwa nia ya kuiona chadema inasimama na inakuwa imara ili iwe inaikumbusha CCM juu ya makosa yao na hivyo kuichochea katika kasi ya kuleta maendeleo kwa watu na hivyo kuondoa umasikini, ama ili uone nimegusa umasikini ulitaka nianze kutaja orodha ya wezi wa EPA na kisha kuonyesha picha za madarasa mabovu na wanafunzi wanaokaa kwenye mawe kwenye madarasa mabovu ndipo uone kuwa nimedhamiria kuondoa umasikini, hivi haikuwa ni jambo jema kushauri chadema ili kuleta upinzani imara utaochochea maendeleo ya watu..??? unafikiri namna ipi wewe..?

iv) umetaka pia nikutajie makundi yaliyopo chadema, nikutajie list ya kundi la Slaa, ili uone.,unataka kuniambia kuwa bado haujaona wala hutaki kukiri kuwa Chadema kuna makundi.,hutaki kulikubali tatizo kwa maana na mtazamo huo hautaweza tatua tatizo lililopo,usiwe kama mbuni kuficha kichwa na kuacha mwili, ni kwa mawazo kama yako chadema waliacha kujadili haya kwenye baraza lao wiki iliyopita na three days ahead mtu anakuja kuyamwaga hapa JF kinyume na taratibu ni kwa kuwa hakupata nafasi ya kuyajadili hayo kwenye vikao vya chama, vikao havikumpa nafasi, wakuu wa chama wanambana na kumfanya ashindwe kuyasema huko, hivi bado hujaona kuwa hilo ni tatizo..??
kamati kuu imeshindwa na nitasema hili kokote haikutoa fursa na kuwaacha watu wajadili kwa upana wa kujadili hoja ambazo ni zenye kujenga na kubainisha mustakabali wa chama, hii ilikuwa ni hoja na ajenda ya msingi kujadiliwa lakini haikujadiliwa, na ajenda nyingine iliyokuwa skipped ni ya kuhusu maadili na rufaa za waliohisi kuonewa katika maamuzi ya chama. watu hawa wanayo haki na wanastahili kupewa nafasi kwa baraza kuwajadili kwa mara ya pili(kama walijadiliwa kwa mara ya kwanza) juu ya malalamiko yao kuhusu hukumu za kipilato zilizowapata ndani ya chama hicho.
Naweza nisieleweke na nisionekana kuwa ni mshauri mwema lakini hilo sijali sana, ila ningeridhia zaidi kama mngenielewa na kufanyia kazi ushauri wangu;

JAMII YA KISTAHARABU HUKOSOANA KWA UPENDO NA KUONYESHANA NJIA...!
 
Kwanza mimi sio mwanachama wa CHADEMA ni mtanzania mwenye kiu ya mabadiriko, Pili Alichokisema mnyika ni kwamba uchunguzi wa shutuma na tuhuma zinazotolewa umeanza kufanywa, uchunguzi ukikamilika unaweza kuja na matokeo ya kuwapo kwa makundi yote mawili, au moja au hakuna makundi au kuja na mambo mengine kabisa kama tatizo halisi.

Wewe umekwishakutoa hukumu tayari. wewe ni kama mungu kabisa wewe
Kaka kula raha, huu ni msimu wa sikukuu acha kubishana na watu wanaotumiwa kama condom
 
……….it was on Thursday evening, 10[SUP]th[/SUP] December in the year 1936 on 10 Downing Street, Garden Entrance, two people had been in serious conversation., one was ALBERT FREDERICK ARTHUR GEORGE-the then DUKE OF YORK who three days later came to be known as KING GEORGE VI OF THE UNITED KINGDOM and DOMINIONS OF THE BRITISH COMMONWEALTH and the other was MR. STANLEY BALDWIN-THE PRIME MINISTER OF UNITED KINGDOM who later replaced by NEVILLE CHAMBERLAIN..,

The conversion was all about the scandal that touch the Kings' name EDWARD VIII over HIS proposed married to MRS SIMPSON.., MR BALDWIN argued…"it's not because she is American, that is least, it's because she is assumed to be twice divorced American and the King as a head of the church of England cannot marry a divorced woman….and Sir I real apologize to be true this, but according to Scotland yard, the King has not always possess the exclusive rights…..should his Majesty continue to ignore the advice of His government..? He must abdicate otherwise His government has no choice but to resign.., and ALBERT the DUKE poses a question; Prime Minister, do you lead the country without the government…? And MR BALDWIN responds this by question; does the King DO what he wants or he does what people expect him to do...!

Hii habari ipo mezani kwa mbowe,anafikiria kuchukua maamuzi magumu ya kumuondoa kabisa slaa kwenye chama
 
ya chadema waachie wanachadema wenyewe na wanajua jinsi ya kuyamaliza kwani hapo walipofikia na kukubaliwa na wanachi uliwafundisha wewe??

Na ya ccm tumewaachia ccm wenyewe,mbona mnashughulishwa sana na ya chadema hali ya kuwa kwenu yapo mengi ya kukosoana na kujiimarisha kama kweli mna nia ya dhati ya kubakia madarakani?

Huwez kuguswa na chadema zaidi ya wanavoguswa wanachadema wenyewe
.
 
ya chadema waachie wanachadema wenyewe na wanajua jinsi ya kuyamalizakwani hapo walipofikia na kukubaliwa na wanachi uliwafundisha wewe??

Na ya ccm tumewaachia ccm wenyewe,mbona mnashughulishwa sana na ya chadema hali ya kuwa kwenu yapo mengi ya kukosoana na kujiimarisha kama kweli mna nia ya dhati ya kubakia madarakani?

Huwez kuguswa na chadema zaidi ya wanavoguswa wanachadema wenyewe
.

kweli itafika kipindi ya chadema tutawaachia chadema wenyewe lakini mpaka kufikia huko, sidhani kama wataweza kusimama tena...!
 
umeandika vyema, nashukuru kuwa katika wachangiaji wa thread hii yawezekana ni wewe wa kwanza labda pia unaweza ukabaki wa pekee ambae amehoji na kutaka ufafanuzi wa haja juu ya kuwepo kwa mgogoro huo, athari zake kwa chama,na taifa kwa ujumla, lakini pia umehoji juu ya yale niliyodhani ni ya msingi kuyajadili katika baraza kuu lililokwisha hivi karibuni na kuacha kuyajadili hayo, na kwa uhakika upi kuwa hayo hayajajadiliwa, umetaka kujua haya.,nami bila ya khiyana nitayabainisha haya kwa kina, moja baada ya jingine;

i) Nilichokieleza ni mgogoro uliokuwepo baina ya viongozi waandamizi wa bavicha na chadema, mgogoro ambao ni wa kimaslahi zaidi na umejaa UNAFSI.,,kwa kumbukumbu ya maandiko ya mwalimu nyerere katika kitabu chake alichoandika mwaka 1962.,TUJISAHIHISHE ameeleza kwa upana juu ya athari mbaya zitokanazo na unafsi na hivyo inabainisha wazi kuwa mgogoro huu ni mbaya na mpana kuliko mgogoro wa kiitikadi, kisera na kikatiba.,kwani mgogoro huu wa UNAFSI unaathiri utendaji wa chama, unaathiri utekelezaji wa sera, unasababisha kushindwa kuisimamia itikadi ya chama na mbaya zaidi unapindisha KATIBA na MAADILI ya chama, vitu ambavyo ni misingi mikubwa ya chama ambayo ikiguswa misingi hiyo chama kizima hutetereka kama ilivyo kwa chadema hivi sasa.

ii) Bigaraone.,umetaka kujua pia mwanachadema anaathirika vipi, ama taifa linaathirika vipi ama chama juu ya katiba yake, strategy zake, ideology ama mode na conducts, nitakujibu kama ifuatavyo; Katiba ya chadema inasema katika madhumuni ya Chama kuwa; Kukuza, kulinda, kuelimisha na kutetea haki za binadamu katika misingi ya Tangazo laUlimwengu la haki za Binadamu na miKataba yote ya Kimataifa inayolinda haki hizo...!
TULIA KWANZA,,HEBU VUTA PUMZI NA UPUMZIKE,,MBONA SPEED ZIMEKUA ZISIZO NA KIKOMO??

JIBU NA UTUELEZE HOJA ZA MASWALI HAPO JUU MOJA BAADA YA JINGNE,,

KWANZA ANZA NA KUYATAJA HAYO MAKUNDI YA DR SLAA,MBONA UNAPINDISHA PINDISHA??

USIIKIMBIE HOJA,,
JIBU HOJa
 
kweli itafika kipindi ya chadema tutawaachia chadema wenyewe lakini mpaka kufikia huko, sidhani kama wataweza kusimama tena...!.......


Hadi kufikia wapi tena mkuu??

Imebaki miaka miwili sisi tuichukue hii nchi,naona hamuamini,mnahisi kama vile masihara,,

hamtaki kabisa kuamini maskioni mwenu,na hivi jins mnavokuja na vihoja vyenu vinavofanana na viroja ndivo tunavozid kuyaona machozi yenu,,

hadi tufikie huko wapi??2015 hii hapa ishafika,,hayawi hayawi,,sasa yamekuwa??!!
 
Kumbe nape alivyosema yuko nje ya nchi amekwenda kula tuition ya lugha ya malkia? Japo ni copy and paste!
Hii thread kwa jinsi nilivyoisoma katikati ya mistari ni dhahiri kwamba ina mkono wa Prezzo a.k.a dogo. Nape hana uwezo wa kuandika kitu na kuweka kumbukumbu ya tarehe ya kupitishwa kwa katiba ya Chadema ya mwaka 2006 ikiwa katiba ya ccm tu haijui.

Ukweli wa mambo ni kwamba Dr. Slaa is going no where, he is there to stay! Ccm na masalia a.k.a PM7 mtahangaika sana lakini hamtofanikiwa kamwe.
 
wewe hata hujitahidi na kucopy katiba ya cdm bado hujanikamata,nchi yetu ina matatizo mengi sijawahi kukuona ukiikosoa serikali hii.EPA,RICHMOND,DOWANS,DEEPGREEN,MAUAJI YA MWANGOSI na mengineyo mengi wewe huyaoni kila siku wewe ni Dr.Slaa na cdm tu non sense...........
Eti ili uonekane unaongea ushauri wa maana unacopy katiba,aaaahhh wapi wewe Nape,hata shetani alivyotaka kumtega yesu ili atende dhambi alikuwa akinukuu maandiko na torati...........kwa maana imeandikwa,lakini kwa vile yesu alikuwa anafahamu ujanja huu wa shetani ndiyo maana alibaki kwenye njia sahihi mda wote wa majaribu,na hicho ndicho mtakachoambulia ninyi wanafiki....tunazifahamu hila zenu zote za kishetani hamtaweza.Zaidi wape hai wote hapo ugambani na masalia wwooooote
 
wewe hata hujitahidi na kucopy katiba ya cdm bado hujanikamata,nchi yetu ina matatizo mengi sijawahi kukuona ukiikosoa serikali hii.EPA,RICHMOND,DOWANS,DEEPGREEN,MAUAJI YA MWANGOSI na mengineyo mengi wewe huyaoni kila siku wewe ni Dr.Slaa na cdm tu non sense...........
Eti ili uonekane unaongea ushauri wa maana unacopy katiba,aaaahhh wapi wewe Nape,hata shetani alivyotaka kumtega yesu ili atende dhambi alikuwa akinukuu maandiko na torati...........kwa maana imeandikwa,lakini kwa vile yesu alikuwa anafahamu ujanja huu wa shetani ndiyo maana alibaki kwenye njia sahihi mda wote wa majaribu,na hicho ndicho mtakachoambulia ninyi wanafiki....tunazifahamu hila zenu zote za kishetani hamtaweza.Zaidi wape hai wote hapo ugambani na masalia wwooooote

Nimekusikia Mkuu.,subiri anguko kuu la chadema then...!
 
……….it was on Thursday evening, 10[SUP]th[/SUP] December in the year 1936 on 10 Downing Street, Garden Entrance, two people had been in serious conversation., one was ALBERT FREDERICK ARTHUR GEORGE-the then DUKE OF YORK who three days later came to be known as KING GEORGE VI OF THE UNITED KINGDOM and DOMINIONS OF THE BRITISH COMMONWEALTH and the other was MR. STANLEY BALDWIN-THE PRIME MINISTER OF UNITED KINGDOM who later replaced by NEVILLE CHAMBERLAIN..,

The conversion was all about the scandal that touch the Kings’ name EDWARD VIII over HIS proposed married to MRS SIMPSON.., MR BALDWIN argued…”it’s not because she is American, that is least, it’s because she is assumed to be twice divorced American and the King as a head of the church of England cannot marry a divorced woman….and Sir I real apologize to be true this, but according to Scotland yard, the King has not always possess the exclusive rights…..should his Majesty continue to ignore the advice of His government..? He must abdicate otherwise His government has no choice but to resign.., and ALBERT the DUKE poses a question; Prime Minister, do you lead the country without the government…? And MR BALDWIN responds this by question; does the King DO what he wants or he does what people expect him to do…?

Just after this conversation some minutes later KING EDWARD VIII signed the instrument of abdication to avoid HIS whole government resignation and the next day Friday 11[SUP]st [/SUP]December 1936, MR BALDWIN delivered HIS memorable speech “EFFECT OF THE CROWDED HOUSE” in which MR BALDWIN said at the end of the speech, “Where I failed, no one could have succeeded”

Historia hii inatufunza mambo mengi na muhimu hasa tukiilinganisha na matukio ya kisiasa ambayo yanaendelea nchini kwetu hivi sasa, katika vuguvugu la malumbano na kufarikiana kukubwa kulikoikumba kambi ya upinzani hususani Chadema hivi sasa ambako kunatokana na Viongozi wakuu wa Chama Hicho kugombea madaraka.

Katika kilichotokea hivi karibuni ambapo viongozi wakuu wa chama hicho wamevuana nguo hadharani na kuonyesha utovu mkubwa wa nidhamu na fedhea ya hali ya juu miongoni mwao. Lakini pia imedhihirisha kuwa viongozi hawa hawajui nini maana ya kuwa viongozi, hawajiheshimu wenyewe lakini pia hawaheshimu wengine. Ni watu waliodhihirishia umma kuwa wao ni wababaishaji ambao wanajali zaidi maslahi binafsi kuliko maslahi ya jamii ama umma.
Kupotea kwa nidhamu katika Chama hiki kunatokana na viongozi wakuu ambao wanajukumu la kusimamia nidhamu ktk chama hicho kushindwa kufanya kazi yao ipasavyo wakiongozwa na Katibu Mkuu wa chama hicho ambae kikatiba analo jukumu la kuhakikisha kuwa wanachama wanakuwa na nidhamu na wanafuata misingi, taratibu na kanuni za chama kama ilivyoainishwa katika Katiba ya Chama.

Lakini pia, Mambo yanayotokea hivi sasa yanaonyesha wazi kushindwa kwa kamati kuu ya chama hiko katika kusimamia majukumu yake na hivyo kuruhusu mambo yanayotakiwa kujadiliwa ndani ya vikao vya Baraza hilo kushindwa kufikiwa hatma na hivyo kuyafanya mambo hayo kujadiliwa nje ya vikao, ni kwa sababu viongozi wa chama hicho kuogopa kuyajadili hayo na hivyo kuyaacha na kufanya waathirika na wanaohisi kuonewa katika chama kutafuta platform nyingine na kuyazungumza hayo. Jukumu hilo la Kamati kuu ni la kikatiba ambapo imeanishwa katika katiba ya Chadema Sura ya Tisa;
9.0 MAMBO YA JUMLA KUHUSU KATIBA NA CHAMA
9.2 Kanuni na Maadili ya Chama:

9.2.5 Kamati Kuu itatunga maadili ya kuongoza nidhamu, utii, na uwajibikaji na dhamira ya
watendaji viongozi wa Chama na wanaChama kwa ujumla. Hii ni pamoja na Maadili ya
Mwenendo katika vikao vya Chama.."


Lakini imedhihirika kuwa hata baada ya Kamati kuu la chadema kukutana hivi karibunu, kwa makusudu na maslahi binafsi waliamua ku-skip hoja za msingi ambazo zinagusa mustakabali wa chama hiko na kujisahahulisha mapungufu makubwa yaliyomo katika chama hiko.

Katika kutafuta suluhu na suluhisho la kudumu ni lazima kuangalia kiini cha tatizo hili ambalo bila ya shaka ni mbio za urais 2015 ambazo zimepelekea kuwepo kwa makundi hasimu (antagonistic pacts) yakiongozwa na Katibu Mkuu wa Chama Hiko Dr Slaa, na Makamu wake Zitto Kabwe. Kama ilivyotokea kwa Makamba na kama ilivyotokea kwa King Edward VIII ambapo imedhihiri kuwa watu hawa wanaendeshwa na hisia binafsi na tamaa zao za madaraka na wameshindwa kuweka maslahi binafsi pembeni na hivyo kuleta makundi na sintofahamu kubwa ndani ya chama, na mitazamo ya sasa ni kuwa kulingana na ukubwa wa mgawanyiko na makundi haya, Chadema inaweza kumeguka ama kufa moja kwa moja, ili kunusuru kadhia hiyo isitokee busara inamtaka Slaa kulitathimin hili kwa kina na kufanya maamuzi magumu ya kujiuzulu nafasi yake pamoja na sekretarieti yake kwa pamoja ili kupisha uteuzi mwingine ambapo utazingatia hatari ya kuwarudisha watu ambao wataendeleza na kukuza makundi kwa maslahi binafsi. Hili linaweza kufanyika ikiwa tu Dr Slaa atakuwa tayari kuona kuwa linafanyika, kwani kujiuzulu kwake ndiko kikatiba kutakakopelekea reform kubwa kufanyika ndani ya chama, itatoa mpenyo na mwaya wa Vikao vikuu vya Chama kukutana na kujadili dharula hiyo, hivyo kupelekea jambo hili linalohusu mgogoro wa sasa kujadiliwa kwa kina na kufanyiwa maamuzi ya msingi ambayo labda yanaweza kurudisha hadhi na heshima ya Chama ambacho tayari kimeanza kuonekana cha wababaishaji, lakini pia kurudisha imani ya wananchi iliyokuwa tayari imeshuka kwa asilimia kubwa.

Nasema hii ndio suluhu pekee kwa kuwa kulingana na Katiba ya Sasa ya Chadema iliyopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 13/08/2006 ni vigumu na ni jambo lenye uzito kwa viongozi kama Slaa ama Zitto ama Heche ama Shonza kuweza kung’olewa katika nafasi zao kwa vikao vya kawaida vya maadili ndani ya chama kwa kuwa katiba ya Chadema inasema katika Sura ya Sita;

6.3.6 Mamlaka za Nidhamu na Uwajibishaji
(f) Viongozi wa ngazi ya kitaifa waliochaguliwa na Mkutano Mkuu wanaweza kusimamishwa uongozi endapo theluthi mbili ya wajumbe wa Baraza Kuu watapiga kura ya siri na kutokuwa na imani na kiongozi mhusika. Baraza Kuu litakuwa na wajibu wa kuteua atakayeshika nafasi hiyo kwa muda hadi uamuzi wa mwisho kufanywa na Mkutano Mkuu.."

Katika hali ya sasa ni wazi kuwa kura itakayopigwa ni wazi itakuwa na msukumo wa makundi yaliyopo ndani ya chama hiko ambapo ni wazi kuwa aidha zitto tayari anayo idadi hiyo ya theluthi mbili ama slaa tayari anayo idadi hiyo ya theluthi mbili kati ya wajumbe wote wa mkutano mkuu na ndio maana nikasema haitakuwa suluhu kwani uamuzi wa kura hiyo utakuwa ni wa kimakundi na badala ya kujenga utabomoa zaidi kwa kuwa wale wajumbe wa kundi litakaloshindwa litaendelea na sabotage na hivyo kukwamisha utendaji makini wa chama ambao kwa sasa unahitajika sana kuelekea 2015.

Nasema haya kwa kuwa najua kuwa katiba ya Chadema inasema kuwa;

7.7.13 Kazi za Baraza Kuu zitakuwa:-
(a) Kupendekeza wagombea wa Urais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Zanzibar na kuwasilisha mapendekezo yake katika mkutano mkuu kwa uamuzi.."

Katika hali hiyo ni wazi watu hawa tayari walikuwa wameshafanya lobbying ya kutosha kwa wajumbe wa baraza kulingana na nia yao ya kugombea Urais ambao kila mmoja kupitia wapambe ama yeye mwenyewe ameshaweka wazi kuwa 2015 ni zamu yake, Zitto ameliweka hili bayana kwa mdomo wake na Slaa kupitia midomo ya wapambe wake kama Heche.

Ni kama kwa KING EDWARD VIII ambaye alikuwa amefanya makosa makubwa kulingana na sheria za Kanisa lakini pia kwa sheria za Jumba la Kifalme ambalo ndio linasimamia Serikali ya Uingereza, kwa kuwa alitambua na alikiri makosa yake, hivyo aliamua kujiengua yeye ili anusuru Serikali yake kujiuzulu ni kama kwa Slaa na ZZK ambao wamefanya makosa makubwa kulingana na kanuni na taratibu ndani ya chama kwa kutengeneza makundi na kuvunja na kupindisha kanuni kwa maslahi binafsi, makosa ya heche kuilipwa kinyume na utaratibu, makosa ya kuminywa kwa shonza, kumiliki kadi na kuunda CHAUMA, kukuza makundi,n.k

Tofauti na KING EDWARD VIII ambae aliona hatari ya serikali yake kujiuzulu na hivyo kuvuruga Nchi ya Uingereza na hivyo kujiuzulu yeye binafsi, Slaa na ZZK hawashtushwi wala hawaoni hatari inayoikabili Chadema wanachukulia makosa yao kuwa kelele za Chura ambazo haziwazuii wao kunywa maji yao (URAIS 2015) na ku-neglect janga la kukizamisha chama na kukimega. Busara lazima itumike na hakuna namna isipokuwa SLAA ajiuzulu, ili ZZK na wengineo automatically wawe wameachia ngazi.

It's the effect of crowded house.,ni wazi kuwa Nape alikuwa sahihi pale alipowataka Chadema wajitathmini katika wanachama na viongozi ambao mara nyingi Nape aliwaita "..Oil Chafu.." kwani Nape alitambua madhara ya oil chafu katika utendaji na ndio maana aliwaonya Chadema lakini hawakuiona hatari hiyo mpaka hivi sasa.,surely the Chadema house is too much crowded na lazima wapunguze ama wamwage kabisa oil chafu yote ili safari yao iwe ya salama na amani.

USALITI;
Usaliti ni neno pana sana...,
Lina madhara mengi sana...,
Hujuma hukwamisha mambo mengi sana...,
Tamaa huzaa usaliti...,
Usaliti huleta maumivu kwa waliokuamini...!

ANGALIZO:

Napenda pia kukumbusha kuwa katika umasikini mbaya ni kufikiri chini ya kiwango au utumwa mbaya ni kuruhusu wengine wafikiri kwa ajili yako nawe uwe mfuata mkumbo na upepo wa mawazo yao, ni bora kujilazimisha kufikiri hata kuliko kikomo ulichodhani unacho kwa kufanya hivyo unaweza kugundua kuwa unaweza kufikiri na kuwaza kuliko vile ulivyodhani awali.Tusiweke kando fikra na hoja zetu zenye ufasaha kwa kufuata ushabiki.

JAMII YA KISTAHARABU HUKOSOANA KWA UPENDO NA KUONYESHANA NJIA...!
 
Last edited by a moderator:
Nimekusikia Mkuu.,subiri anguko kuu la chadema then...!

Anguko la Chadema linakuhusu nini wewe? Ikitokea tumekosa kabisa washauri hatuwezi kusikiliza ushauri ama maoni yoyote kutoka kwa gamba lolote.

Nakushangaa jinsi unavyoweweseka kila siku na threads za kumhusu Dr. Slaa, ungekuwa mwanamke wewe bila shaka ningejua pengine unataka mechi lakini mtoto wa kiume kila siku kumfuatilia mwanaume mwenzako unatupa wasiwasi. Kafie mbali huko kama umekosa chengine cha kufanya hapo lumumba!
 
Anguko la Chadema linakuhusu nini wewe? Ikitokea tumekosa kabisa washauri hatuwezi kusikiliza ushauri ama maoni yoyote kutoka kwa gamba lolote.

Nakushangaa jinsi unavyoweweseka kila siku na threads za kumhusu Dr. Slaa, ungekuwa mwanamke wewe bila shaka ningejua pengine unataka mechi lakini mtoto wa kiume kila siku kumfuatilia mwanaume mwenzako unatupa wasiwasi. Kafie mbali huko kama umekosa chengine cha kufanya hapo lumumba!

Hii ndio hekima mnayojifunza huko chadema..??? Chama kilichokuwa na viongozi kama "babu" na wafuasi kama "maranya" hakina salama.
 
……….it was on Thursday evening, 10[SUP]th[/SUP] December in the year 1936 on 10 Downing Street, Garden Entrance, two people had been in serious conversation., one was ALBERT FREDERICK ARTHUR GEORGE-the then DUKE OF YORK who three days later came to be known as KING GEORGE VI OF THE UNITED KINGDOM and DOMINIONS OF THE BRITISH COMMONWEALTH and the other was MR. STANLEY BALDWIN-THE PRIME MINISTER OF UNITED KINGDOM who later replaced by NEVILLE CHAMBERLAIN..,

The conversion was all about the scandal that touch the Kings’ name EDWARD VIII over HIS proposed married to MRS SIMPSON.., MR BALDWIN argued…”it’s not because she is American, that is least, it’s because she is assumed to be twice divorced American and the King as a head of the church of England cannot marry a divorced woman….and Sir I real apologize to be true this, but according to Scotland yard, the King has not always possess the exclusive rights…..should his Majesty continue to ignore the advice of His government..? He must abdicate otherwise His government has no choice but to resign.., and ALBERT the DUKE poses a question; Prime Minister, do you lead the country without the government…? And MR BALDWIN responds this by question; does the King DO what he wants or he does what people expect him to do…?

Just after this conversation some minutes later KING EDWARD VIII signed the instrument of abdication to avoid HIS whole government resignation and the next day Friday 11[SUP]st [/SUP]December 1936, MR BALDWIN delivered HIS memorable speech “EFFECT OF THE CROWDED HOUSE” in which MR BALDWIN said at the end of the speech, “Where I failed, no one could have succeeded”

Historia hii inatufunza mambo mengi na muhimu hasa tukiilinganisha na matukio ya kisiasa ambayo yanaendelea nchini kwetu hivi sasa, katika vuguvugu la malumbano na kufarikiana kukubwa kulikoikumba kambi ya upinzani hususani Chadema hivi sasa ambako kunatokana na Viongozi wakuu wa Chama Hicho kugombea madaraka.

Katika kilichotokea hivi karibuni ambapo viongozi wakuu wa chama hicho wamevuana nguo hadharani na kuonyesha utovu mkubwa wa nidhamu na fedhea ya hali ya juu miongoni mwao. Lakini pia imedhihirisha kuwa viongozi hawa hawajui nini maana ya kuwa viongozi, hawajiheshimu wenyewe lakini pia hawaheshimu wengine. Ni watu waliodhihirishia umma kuwa wao ni wababaishaji ambao wanajali zaidi maslahi binafsi kuliko maslahi ya jamii ama umma.
Kupotea kwa nidhamu katika Chama hiki kunatokana na viongozi wakuu ambao wanajukumu la kusimamia nidhamu ktk chama hicho kushindwa kufanya kazi yao ipasavyo wakiongozwa na Katibu Mkuu wa chama hicho ambae kikatiba analo jukumu la kuhakikisha kuwa wanachama wanakuwa na nidhamu na wanafuata misingi, taratibu na kanuni za chama kama ilivyoainishwa katika Katiba ya Chama.

Lakini pia, Mambo yanayotokea hivi sasa yanaonyesha wazi kushindwa kwa kamati kuu ya chama hiko katika kusimamia majukumu yake na hivyo kuruhusu mambo yanayotakiwa kujadiliwa ndani ya vikao vya Baraza hilo kushindwa kufikiwa hatma na hivyo kuyafanya mambo hayo kujadiliwa nje ya vikao, ni kwa sababu viongozi wa chama hicho kuogopa kuyajadili hayo na hivyo kuyaacha na kufanya waathirika na wanaohisi kuonewa katika chama kutafuta platform nyingine na kuyazungumza hayo. Jukumu hilo la Kamati kuu ni la kikatiba ambapo imeanishwa katika katiba ya Chadema Sura ya Tisa;
9.0 MAMBO YA JUMLA KUHUSU KATIBA NA CHAMA
9.2 Kanuni na Maadili ya Chama:

9.2.5 Kamati Kuu itatunga maadili ya kuongoza nidhamu, utii, na uwajibikaji na dhamira ya
watendaji viongozi wa Chama na wanaChama kwa ujumla. Hii ni pamoja na Maadili ya
Mwenendo katika vikao vya Chama.."


Lakini imedhihirika kuwa hata baada ya Kamati kuu la chadema kukutana hivi karibunu, kwa makusudu na maslahi binafsi waliamua ku-skip hoja za msingi ambazo zinagusa mustakabali wa chama hiko na kujisahahulisha mapungufu makubwa yaliyomo katika chama hiko.

Katika kutafuta suluhu na suluhisho la kudumu ni lazima kuangalia kiini cha tatizo hili ambalo bila ya shaka ni mbio za urais 2015 ambazo zimepelekea kuwepo kwa makundi hasimu (antagonistic pacts) yakiongozwa na Katibu Mkuu wa Chama Hiko Dr Slaa, na Makamu wake Zitto Kabwe. Kama ilivyotokea kwa Makamba na kama ilivyotokea kwa King Edward VIII ambapo imedhihiri kuwa watu hawa wanaendeshwa na hisia binafsi na tamaa zao za madaraka na wameshindwa kuweka maslahi binafsi pembeni na hivyo kuleta makundi na sintofahamu kubwa ndani ya chama, na mitazamo ya sasa ni kuwa kulingana na ukubwa wa mgawanyiko na makundi haya, Chadema inaweza kumeguka ama kufa moja kwa moja, ili kunusuru kadhia hiyo isitokee busara inamtaka Slaa kulitathimin hili kwa kina na kufanya maamuzi magumu ya kujiuzulu nafasi yake pamoja na sekretarieti yake kwa pamoja ili kupisha uteuzi mwingine ambapo utazingatia hatari ya kuwarudisha watu ambao wataendeleza na kukuza makundi kwa maslahi binafsi. Hili linaweza kufanyika ikiwa tu Dr Slaa atakuwa tayari kuona kuwa linafanyika, kwani kujiuzulu kwake ndiko kikatiba kutakakopelekea reform kubwa kufanyika ndani ya chama, itatoa mpenyo na mwaya wa Vikao vikuu vya Chama kukutana na kujadili dharula hiyo, hivyo kupelekea jambo hili linalohusu mgogoro wa sasa kujadiliwa kwa kina na kufanyiwa maamuzi ya msingi ambayo labda yanaweza kurudisha hadhi na heshima ya Chama ambacho tayari kimeanza kuonekana cha wababaishaji, lakini pia kurudisha imani ya wananchi iliyokuwa tayari imeshuka kwa asilimia kubwa.

Nasema hii ndio suluhu pekee kwa kuwa kulingana na Katiba ya Sasa ya Chadema iliyopitishwa na Mkutano Mkuu tarehe 13/08/2006 ni vigumu na ni jambo lenye uzito kwa viongozi kama Slaa ama Zitto ama Heche ama Shonza kuweza kung’olewa katika nafasi zao kwa vikao vya kawaida vya maadili ndani ya chama kwa kuwa katiba ya Chadema inasema katika Sura ya Sita;

6.3.6 Mamlaka za Nidhamu na Uwajibishaji
(f) Viongozi wa ngazi ya kitaifa waliochaguliwa na Mkutano Mkuu wanaweza kusimamishwa uongozi endapo theluthi mbili ya wajumbe wa Baraza Kuu watapiga kura ya siri na kutokuwa na imani na kiongozi mhusika. Baraza Kuu litakuwa na wajibu wa kuteua atakayeshika nafasi hiyo kwa muda hadi uamuzi wa mwisho kufanywa na Mkutano Mkuu.."

Katika hali ya sasa ni wazi kuwa kura itakayopigwa ni wazi itakuwa na msukumo wa makundi yaliyopo ndani ya chama hiko ambapo ni wazi kuwa aidha zitto tayari anayo idadi hiyo ya theluthi mbili ama slaa tayari anayo idadi hiyo ya theluthi mbili kati ya wajumbe wote wa mkutano mkuu na ndio maana nikasema haitakuwa suluhu kwani uamuzi wa kura hiyo utakuwa ni wa kimakundi na badala ya kujenga utabomoa zaidi kwa kuwa wale wajumbe wa kundi litakaloshindwa litaendelea na sabotage na hivyo kukwamisha utendaji makini wa chama ambao kwa sasa unahitajika sana kuelekea 2015.

Nasema haya kwa kuwa najua kuwa katiba ya Chadema inasema kuwa;

7.7.13 Kazi za Baraza Kuu zitakuwa:-
(a) Kupendekeza wagombea wa Urais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Zanzibar na kuwasilisha mapendekezo yake katika mkutano mkuu kwa uamuzi.."

Katika hali hiyo ni wazi watu hawa tayari walikuwa wameshafanya lobbying ya kutosha kwa wajumbe wa baraza kulingana na nia yao ya kugombea Urais ambao kila mmoja kupitia wapambe ama yeye mwenyewe ameshaweka wazi kuwa 2015 ni zamu yake, Zitto ameliweka hili bayana kwa mdomo wake na Slaa kupitia midomo ya wapambe wake kama Heche.

Ni kama kwa KING EDWARD VIII ambaye alikuwa amefanya makosa makubwa kulingana na sheria za Kanisa lakini pia kwa sheria za Jumba la Kifalme ambalo ndio linasimamia Serikali ya Uingereza, kwa kuwa alitambua na alikiri makosa yake, hivyo aliamua kujiengua yeye ili anusuru Serikali yake kujiuzulu ni kama kwa Slaa na ZZK ambao wamefanya makosa makubwa kulingana na kanuni na taratibu ndani ya chama kwa kutengeneza makundi na kuvunja na kupindisha kanuni kwa maslahi binafsi, makosa ya heche kuilipwa kinyume na utaratibu, makosa ya kuminywa kwa shonza, kumiliki kadi na kuunda CHAUMA, kukuza makundi,n.k

Tofauti na KING EDWARD VIII ambae aliona hatari ya serikali yake kujiuzulu na hivyo kuvuruga Nchi ya Uingereza na hivyo kujiuzulu yeye binafsi, Slaa na ZZK hawashtushwi wala hawaoni hatari inayoikabili Chadema wanachukulia makosa yao kuwa kelele za Chura ambazo haziwazuii wao kunywa maji yao (URAIS 2015) na ku-neglect janga la kukizamisha chama na kukimega. Busara lazima itumike na hakuna namna isipokuwa SLAA ajiuzulu, ili ZZK na wengineo automatically wawe wameachia ngazi.

It's the effect of crowded house.,ni wazi kuwa Nape alikuwa sahihi pale alipowataka Chadema wajitathmini katika wanachama na viongozi ambao mara nyingi Nape aliwaita "..Oil Chafu.." kwani Nape alitambua madhara ya oil chafu katika utendaji na ndio maana aliwaonya Chadema lakini hawakuiona hatari hiyo mpaka hivi sasa.,surely the Chadema house is too much crowded na lazima wapunguze ama wamwage kabisa oil chafu yote ili safari yao iwe ya salama na amani.

USALITI;
Usaliti ni neno pana sana...,
Lina madhara mengi sana...,
Hujuma hukwamisha mambo mengi sana...,
Tamaa huzaa usaliti...,
Usaliti huleta maumivu kwa waliokuamini...!

ANGALIZO:

Napenda pia kukumbusha kuwa katika umasikini mbaya ni kufikiri chini ya kiwango au utumwa mbaya ni kuruhusu wengine wafikiri kwa ajili yako nawe uwe mfuata mkumbo na upepo wa mawazo yao, ni bora kujilazimisha kufikiri hata kuliko kikomo ulichodhani unacho kwa kufanya hivyo unaweza kugundua kuwa unaweza kufikiri na kuwaza kuliko vile ulivyodhani awali.Tusiweke kando fikra na hoja zetu zenye ufasaha kwa kufuata ushabiki.

JAMII YA KISTAHARABU HUKOSOANA KWA UPENDO NA KUONYESHANA NJIA...!
paka sasa hivi hakuna hata kimoja kilichofika Tanzania, habari kutoka Uingereza zinasema kuwa ilikuwa ni usanii wa Lema hakuna chochote.

600.jpg

26_27_ambulance_cutaway.jpg


lema-chopper.jpg
 
Back
Top Bottom