WHY SLAA MUST RESIGN...! "..effect of the crowded house.."

WHY SLAA MUST RESIGN...! "..effect of the crowded house.."

CCM wote uwezo wa kufikiri umeishia miguuni mwa Dr.Slaa.!!!
 
Na kweli. Heri usubiri iwe giza ugawane na wenzio....

hqdefault.jpg

Hii kitu nimecheka mpaka baaaasss....
 
Dr Slaa ndio mwiba kwa CCM, wamefanya substitite tatu za Katibu mkuu, from Makamba, Mukama, na sasa Kinana lakini wote wanapwaya kwa Dr Slaa wa ukweli.

Chezea Slaa wewe...Daktari wa ukweli..

Ndio maana Slaa haogopi kulikoroga kwa sababu anajua hamna ujanja kwake.... hivi umewahi kujiuliza mkimtoa dokta mtamuweka nani.

Slaa kwenu ni kama kina Tsvangirai, Ibrahim L......akikosa 2015 mnakwenda naye 2020, alafu 2025, alafu 2025...kazi mnayo bandugu.
 
CCM ni kama mganga wa kienyeji ambaye anaweza hata kumuambia msichana anayeenda kwake kutafuta dawa ya kuimarisha penzi na mumewe kuwa mama yake mzazi anamtamani mume wake ili mradi awagombanishe.
 
I always do...
Tandaleone , hivi Avatar yako inaonyesha Nyerere akiwa n marehemu Brigedia Moses Nnauye au? Nakushauri weka Nnape akiwa na mzazi wake ambao wote wako hai, waache wazee wetu wapumzike kwa amani.
 
Tandaleone , hivi Avatar yako inaonyesha Nyerere akiwa n marehemu Brigedia Moses Nnauye au? Nakushauri weka Nnape akiwa na mzazi wake ambao wote wako hai, waache wazee wetu wapumzike kwa amani.
Ni hapa ndipo uwezo wako wa kufikiri ulipoidhia..?
 
Tandaleone , hivi Avatar yako inaonyesha Nyerere akiwa n marehemu Brigedia Moses Nnauye au? Nakushauri weka Nnape akiwa na mzazi wake ambao wote wako hai, waache wazee wetu wapumzike kwa amani.
Na hapa ndipo hekima na uwezo wako wa kufikiri ulipoishia..? Hongera sana.
 
Kwa yanayoendelea hivi sasa ndani ya chadema kuhusiana na ku-postpone uchaguzi kwa sababu kuwa chama hakijakomaa, vurugu za team zitto v/s team mbowe&slaa kumepelekea akili yangu kuikumbuka na kuipitia upya thread hii. Kimsingi haya yaliyosemwa humu yanaonyesha wazi kuwa mwisho wa vita hii ni kaburi la Chadema.

Na kwa bahati njema sana, watanzania sasa wameanza kuiona CHADEMA katika vazi lake la kweli sio lile la ngozi ya kondoo.
 
kwa yanayoendelea hivi sasa ndani ya chadema kuhusiana na ku-postpone uchaguzi kwa sababu kuwa chama hakijakomaa, vurugu za team zitto v/s team mbowe&slaa kumepelekea akili yangu kuikumbuka na kuipitia upya thread hii. Kimsingi haya yaliyosemwa humu yanaonyesha wazi kuwa mwisho wa vita hii ni kaburi la chadema.

Na kwa bahati njema sana, watanzania sasa wameanza kuiona chadema katika vazi lake la kweli sio lile la ngozi ya kondoo.

hakuna cha team nani wala nini ? Kilichopo ni oparesheni kimbunga dhidi ya wasaliti , acheni kupotosha !
 
Back
Top Bottom