Ukiacha matusi ya reja reja uliyoyatanguliza at least wewe umejaribu kujibu post yangu kwa hoja ingawa ni dhaifu na nyepesi nyepesi. Unapaswa kueleweshwa na kufundishwa,naamini unaweza kuelewa.
Wewe kweli ni zuzu,
Inaonekana hata hujanielewa. Mimi nataka majibu kwenye maswali yangu 1-10. lakini inaonekana huna majibu na hii inaonyesha kuwa ulisoma kwa shule ya kuunga unga. Yawezekana kabisa kuna ukweli kuwa wewe ndiye Nnape Nauye ambaye mimi hukuita Nepi(ya mtoto) maana kauli na matendo yako ni very childish!!!Inavvoonekana umejaa hoja za nguvu na huna nguvu ya hoja,
Inasikitisha kuwa kwa sasa CCM mmeshindwa kuhubiri sera zenu na mlichobakiza ni kuipigia debe CHADEMA washike dola mwaka 2015 kwa ulaiiiiini!CCM hata kama mtakesha kwenye vikao vyenu vya kutaka kuisambaratisha CDM kwa MABOMU na RISASI za moto hamtaweza asilani! Haiwezekani kikundi cha watu wachache kutoka CCM,ndugu zao,familia zao na maswahiba zao wang'ang'anie kuitawala Tanzania kana kwamba wana hati miliki ilhali nguvu ya umma wa Watanzania hawakubaliani na sera zenu mbovu ambazo zime prove failure for more than half a century!!!Tanzania belongs to all Tanzanians from either CCM or any opposition party.Every Tanzanian have the right to rule our country. Tatizo la ma-CCM mnafikiri ni nyie peke yenu mna hati miliki ya kuitawala Tanzania which is absolutely wrong!! Tena kwa sasa mefikia hali ya kutisha kwa kuamua kuanza KUUA VIONGOZI WATANZANIA walioko upande wa Upinzani au Wananchi wanaokubaliana na Upinzani!!!Hii ni aibu na haikubaliki.
Kwa watu wenye busara mnatakiwa mfanye maamuzi magumu kabla ya mwaka 2015 kwa kuwapa nafasi Watanzania kutoka Kambi ya Upinzania ili waongoze Jahazi maana kiukweli kwa sasa CCM inaonekana mnapelekeshwa na CHADEMA vibaya sana kiasi cha kuamua kutumia Polisi,TISS na TPDF kukandamiza Viongozi,Wanachama na Wafuasi wa CHADEMA ili muendelee kutawala!!
Tunajua CCM mmeua Morogoro, Iringa,Igunga,Arumeru Mashariki, Arusha mjini Jan 5,2011 na June 15,2015 pale Soweto kwa maksudi ili kuudanganya Umma wa Watanzania kuwa CHADEMA wamejilipua Bomu wenyewe. Hiki ni kichekesho cha karne. Kama kweli mnafikiri kwa kutumia Ubongo na si Ma------ msingeropoka kama mlivyofanya!
Lakini inavoelekea Mungu ndiyo ameamua kuruhusu haya yatokee ili KUIVUA NGUO CCM ili itakapofika 2015 CCM mtakuwa uchi wa mnyama mkitafuta angalao kipande cha ngozi japo kusitiri aibu yenu!!!
Siku inakuja,ole wenu!