.it was on Thursday
evening, 10[SUP]th[/SUP] December in the year 1936 on 10 Downing Street,
Garden Entrance, two people had been in serious conversation., one was
ALBERT FREDERICK ARTHUR GEORGE-the then DUKE OF YORK who three days
later came to be known as KING GEORGE VI OF THE UNITED KINGDOM and
DOMINIONS OF THE BRITISH COMMONWEALTH and the other was MR. STANLEY
BALDWIN-THE PRIME MINISTER OF UNITED KINGDOM who later replaced by
NEVILLE CHAMBERLAIN..,
The conversion was all about the scandal that touch the Kings name
EDWARD VIII over HIS proposed married to MRS SIMPSON.., MR BALDWIN
argued
its not because she is American, that is least, its because
she is assumed to be twice divorced American and the King as a head of
the church of England cannot marry a divorced woman
.and Sir I real
apologize to be true this, but according to Scotland yard,
the King has not always possess the exclusive
rights
..should his Majesty continue to ignore the advice of His
government..? He must abdicate otherwise His government has no
choice but to resign.., and ALBERT the DUKE poses a question;
Prime Minister, do you lead the country without the government
?
And MR BALDWIN responds this by question; does the
King DO what he wants or he does what people expect him to
do
?
Just after this conversation some minutes later KING EDWARD VIII
signed the instrument of abdication to avoid HIS whole government
resignation and the next day Friday 11[SUP]st [/SUP]December 1936, MR
BALDWIN delivered HIS memorable speech EFFECT OF THE
CROWDED HOUSE in which MR BALDWIN said at the end of the
speech, Where I failed, no one could have
succeeded
Historia hii inatufunza mambo mengi na muhimu hasa tukiilinganisha
na matukio ya kisiasa ambayo yanaendelea nchini kwetu hivi sasa, katika
vuguvugu la malumbano na kufarikiana kukubwa kulikoikumba kambi ya
upinzani hususani Chadema hivi sasa ambako kunatokana na Viongozi wakuu
wa Chama Hicho kugombea madaraka.
Katika kilichotokea hivi karibuni ambapo viongozi wakuu wa chama hicho
wamevuana nguo hadharani na kuonyesha utovu mkubwa wa nidhamu na fedhea
ya hali ya juu miongoni mwao. Lakini pia imedhihirisha kuwa viongozi
hawa hawajui nini maana ya kuwa viongozi, hawajiheshimu wenyewe lakini
pia hawaheshimu wengine. Ni watu waliodhihirishia umma kuwa wao ni
wababaishaji ambao wanajali zaidi maslahi binafsi kuliko maslahi ya
jamii ama umma.
Kupotea kwa nidhamu katika Chama hiki kunatokana na viongozi wakuu ambao
wanajukumu la kusimamia nidhamu ktk chama hicho kushindwa kufanya kazi
yao ipasavyo wakiongozwa na Katibu Mkuu wa chama
hicho ambae kikatiba analo jukumu la kuhakikisha kuwa
wanachama wanakuwa na nidhamu na wanafuata misingi, taratibu na kanuni
za chama kama ilivyoainishwa katika Katiba ya Chama.
Lakini pia, Mambo yanayotokea hivi sasa yanaonyesha wazi kushindwa kwa
kamati kuu ya chama hiko katika kusimamia
majukumu yake na hivyo kuruhusu mambo yanayotakiwa kujadiliwa ndani ya
vikao vya Baraza hilo kushindwa kufikiwa hatma na hivyo kuyafanya mambo
hayo kujadiliwa nje ya vikao, ni kwa sababu viongozi wa chama hicho
kuogopa kuyajadili hayo na hivyo kuyaacha na kufanya waathirika na
wanaohisi kuonewa katika chama kutafuta platform nyingine na
kuyazungumza hayo. Jukumu hilo la Kamati kuu ni la kikatiba ambapo
imeanishwa katika katiba ya Chadema Sura ya Tisa;
9.0 MAMBO YA JUMLA KUHUSU KATIBA NA CHAMA
9.2 Kanuni na Maadili ya Chama:
9.2.5 Kamati Kuu itatunga maadili ya kuongoza nidhamu, utii, na
uwajibikaji na dhamira ya
watendaji viongozi wa Chama na wanaChama kwa ujumla. Hii ni pamoja na
Maadili ya
Mwenendo katika vikao vya Chama.."
Lakini imedhihirika kuwa hata baada ya Kamati kuu la chadema kukutana
hivi karibunu, kwa makusudu na maslahi binafsi waliamua ku-skip hoja za
msingi ambazo zinagusa mustakabali wa chama hiko na kujisahahulisha
mapungufu makubwa yaliyomo katika chama hiko.
Katika kutafuta suluhu na suluhisho la kudumu ni lazima kuangalia
kiini cha tatizo hili ambalo bila ya shaka ni mbio za urais 2015 ambazo
zimepelekea kuwepo kwa makundi hasimu (antagonistic pacts) yakiongozwa
na Katibu Mkuu wa Chama Hiko Dr Slaa, na Makamu wake Zitto
Kabwe. Kama ilivyotokea kwa Makamba na kama ilivyotokea kwa
King Edward VIII ambapo imedhihiri kuwa watu hawa wanaendeshwa na
hisia binafsi na tamaa zao za madaraka na wameshindwa kuweka maslahi
binafsi pembeni na hivyo kuleta makundi na sintofahamu kubwa ndani ya
chama, na mitazamo ya sasa ni kuwa kulingana na ukubwa wa mgawanyiko na
Napendaa pia kukumbusha kuwa katika umaskini mbaya ni kufikiri chini ya kiwango kwa makusudi na kuwa mnafiki ili upate riziki.