Why Slaa must not resign, CHADEMA house is no longer crowded!

Why Slaa must not resign, CHADEMA house is no longer crowded!

Mwishoni mwa mwaka 2012 hapa JF liliwepo bandiko maarufu lililotambulishwa na kichwa cha habari "why slaa must resign" https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-must-resign-effect-of-the-crowded-house.html

Katika bandiko hilo, mwandishi wake alielezea juu ya ulegevu na kuyumba kwa uongozi wa juu wa chadema chini ya Dr Slaa kama mtendaji mkuu na kwamba ili kunusuru hali hiyo ambayo mwandishi huyo alitabiri kuwa itakimaliza Chama hicho kwani kitapoteza wanachama lakini pia kitapoteza imani ya watanzania.,mwandishi alipendekeza Dr Slaa ajiuzulu.

Kama ilivyo kawaida ya sikio la kufa, viongozi wa juu wa Chadema walipingana na ushauri huo na kuendelea kubaki vin'ang'anizi katika nafasi zao walizozishikilia na hatimae leo tumeona yanayotokea, watu maelfu kwa maelfu wamekuwa wakiondoka chadema tena watu wenye nafasi nyeti na wenye influence kubwa kwa jamii. Leo lugha ya "KUJIUZULU'' imekuwa ni lugha ya kawaida kwa wanachadema wanaoujua ukweli na uhalisia wa Chama hicho kila uchao.

Lakini mwandishi aliposimamia hoja ya wimbi la watu ambalo aliwaita "oil Chafu" hasa baada ya Ally Bananga na James Ole Milya kujiunga na chama hicho, hoja hiyo sasa ni mfu. Hoja kuwa chadema kimepoteza mwelekeo kwa sababu watu ni wengi ni hoja mfu, hivi sasa Chama hicho kimebakiwa na wanachama wachache ambao ukiwajaza kwenye darasa moja la shule ya msingi ya kata wanatosha. Hoja ya uwingi sio hoja na kwa maana hiyo Dr Slaa aachwe akiongoze Chama, kwani hivi sasa watu wamepungua hivyo atafanya kazi zake za management vizuri na kwa urahisi.

Dr Slaa alisikika kuwa Chama hakijakomaa hivyo hakiwezi kufanya uchaguzi wake wa ndani ila kuanza kwa zoezi la uchaguzi ndani ya Chama hicho ni dalili kuwa Chama iko sasa kimekomaa na kwamba kinajiandaa kuchukua nchi 2015.

KILA LA KHEIR DR SLAA..,IKULU INAKUSUBIRI 2015.

KUNA POST MMU mchumba wako anaomba ushauri huko, anadai ameshajutia uamuzi wake so anaomba wadau wamshauri.....
 
Not simply like the way you wish,mtahangaika sana
 
Juliana,
According to you! Given that your mission is complete, should we expect you in ACT soon?
If yes, when and if now, why? I know you have answers that are not necessarily material for this forum at the moment.
 
Mwishoni mwa mwaka 2012 hapa JF liliwepo bandiko maarufu lililotambulishwa na kichwa cha habari "why slaa must resign" https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-must-resign-effect-of-the-crowded-house.html

Katika bandiko hilo, mwandishi wake alielezea juu ya ulegevu na kuyumba kwa uongozi wa juu wa chadema chini ya Dr Slaa kama mtendaji mkuu na kwamba ili kunusuru hali hiyo ambayo mwandishi huyo alitabiri kuwa itakimaliza Chama hicho kwani kitapoteza wanachama lakini pia kitapoteza imani ya watanzania.,mwandishi alipendekeza Dr Slaa ajiuzulu.

Kama ilivyo kawaida ya sikio la kufa, viongozi wa juu wa Chadema walipingana na ushauri huo na kuendelea kubaki vin'ang'anizi katika nafasi zao walizozishikilia na hatimae leo tumeona yanayotokea, watu maelfu kwa maelfu wamekuwa wakiondoka chadema tena watu wenye nafasi nyeti na wenye influence kubwa kwa jamii. Leo lugha ya "KUJIUZULU'' imekuwa ni lugha ya kawaida kwa wanachadema wanaoujua ukweli na uhalisia wa Chama hicho kila uchao.

Lakini mwandishi aliposimamia hoja ya wimbi la watu ambalo aliwaita "oil Chafu" hasa baada ya Ally Bananga na James Ole Milya kujiunga na chama hicho, hoja hiyo sasa ni mfu. Hoja kuwa chadema kimepoteza mwelekeo kwa sababu watu ni wengi ni hoja mfu, hivi sasa Chama hicho kimebakiwa na wanachama wachache ambao ukiwajaza kwenye darasa moja la shule ya msingi ya kata wanatosha. Hoja ya uwingi sio hoja na kwa maana hiyo Dr Slaa aachwe akiongoze Chama, kwani hivi sasa watu wamepungua hivyo atafanya kazi zake za management vizuri na kwa urahisi.

Dr Slaa alisikika kuwa Chama hakijakomaa hivyo hakiwezi kufanya uchaguzi wake wa ndani ila kuanza kwa zoezi la uchaguzi ndani ya Chama hicho ni dalili kuwa Chama iko sasa kimekomaa na kwamba kinajiandaa kuchukua nchi 2015.

KILA LA KHEIR DR SLAA..,IKULU INAKUSUBIRI 2015.

Makala hiyo iliandikwa na ZITTO KABWE - Kiongozi wa nyumba ndogo ya CCM!
 
You are too low!unexpectedly unadiriki kusema hata darara la shule ya kata halijai wanachama wa chadema. This proves yor foolishnes and the external factors that are forcing you to exhale this irritating smell. Ungesema ukweli japo watu wangefikiria juu ya ulichoandika hapa ila hali ni tofauti sana. Pole Juliana. Rethink about yourself.
 
faizaFox, Shonza huyu Dr Slaa aliwafanya nini, maana hamuishi kulitaja jina lake!!
CDM ikifa si nafuu kwenu huko mliko??
 
Last edited by a moderator:
Mie nashangaa sana hichi kiumbe kilifukuzwa siku nyingi sana na kikaangukia Ugambani yaani CCm lakini cha ajabu na kweli hadi leo kinapata mapepo machafu na kutaka kujifanya ati chajua kila kitu lol kwisha kazi yako.Ati uongozi wa Dr Slaa unayumba sasa kabla ya Dr Slaa aliyekuwa hapo ukimlinganisha na Dr Slaa nani yuko juu hivi inakuwaje nyumba si yako waihangaikia kuijenga au kuiripea?Ati kamtaja Ally Bananga na James Milya he heeeeeh ati kajiona yeye ni zaidi ya hivi vichwa duuh ama kweli akutukanae hakuchagulii tusi huyu mwana dada ana MAPEPO anahitaji maombi.Ningekuwa mie nimefukuzwa CHADEMA walaa msingenisikia ningekuwa napiga kazi tu ya kuwaletea wananchi maisha bora japokuwa CCM mlishashundwa jaribu mwenyewe hata hapo kijijini kwenu si lazima kila mtu ajue unafanya nini utajulikana tu kutokana na juhudu zako.Hivi ndio ulisema wachukua MASTER hehehehe lol na ndio waandika pumba za namna hii ama kweli Elimu ya Bongo majanga.Nikupe akiba ya maneno jaribu kuandika ki Master na sio hivi lol.Wakati uko CHADEMA kulikuwa na wanachama wangapi?Na sasa wamebakia wangapi baada ya maelfu kuondoka?Je hayo maelfu ni mangapi vile?Jibu sasa kama unasoma MASTER usijibu kama mtoto wa shule ya mifereji nakusubiria maake ikipeleka kesi mahakamani uwe na ushahidi so hapa ndio sawa na Mahakamani come on!!!
 
we unaota watu tunatamani kununua kadi za cdm kwa millioni 1 ili tuwe wanachama we unaleta ugoro hapa, ulisahau nini cdm mbona mahaba na cdm yamenoga tangu ufukuzwe??
Mwishoni mwa mwaka 2012 hapa JF liliwepo bandiko maarufu lililotambulishwa na kichwa cha habari "why slaa must resign" https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-must-resign-effect-of-the-crowded-house.html

Katika bandiko hilo, mwandishi wake alielezea juu ya ulegevu na kuyumba kwa uongozi wa juu wa chadema chini ya Dr Slaa kama mtendaji mkuu na kwamba ili kunusuru hali hiyo ambayo mwandishi huyo alitabiri kuwa itakimaliza Chama hicho kwani kitapoteza wanachama lakini pia kitapoteza imani ya watanzania.,mwandishi alipendekeza Dr Slaa ajiuzulu.

Kama ilivyo kawaida ya sikio la kufa, viongozi wa juu wa Chadema walipingana na ushauri huo na kuendelea kubaki vin'ang'anizi katika nafasi zao walizozishikilia na hatimae leo tumeona yanayotokea, watu maelfu kwa maelfu wamekuwa wakiondoka chadema tena watu wenye nafasi nyeti na wenye influence kubwa kwa jamii. Leo lugha ya "KUJIUZULU'' imekuwa ni lugha ya kawaida kwa wanachadema wanaoujua ukweli na uhalisia wa Chama hicho kila uchao.

Lakini mwandishi aliposimamia hoja ya wimbi la watu ambalo aliwaita "oil Chafu" hasa baada ya Ally Bananga na James Ole Milya kujiunga na chama hicho, hoja hiyo sasa ni mfu. Hoja kuwa chadema kimepoteza mwelekeo kwa sababu watu ni wengi ni hoja mfu, hivi sasa Chama hicho kimebakiwa na wanachama wachache ambao ukiwajaza kwenye darasa moja la shule ya msingi ya kata wanatosha. Hoja ya uwingi sio hoja na kwa maana hiyo Dr Slaa aachwe akiongoze Chama, kwani hivi sasa watu wamepungua hivyo atafanya kazi zake za management vizuri na kwa urahisi.

Dr Slaa alisikika kuwa Chama hakijakomaa hivyo hakiwezi kufanya uchaguzi wake wa ndani ila kuanza kwa zoezi la uchaguzi ndani ya Chama hicho ni dalili kuwa Chama iko sasa kimekomaa na kwamba kinajiandaa kuchukua nchi 2015.

KILA LA KHEIR DR SLAA..,IKULU INAKUSUBIRI 2015.
 
Utakuwa una hangover ya hii kitu nini?
 

Attachments

  • SHOZA 22.jpg
    SHOZA 22.jpg
    56.3 KB · Views: 120
Mwishoni mwa mwaka 2012 hapa JF liliwepo bandiko maarufu lililotambulishwa na kichwa cha habari "why slaa must resign" https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-must-resign-effect-of-the-crowded-house.html

Katika bandiko hilo, mwandishi wake alielezea juu ya ulegevu na kuyumba kwa uongozi wa juu wa chadema chini ya Dr Slaa kama mtendaji mkuu na kwamba ili kunusuru hali hiyo ambayo mwandishi huyo alitabiri kuwa itakimaliza Chama hicho kwani kitapoteza wanachama lakini pia kitapoteza imani ya watanzania.,mwandishi alipendekeza Dr Slaa ajiuzulu.

Kama ilivyo kawaida ya sikio la kufa, viongozi wa juu wa Chadema walipingana na ushauri huo na kuendelea kubaki vin'ang'anizi katika nafasi zao walizozishikilia na hatimae leo tumeona yanayotokea, watu maelfu kwa maelfu wamekuwa wakiondoka chadema tena watu wenye nafasi nyeti na wenye influence kubwa kwa jamii. Leo lugha ya "KUJIUZULU'' imekuwa ni lugha ya kawaida kwa wanachadema wanaoujua ukweli na uhalisia wa Chama hicho kila uchao.

Lakini mwandishi aliposimamia hoja ya wimbi la watu ambalo aliwaita "oil Chafu" hasa baada ya Ally Bananga na James Ole Milya kujiunga na chama hicho, hoja hiyo sasa ni mfu. Hoja kuwa chadema kimepoteza mwelekeo kwa sababu watu ni wengi ni hoja mfu, hivi sasa Chama hicho kimebakiwa na wanachama wachache ambao ukiwajaza kwenye darasa moja la shule ya msingi ya kata wanatosha. Hoja ya uwingi sio hoja na kwa maana hiyo Dr Slaa aachwe akiongoze Chama, kwani hivi sasa watu wamepungua hivyo atafanya kazi zake za management vizuri na kwa urahisi.

Dr Slaa alisikika kuwa Chama hakijakomaa hivyo hakiwezi kufanya uchaguzi wake wa ndani ila kuanza kwa zoezi la uchaguzi ndani ya Chama hicho ni dalili kuwa Chama iko sasa kimekomaa na kwamba kinajiandaa kuchukua nchi 2015.

KILA LA KHEIR DR SLAA..,IKULU INAKUSUBIRI 2015.



Ndugu mtoa hoja, hoja zako ni za ndumilakuwili!!! Kwanza unakubaliana na mwandishi uchwara kwamba Dr. Slaa alistahili kujiuzulu, lakini leo hii baada ya wewe kugundua -- ugunduzi wa maajabu kwamba wanachama wa chadema hawajai hata darasa moja la shule ya kuangamiza elimu Tanzania maarufu kama darasa la kata, Umeamua Dr. Slaa aendelee na uongozi!!!! Huu ni undumilakuwili, hujui unachokitaka, ni sawa na kucheza kamari kwa kutumia shilingi na ukachagua mwenge na kichwa kwa pamoja. This is pure nonsense!!!

We ni mwanachama wa ccm, right? Usibishe... Katika kadhia zooote zilizoikumba nchi hii, sio chama -- i mean nchi hii kwa marefu na mapana yake kuanzia wizi wa epa, mikataba feki, wizi wa madini, wizi wa mali asili zetu, ufisadi, mauwaji ya wanaharakati, mauwajai ya waandishi wa habari na ulipuaji wa mabomu!!!!! Ni nani kiongozi wa ccm mwenye dola ambaye aliwahi kujiuzulu?? Nipe mfano usiojaa nusu kijiko..... Usiwe mjinga na rahisi kiivo, you are so cheap mentally and ideally!!! Yaani unafaa sana kuendelea kubaki kwenye hicho chama chako, kwa sifa zako hizi, utapewa uwaziri soon. Congrants!!!
 
Mwishoni mwa mwaka 2012 hapa JF liliwepo bandiko maarufu lililotambulishwa na kichwa cha habari "why slaa must resign" https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-must-resign-effect-of-the-crowded-house.html

Katika bandiko hilo, mwandishi wake alielezea juu ya ulegevu na kuyumba kwa uongozi wa juu wa chadema chini ya Dr Slaa kama mtendaji mkuu na kwamba ili kunusuru hali hiyo ambayo mwandishi huyo alitabiri kuwa itakimaliza Chama hicho kwani kitapoteza wanachama lakini pia kitapoteza imani ya watanzania.,mwandishi alipendekeza Dr Slaa ajiuzulu.

Kama ilivyo kawaida ya sikio la kufa, viongozi wa juu wa Chadema walipingana na ushauri huo na kuendelea kubaki vin'ang'anizi katika nafasi zao walizozishikilia na hatimae leo tumeona yanayotokea, watu maelfu kwa maelfu wamekuwa wakiondoka chadema tena watu wenye nafasi nyeti na wenye influence kubwa kwa jamii. Leo lugha ya "KUJIUZULU'' imekuwa ni lugha ya kawaida kwa wanachadema wanaoujua ukweli na uhalisia wa Chama hicho kila uchao.

Lakini mwandishi aliposimamia hoja ya wimbi la watu ambalo aliwaita "oil Chafu" hasa baada ya Ally Bananga na James Ole Milya kujiunga na chama hicho, hoja hiyo sasa ni mfu. Hoja kuwa chadema kimepoteza mwelekeo kwa sababu watu ni wengi ni hoja mfu, hivi sasa Chama hicho kimebakiwa na wanachama wachache ambao ukiwajaza kwenye darasa moja la shule ya msingi ya kata wanatosha. Hoja ya uwingi sio hoja na kwa maana hiyo Dr Slaa aachwe akiongoze Chama, kwani hivi sasa watu wamepungua hivyo atafanya kazi zake za management vizuri na kwa urahisi.

Dr Slaa alisikika kuwa Chama hakijakomaa hivyo hakiwezi kufanya uchaguzi wake wa ndani ila kuanza kwa zoezi la uchaguzi ndani ya Chama hicho ni dalili kuwa Chama iko sasa kimekomaa na kwamba kinajiandaa kuchukua nchi 2015.

KILA LA KHEIR DR SLAA..,IKULU INAKUSUBIRI 2015.

Huko ccm umekosa soko? mbona unaanza kujependekeza chadema. miongoni mwa oil chafu zilimwagwa ni wewe. yaani wewe ni oil chafu na nyeusi inayoweza kutumika na ccm tu kama ile mipira ya kike. vip tour zenu na mwigulu zimeisha? au ndio walikuwa wanakuzindua kwa janja ya ziara mikoani? good for nothing hata bure sikuchukui hii oil chafu
 
Achana na mambo yasiyokuhusu, zungumzia CHAMA ulichokuwamo jinsi kinavyoendesha mambo yake, kwa kukosoa au kusifia, lakini mambo ya wengine hayatakusaidia kujiimarisha zaidi unajidhalisha tu, we mtoa mada.
Pangua hoja za ESCROW, ufisadi CCM na serikali yake, EPA, na kulazimisha rasimu ya Katiba ambayo haipo mezani NK. SIVYO unga mkono hayo.
 
Quak-Quak quakkk...Kwekwe.kwekweee...kwenye kile kitabu cha the Animal Farm cha GEORGE O'well, Juliana Shonza ungekuwa BATA....alikuwa haelewi chochote kinachoendelea kwenye mpango wa wanyama kujikomboa lakini ikifika wakati wa kuimba alipanua domo lote utafikiri karushiwa panzi na kuimba kila alichoambiwa bila kufikiri...utaimba sana lakini safari yako kisiasa itazikwa rasmi October 2015.
Lakini hilo halibadilishi ukweli kuwa chadema kinaendelea kupukutika tena kwa kasi ya ajabu. Wakati viongozi wenu wakuu wanajitoa ufahamu na kujifanya hawajui kinachoendelea, wanachama na viongozi wameendelea kujiengua na kujiunga na vyama vibhine vya siasa. Hili sio la kubeza.
 
Last edited by a moderator:
KWA ULICHOANDIKA HAPA!Pole nyingi zimwendee aliyekuvika "PETE" sina mengi nakuomba kipindi hiki kigumu cha uchumba tulia kidogo dada Juli! Familia ya mume mtarajiwa inakuchunguza kwa makini. ona sakata la mwenzio Shilole? yote yamemkuta baada ya yeye kuendeleza ligi zisizokuwa na maana! ikitokea "AKAKUACHA" hakutakuwepo kada yeyote Mandla jr. 1
etc au kungwi "Faiza Foxy" kuziba nafasi yake. Tulia kwa sasa baadaye kunjua makucha taratibu! Imebidi nijishushe sana leo Juli.
Mnajaribu kunijibu lakini kwa bahati mbaya hoja mnazozitumia kunijibu hazihusian kabisa na hiki nilichokiandika hapa.

hoja ya uchumba inahusiana vipi na kushindwa kwa chadema. Ninachokiona ni kutapatapa kusiko na msingi, umefika wakati sasa chadema hasa viongozi wake wa juu kujiuliza maswali ya msingi juu ya kuondokewa na wanachama kila uchao lakini jingine ni kupoteza imani kwa wananchi na chama hicho.
 
Achana na mambo yasiyokuhusu, zungumzia CHAMA ulichokuwamo jinsi kinavyoendesha mambo yake, kwa kukosoa au kusifia, lakini mambo ya wengine hayatakusaidia kujiimarisha zaidi unajidhalisha tu, we mtoa mada.
Pangua hoja za ESCROW, ufisadi CCM na serikali yake, EPA, na kulazimisha rasimu ya Katiba ambayo haipo mezani NK. SIVYO unga mkono hayo.
Hapa naona kuna kushindwa kwa hoja na kutokubali kushindwa huko..mara ngapi nimeona "wapambanaji" wenu akina ben saa nane na yericko wakitokwa mapovu kwa thread za CCM. Juzi tu hapa kulikuwa na hoja ya waasisi wa CCM tena ikiwa imeanzishwa na yericko nyerere ..mhehe anayekataa kwao.
 
Nazani ungespecify kw real figure zaidi kufanya justification yko, unless otherwise itakuwa ndo porojo za siasa Uchwala za Tanzania
 
Back
Top Bottom