Why Slaa must not resign, CHADEMA house is no longer crowded!

Why Slaa must not resign, CHADEMA house is no longer crowded!

Hii masters ya sayansikimu ulioisomea hujaitendea haki kabisa,huwezi ukaandika pumba namna hii
 
Mnajaribu kunijibu lakini kwa bahati mbaya hoja mnazozitumia kunijibu hazihusian kabisa na hiki nilichokiandika hapa.

hoja ya uchumba inahusiana vipi na kushindwa kwa chadema. Ninachokiona ni kutapatapa kusiko na msingi, umefika wakati sasa chadema hasa viongozi wake wa juu kujiuliza maswali ya msingi juu ya kuondokewa na wanachama kila uchao lakini jingine ni kupoteza imani kwa wananchi na chama hicho.
... Tulishajiuliza dada, ila tulipoona aina ya wanachama wanaoondoka TUKASHANGILIA sana! na bado hawajaisha wote na hapa tulipo tunasubiri sana waomdoke woteeee!!
 
mkuu Chakaza nasikia ulitaka kuongeza mke wa pili (sidhani kama dini inakuruhusu) ama ulitaka kuchepuka tu, ila nimesikitika kwamba eti ulipeleka posa kwa wazazi wa huyu binti, embu ukuje hapa ututoe wasi wasi
Mkuu zumbemkuu nitake radhi! Mie nipeleke posa hapo kwa hilo garasha? Ni kweli dini hainiruhusu mitaala ila hata ingeniruhusu hapo sio kabisa, hebu fikiria unakula mahali ambapo yule "gaidi" naye alikuwa anajipumzisha utajisikiaje mgosi? Hiyo kitu imeshakuwa rejected kisiasa na kijamii na nakuhakikishia jamaa aliyejiingiza lazima atashtuka baadae subiri utaona tuu.
 
Last edited by a moderator:
Juliana Shonza achana na hizi siasa chafu hautafanikiwa. Siku ile unatangaza uchumba kwa Mwansasu ndio siku pekee niliweza kukuona na nilitamani nipande madhabahuni na kukunong'oneza jambo kuwa usisahau lengo la Chadema kukupeleka ccm. Naamini unajua hili na naamini upo smart zaidi,now don't mess!!


Juliana Shonza, nilidhani baada ya kupata mchumba utapata mshauri ili uandike mambo yanayoeleweka, kumbe bado!
Sasa wewe kila ukilala unamuota Slaa, mchumba kakuchosha mara hii?




[h=2]ALIYEKUWA KIGOGO WA CHADEMA TAIFA MBEBEZ HATIMAYE ACHUMBIWA RASMI ONA HAPA LIVE!![/h]
Posted by Super Malecela WJ Blog on Sunday, July 13, 2014 3 comments



[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"] [h=5]Juliana Shonza
[/h]2 hrs ·





"Thanks Lord,is now official,a lovely wife to be of Geo david.
I adore you."


[/TD]
[/TR]
[/TABLE]




 
Back
Top Bottom