muongozaji
JF-Expert Member
- Oct 9, 2009
- 1,386
- 1,003
Hongera kwa mama kukufunza kupika manake kuna jamaa yangu mmoja alimfuata mama yangu akataka nimuowe nikasema basi wacha niende nikamtembelee kwao. Nikampigia simu nikamwabia nakuja kukuona basi akanipa mualiko wa kula siku ya weekend. Sasa mama yake alisafiri na baba yake alikuwa kazini kufika kwao tukapiga story mbili tatu mara msosi ukawa tayari dada wa kazi akaleta msosi kwenye meza tukaanza kula nikampigia simu mama yake kumwambia kama wife 2be nimependa anavyopika basi mama yake alicheka sana nikamwambia mbona unacheka akasema kwani anajua kupika huyo. Dada ndio aliepika sio yeye akabakia kucheka tu nikamuuliza sasa unataka kunilisha nini vyakula vya facebook na instagram? akabakia ooh nitajifunza nipe muda sitokulaza na njaa dear nikamwabia ukishajua nicheki lakini kwa sasa niwache kwanza.
Mkuu hiyo nimeipenda. Ha ha ha