dre4691
JF-Expert Member
- Feb 22, 2016
- 549
- 518
hujasema udhaifu wako ila lzm utakuwepo tu either ni cool sn yaan umekaa kaa tu km upo haupo hapo mtu ana lose interest au unakaba sn humpi mtu mda wa kupumua. una bana mno mtu anahisi hana uhuru.yan lzm unakitu unachofanya ambcho wanaume hawapendi...kwa mfano mimi mwanamk ambye hawezi kusema hiki sipendi,kile napenda,jana uliniudhi siwez kua nae uwaga na lose interested faster sio tabia mbya sn ila inanifanya ni lose interest sasa wewe unakatabia kadogo sn tu ambako kana madhara makubwa sn kwenye psychologia ya mwanaume hlf umesema unapata wa chini unawapandisha ww,nina mshikaji wangu ambye demu ake kwao wapo vzr ila shida sasa nkama sasa yeye ndo kawa mwanaume yan full kumpa hela na kumpangia masharti,men hatupendi hizo jamaa kila siku ansema huyu demu ntamuacha tu lkn nimalize pia km unaile tabia yenu ya kupenda msipopendwa na kujikodoa kodo na kujipitisha pitisha uache