ukimya unasaidia sana ukiwa kama mwanamke jifunze kuwa mkimya ila simaanishi unune au ulazimishe kuwa kimya..bali usiwe mpayukaji sana....
shirikiana na mpenzi wako kufanya kazi mbali mbali kama akifua kafue nae akipika pika pamoja nae...jifunze kukaa na mpenzi wako
jifunze lugha za mapenzi wakati wa kungonoka hakikisha sauti inabadilika ila usiigize sana mpaka jamaa akaona unamuibia...ukikaaa kimya anahisi kama hufurahii tendo
hakikisha huchelewi kujibu msg anazokutumia mpenzi wako maana ukichelewa kumjibu atawaza mengi sana ikiwemo pengine muda huo upo sehemu unamsaliti...
hakuna kitu kinachotuchanganya sana wavulana kama mavazi ya kuvutia hivyo hakikisha unajifunza kuvaa najua unajua kuvaa ila hakikisha unavaa nguo zinazo kaa mwilini mwako vizuri hakikisha unapendeza hadi achanganyikiwe....ni mada pana sana ila jifunze kudhibiti hasira zako pia maana wanaume wengi tunapenda amani si wanaume tuu ata wewe pia najua unapenda sana amani..