Why me? Kila mahusiano napitia magumu

Why me? Kila mahusiano napitia magumu

Pole sana.ebu tulia mshirikishe Mungu.na swala ya kuzaa acha kuwaza itakukost mwambie Mungu akupe mume c mpenz.
 
Kwanza pole sana pili...nitakuuliza maswali haya naomba unijibu,,
  1. Wewe unakipato kiasi gani??
  2. Wewe ni kabila gani??
  3. Wewe unaurembo kiasi gani pamoja na rangi ya mwili wako??
  4. Unamagroup gani katika maisha yako??
  5. Hili ngoja niliache kwanza utaniuliza baadae...
 
Kwanza pole sana pili...nitakuuliza maswali haya naomba unijibu,,
  1. Wewe unakipato kiasi gani??
  2. Wewe ni kabila gani??
  3. Wewe unaurembo kiasi gani pamoja na rangi ya mwili wako??
  4. Unamagroup gani katika maisha yako??
  5. Hili ngoja niliache kwanza utaniuliza baadae...
Asante... Samahani hayo maswali siwezi nikayajibu kwenye public
 
Matatizo ya mapenzi yanaletwa na expectations, kama una expect jambo fulani alafu halitokei inaumiza sana, pole sana mdada mzuri. Embu jaribu kuwa na open minded relation, usiwe unategemea kitu fulani kutoka kwa mwenzi wako, then yatakayotea yatakuwa yametokea na hautayajutia. Kinachoonekana kwako ni matokeo fulani unayatafuta katika mahusiano yako, hivyo unatumia muda mwingi kuyashawishi au kuyapiginia direct or indirect na athari zake ni kwamba ikiwa you dont share the same expectation na mwezi wako basi hapo lazima uhusiano ufe. Try to balance things.
 
Pole kwa changamoto unazokumbana nazo. Nadhani tatizo linaanzia kwako wewe mwenyewe, inaonekana hujiamini, hujitambui na hujui unataka nini kwenye mahusiano, unatoa zaidi kwenye mahusiano, kama fadhila, ili iwe kigezo kwamba upendwe na ukiachwa ionekane kwamba unaonewa. Kaa ujiulize unataka nini kwenye mahusiano na utambue kwamba sio kila mwanaume anayekujia, na kukuambia maneno matamu ni sahihi kwako. Ukishajitambua unataka nini kwenye mahusiano, hakikisha kwamba unatoka tu na mwanaume anayeonekana kwamba anaweza kukidhi vigezo na matarajio yako. Wanaume wengi wanaotoka na wewe, wanajua exactly wanachotaka kwako, na ndio maana wakishapata wanachotaka wanaondoka na kukuacha wewe kwenye mataa. Ukifuatwa na mwanaume ambaye unaona kila dalili kwamba hakidhi vigezo vyako, na ni wazi kwamba hatakidhi matarajio yako, usipoteze muda achana naye haraka sana. Usiingie kwenye mahusiano kwa kuwaonea kwa wanaume huruma, au kwa kutoa fadhila, ingia kwenye mahusiano kwasababu matarajio yako yanatimizwa, kama hayatimizwi kimbia haraka sana.
 
Pole kwa changamoto unazokumbana nazo. Nadhani tatizo linaanzia kwako wewe mwenyewe, inaonekana hujiamini, hujitambui na hujui unataka nini kwenye mahusiano, unatoa zaidi kwenye mahusiano, kama fadhila, ili iwe kigezo kwamba upendwe na ukiachwa ionekane kwamba unaonewa. Kaa ujiulize unataka nini kwenye mahusiano na utambue kwamba sio kila mwanaume anayekujia, na kukuambia maneno matamu ni sahihi kwako. Ukishajitambua unataka nini kwenye mahusiano, hakikisha kwamba unatoka tu na mwanaume anayeonekana kwamba anaweza kukidhi vigezo na matarajio yako. Wanaume wengi wanaotoka na wewe, wanajua exactly wanachotaka kwako, na ndio maana wakishapata wanachotaka wanaondoka na kukuacha wewe kwenye mataa. Ukifuatwa na mwanaume ambaye unaona kila dalili kwamba hakidhi vigezo vyako, na ni wazi kwamba hatakidhi matarajio yako, usipoteze muda achana naye haraka sana. Usiingie kwenye mahusiano kwa kuwaonea kwa wanaume huruma, au kwa kutoa fadhila, ingia kwenye mahusiano kwasababu matarajio yako yanatimizwa, kama hayatimizwi kimbia haraka sana.
Asante nimekuelewa
 
Ngoja nikwambie kitu. ...ndoa huja baada ya kukata tamaa.

Hapa namaanisha ukishajua huwezi kumpata "mme wa fikra zako" utaamua kuolewa na mume aliyeko and vice versa.

1.Umri ukisogea utalijua hili.
2 . Ndoa nyingi kasha tupu..watu wanaishi sababu walishazaa watoto but hamna mapenzi ni kuvumiliana tu.

GET MARRIED ANY WAY
Hahaha kudadeki,hapa ndo mtu unapomwelewa Lara1 anaposema ndoa ni taasisi yenye unafiki wa hali ya juu
Watu mpompo tu mana mshapoteza muda sanaaa mnaamua mkae tu anyway hahaha
 
nipm na picha tarehe yako ya kuzaliwa nikuangalizie nyota yako
 
nipm na picha tarehe yako ya kuzaliwa nikuangalizie nyota yako
 
Back
Top Bottom