Why me? Kila mahusiano napitia magumu

Why me? Kila mahusiano napitia magumu

Mimi mwenyewe natafuta mke, njoo kwangu tujenge family., njoo PM tuongee zaidi.
 
Unaweza kujinadi kuwa una sifa nyingi nzuri na zaidi inaonesha we sio kicheche ila ni victim wa vicheche venuss ila huenda kuna vitu vidogo vya muhimu ambavyo we huna!

1.Je unazingatia nini zaidi pindi ufanyapo selection za mpenzi, we ni wale wa i like tall,black,handsome,skinny and smart? ref to 10 below.

2.Je una mihemko gani pindi mkipishana, unasusa? Unajitutumua kubwata mpaka majirani wasikie? au unatumia busara gani?

3.Je wewe ni mtu wa mashoga lukuki, na mhanga wa kushikiwa akili?

4.Je una wivu wa kijinga na kutojiamini kuwa unapendwa ukiwa katika uhusiano? Kuhisi hisi unasalitiwa bila evidence na kuanzisha ugomvi?

5.Je unajiweza kitandani au zoba/gogo, nikimaanisha je una utundu wa kutosha kuendana na kasi ya 21 century ili uweze kumfanya akuone wa pekee?

6.Je una mvuto? Sio lazma uwe mzuri sana ila kuwa tu na ile haiba ya kike ambayo mtu atajivunia kuwa na wewe bila kujali mapungufu mengine.

7.Je,wewe ni romantic? Unajua kutumia ulimi na koo lako vizuri ili kumdatisha msela wako? Sio siri huu ndio ugonjwa wangu mkubwa

8.Je we sio mbinafsi? Una value vipi watu wanaokuzunguka? Je unajipa umuhimu kuliko watu wengine? Huenda hiki ndicho kinachokuponza maana wanawake wabinafsi ni janga sana mbele za ndugu jamaa na marafiki na uchoyo ni tabia isio na siri!

9.Je wewe ni mtu wa kupenda show off na public stunts,"Kimambi Syndrome" ili uonekane nawe una bwana mtaani, ama kwenye social media? Kila moment yenu mtandaoni?

10.Je una status? Simple ni kuwa na Elimu nzuri au ndio kama wale wapishi wa vyuo wenye ndoto za kuolewa na wanafunzi kisa wanawahonga misosi? Kama huna status hii kwenye jamii ya leo lazma ujibebe hamna mwanaume ataoa dunya, hivyo tafta wa size yako using'ang'anie kudate na watu waliokuzidi mipango kama watoto wa kishua au mabrazameni watakusuuza tu na kupita hivi wakikudanganya watakuoa.
Komaa na mafundi wa kila nyanja ambao wengi hamtakuwa mmepishana sana class na wengi wapo real na maisha.

TAFADHALI TUMIA HINTS HIZO HAPO KUJI ASSESS NA UKIONA KUNA INAYOKUGUSA NIPE FEEDBACK NIJUE NAMNA NZURI YA KUKUSHAURI.
 
kuna msemo unaosema tenda wema duniani haijalishi nani na lini utapata mrejesho kwa yale uliyoyatenda maadamu yupo mungu mwenye kuhukumu

binadamu tuliowengi tumejawa na tamaa na kuona venye kupendeza na kusahau vyenye kukujenga
at a time being maisha ya mahusiano yamejawa changamoto lukuki tunajikuta tunasahau kupambana na changamoto zile tunaendekeza kuskiliza ya watu mwisho wa siku mnajikuta mmepoteza mwelekeo

kuna kila sababu ya kuchunguza wapi pana shida na kurekebisha inapobidi kwa mm nina hofu kati ya mambo yafuatayo kulingana na mitazamo ya wanaume tulivyo
1 dharau hakuna mwanaume anayependa kudharauriwa ukimdharau mwanaume anaona isiwe tabu bora ntafute mwngine

2 kukosekana kwa heshima

3 matusi yasiyovumilika

4 unywaji wa pombe na matumizi ya vilevi visivyofaa

5 kejeli na kujiona unafahamu kila kitu

6 kutopenda kujishusha wakati unatambua ww ndiye mkosaji

7 kuwa na wivu hasira na kupenda kumshuku mumeo kwa mambo ambayo ujayafanyia uchunguzi

8 namna ya kumridhisha mumeo hii inaweza ikawa kwenye kumkatalia kufanya nae wakati mwenzako anapohitaji au kutolimudu tendo ipasavyo

sisemi kuwa mambo hayo ndio hasa yanayohusika ispokuwa yanapelekea kwa namna moja hama nyingine mambo haya kutokea

CHA KUFANYA:
jaribu kuangalia mambo hayo na mengine ambayo sikuorodhesha ila unahisi ni kikwazo na fanya marekebisho mm nina iman ww n binadamu ujakamilika unaweza ukawa ukifanya pasipo kujua au hasira zilikutawala ukajikuta ukitenda

kama mtu atakuwa akifanya kwa hulka yake na kukuacha bila sababu zasingi mapenzi co utumwa achana nae fanya vitu vyenye manufaa kwako ipo siku atakumbuka fadhila utahitaji kuwa na ww nawe hutakuwa huna muda nae

jiepushe na watu wanaokuhitaji kwa maslahi yao binafsi kwani mara nyingi kuna kitu wanatafuta na co mapenzi ya dhati

mwisho omba sana mungu atakusaidia kuwa na mtu anayekustahili
 
Pole aise yanaumiza kweli[emoji29] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Kwa kweli watu kama nyie mnaotoa ushauri wa busara kama huu ndo mnatakiwa humu, Mungu akubariki kwa hekima zako
 
Waungwana husema "namwachia Mungu" mwachie Mungu.
Habari za jumapili,

Kwa mara ya kwanza najitokeza kuomba ushauri kwa hichi kinachonisumbua kila siku, jinsia yangu mimi ni ke, lakini katika haya maisha ya mahusiano nimekua nikipitia magumu hadi najihisi labda mimi niko tofauti...

Nimejaribu kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi lakini hakuna hata uhusiano mmoja ambao unanileta positive impacts ingawa kila mwanaume ninaekutana nae hua anaonyesha kuvutiwa na mimi in all aspects (kitabia, upole, heshima) na mambo mengine, but at the end of the day naishia kuumia...

Na kwa bahati mbaya zaidi wote kimaisha wanakua wako chini lakini huwa najitahidi kutoa support hadi mtu anafikia mafanikio, ila akishafanikiwa kama ni gari atapanda mwingine na mimi naishia kuachwa...

Na ikitokea nimempata ambaye yuko well organized anakuwa anaonyesha hana imani na anahisi nimempenda sababu ya vitu ingawa sio kweli kabisa najikuta naishia tu kuumia na kitu kingine kinachoniumiza zaidi wakishaachana na mimi baada ya mda wanaanza kunisumbua na kudai I was a right person na hii hutokea kwa wote...Hichi kitu kinaniumiza, mbaya zaidi hata kama mtu kaoa still anakuwa maswala yake ya maisha atahitaji mimi nimshauri...

Naumia sana ndugu zangu natoa machozi kila siku, natamani ifike siku Mungu anione na mimi nimpate atakae tambua nafasi yangu kuna mda natamani nizae tu mtoto nisahau habari za ndoa lakini naona nitakuwa naidanganya nafsi yangu kuishi maisha ambayo sikuwahi yawaza...

Naamini humu kuna wetu wengi wenye busara watanisaidia kiushauri nini cha kufanya, naogopa sana kukata tamaa lakini najiona ndiko ninakoelekea...

Kama nitakua nmeandika vibaya am sorry...

Karibuni!
 
Sometimes uwe unajaribu na maombi aiseee.

Isije kuwa wajanja wa dunia hii washakuona una nyota nzuri wakawa washafanya yao.

Vifungo vipo , tena vibaya sana.

Kuna mchezo siku hizi wa kuchafua uso wa mtu, omba hio isiwe ndio uliyofanyiwa.

Omba sana Mungu aiseee, kama huwezi tafuta mtu akusaidie katika hilo.
Debrief me somehow
 
Habari za jumapili,

Kwa mara ya kwanza najitokeza kuomba ushauri kwa hichi kinachonisumbua kila siku, jinsia yangu mimi ni ke, lakini katika haya maisha ya mahusiano nimekua nikipitia magumu hadi najihisi labda mimi niko tofauti...

Nimejaribu kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi lakini hakuna hata uhusiano mmoja ambao unanileta positive impacts ingawa kila mwanaume ninaekutana nae hua anaonyesha kuvutiwa na mimi in all aspects (kitabia, upole, heshima) na mambo mengine, but at the end of the day naishia kuumia...

Na kwa bahati mbaya zaidi wote kimaisha wanakua wako chini lakini huwa najitahidi kutoa support hadi mtu anafikia mafanikio, ila akishafanikiwa kama ni gari atapanda mwingine na mimi naishia kuachwa...

Na ikitokea nimempata ambaye yuko well organized anakuwa anaonyesha hana imani na anahisi nimempenda sababu ya vitu ingawa sio kweli kabisa najikuta naishia tu kuumia na kitu kingine kinachoniumiza zaidi wakishaachana na mimi baada ya mda wanaanza kunisumbua na kudai I was a right person na hii hutokea kwa wote...Hichi kitu kinaniumiza, mbaya zaidi hata kama mtu kaoa still anakuwa maswala yake ya maisha atahitaji mimi nimshauri...

Naumia sana ndugu zangu natoa machozi kila siku, natamani ifike siku Mungu anione na mimi nimpate atakae tambua nafasi yangu kuna mda natamani nizae tu mtoto nisahau habari za ndoa lakini naona nitakuwa naidanganya nafsi yangu kuishi maisha ambayo sikuwahi yawaza...

Naamini humu kuna wetu wengi wenye busara watanisaidia kiushauri nini cha kufanya, naogopa sana kukata tamaa lakini najiona ndiko ninakoelekea...

Kama nitakua nmeandika vibaya am sorry...

Karibuni!
Dah pole sana! Ila jaribu na kwangu huenda uka enjoy na ukasahau yote hayo! I promis u!
 
Habari za jumapili,

Kwa mara ya kwanza najitokeza kuomba ushauri kwa hichi kinachonisumbua kila siku, jinsia yangu mimi ni ke, lakini katika haya maisha ya mahusiano nimekua nikipitia magumu hadi najihisi labda mimi niko tofauti...

Nimejaribu kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi lakini hakuna hata uhusiano mmoja ambao unanileta positive impacts ingawa kila mwanaume ninaekutana nae hua anaonyesha kuvutiwa na mimi in all aspects (kitabia, upole, heshima) na mambo mengine, but at the end of the day naishia kuumia...

Na kwa bahati mbaya zaidi wote kimaisha wanakua wako chini lakini huwa najitahidi kutoa support hadi mtu anafikia mafanikio, ila akishafanikiwa kama ni gari atapanda mwingine na mimi naishia kuachwa...

Na ikitokea nimempata ambaye yuko well organized anakuwa anaonyesha hana imani na anahisi nimempenda sababu ya vitu ingawa sio kweli kabisa najikuta naishia tu kuumia na kitu kingine kinachoniumiza zaidi wakishaachana na mimi baada ya mda wanaanza kunisumbua na kudai I was a right person na hii hutokea kwa wote...Hichi kitu kinaniumiza, mbaya zaidi hata kama mtu kaoa still anakuwa maswala yake ya maisha atahitaji mimi nimshauri...

Naumia sana ndugu zangu natoa machozi kila siku, natamani ifike siku Mungu anione na mimi nimpate atakae tambua nafasi yangu kuna mda natamani nizae tu mtoto nisahau habari za ndoa lakini naona nitakuwa naidanganya nafsi yangu kuishi maisha ambayo sikuwahi yawaza...

Naamini humu kuna wetu wengi wenye busara watanisaidia kiushauri nini cha kufanya, naogopa sana kukata tamaa lakini najiona ndiko ninakoelekea...

Kama nitakua nmeandika vibaya am sorry...

Karibuni!
 
Unahitaji kupumzika na kujitafakari upya, usiingie katika mahusiano kwa dhana ya kutaka kumuonyesha uliyeachana naye kwamba unaweza kuwa na mtu yeyote yule. Kupata mwenza kwahitaji utulivu sana lakini sambamba na hilo muombe Mungu sana atakuonyesha mtu sahihi kwako.
 
mara nyingi wanawake wazuri huangukia mikono mibaya
Kuna wimbo niliusikia kwenye ngoma za wapogoro wanasema "wabaya wanaolewaaa.... Wazuri wanabunguaaaa..." huenda ika-apply kwa huyu japo sina hakika sana
 
Sema ukweli wa tabia zako tukuamini haiwezekani katika hali ya kawaida uwe smart namna hiyo halafu mwanaume akukimbie tu,Kuna sehem haupo sawa haswa sio bure either tabia yako,sema ukweli tu.
 
SHIDAYAKO HII HUJUI KUSAMEHE: WALISHAPITA BAADAE WANAGUNDUA UR THE RIGHT PERSON YANI WANAKUHITAJI TENA ILA WE HUNA TIME NAO TENA HUTAKI KURUDIANA...SHIDA YAKO NI HIYO TU
 
Daah pole sana, hebu angali kunakitu unakosea pengine
 
Back
Top Bottom