Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Mpaka sasa huyu mama kuna lolote la maana kalifanya hapa Tanzania?
Watu wanauwana kwenye kugombea viwanja kama kawaida na huku yeye ndiye Boss.
Huyu mama ana huruma sana kuwa Rais wa nchi mbovu kama Tanzania na hasa hapa tulipo.
Tunataka mtu ambaye atachokonoa hadi nyoka pangoni mwake kwa moshi wa mti mbichi ambao utawaka kwa miaka 5 bila kukoma.
Tunamtaka Putin/Kagame wetu Tanzania aje asafishe. Huyu mama huwezi kumuona hata siku moja akimuweka ndani Mkapa au Lowassa.
Watu wanauwana kwenye kugombea viwanja kama kawaida na huku yeye ndiye Boss.
Huyu mama ana huruma sana kuwa Rais wa nchi mbovu kama Tanzania na hasa hapa tulipo.
Tunataka mtu ambaye atachokonoa hadi nyoka pangoni mwake kwa moshi wa mti mbichi ambao utawaka kwa miaka 5 bila kukoma.
Tunamtaka Putin/Kagame wetu Tanzania aje asafishe. Huyu mama huwezi kumuona hata siku moja akimuweka ndani Mkapa au Lowassa.