Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
- Thread starter
- #41
Ndugu yangu Rutashubanyuma, naona unasahau kuwa Mhaya haruusiwi kuwa kiongozi wa ngazi ya urais, kadhalika Msukuma na wale wote watokao katika makabila makubwa hapa Tanzania!
hizi ni hisia tu hakuna mahali ambapo hili limeandikwa...............................na kama wananchama wa kawaida ndani ya ccm wakipewa uhuru wa kuchagua viongozi wawapendao..............................hisia hizi zitafikiwa mwisho wake.......