Kwa????Hongera
I rather stay single than dating a bitch!Too picky??
Utachagua koroma sasa hahhaha

Ohh haya bana best wishes mate!I rather stay single than dating a bitch!
Ukiachana na kutegemewa, mimi mwenyewe bado napenda kuishi![]()
![]()
![]()
![]()
Hahaa tena nikiona mwanamke amepaka sijui lip gloss kama vile amebusu frampeni ya mafuta huyo nampishia mbali sana, naona hiyo ni bidhaa fulani tu.Jiangalie sana aisee
Ni kweli lakini ni bora kusubiri chaguo lako kuliko kuangukia pua mkuuSasa mwisho wa cku lazima uwe na mtu.... inabidi kupambana tu
kha teena!Haya asante but kuwa single sometimes inaboa sana
ahahaaaSingle girls need ur like here pls
Hongera mkuu kama wawezaSijawahi kuwa single, its bandika bandua. Mahusiano ni mazuri, napenda changamoto, napenda kuwa na mtu anayeniletea shida and i get satisfied niki solve. Mahusiano ni njia rahisi ya kujua uwezo wako wakukabiliana na changamoto (of cause zakujitakia).