cheichei01
Member
- Jul 26, 2012
- 24
- 3
Habari wanajf, nimekua nikiangalia topics na mauni ya watu kwenye huu upande wa mahusiano na mapenzi issues n nyingi and pple comments on their on ways,,,so ingekua vp km ingekua tunaonana live,, ww mwanaJF ungetoa topics na maoni kama ambavo ushatoa?,,,,,ungetoa????