Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,212
- 113,520
Kama ikitokea siku wanachama wa JF wanaamua kufanya hafla ya kujumuika pamoja (get together) ni mwanachama au wanachama wapi ambao ungependa kuwaona au kukutana nao na kwa nini?
Sijui kama Edward Lowassa ni mwanachama hapa lakini mimi binafsi ningependa sana kuona makutano ya Mwanakijiji na Lowassa. Sijui nani atavunja ukimya/barafu na atasema nini.
Mods: Sikujua hii niiweke wapi. Ihamishieni mnakoona inafaa...
Sijui kama Edward Lowassa ni mwanachama hapa lakini mimi binafsi ningependa sana kuona makutano ya Mwanakijiji na Lowassa. Sijui nani atavunja ukimya/barafu na atasema nini.
Mods: Sikujua hii niiweke wapi. Ihamishieni mnakoona inafaa...