Who really killed Prof. Mwaikusa?

Who really killed Prof. Mwaikusa?

ABATE LAMBERT ANAWEZA KUENDESHA SHIRIKA LAKE KWA KUFUGA TU. HAWA JAMAA HAWAHITAJI HAYO MAMBO MNAYOWASINGIZIA, WAPO HUKO KWA ZAIDI YA MIAKA 100 KAMA SHIRIKA. LUKARASI NI KAMGODI TU, MIGODI KAMILI YA DHAHABU ILICHIMBWA NA WAJERUMANI WALIOJENGA RELI.

Walichimba dhahabu na waliamini wameimaliza na watu wa kanda ya ziwa ni mashahidi hususani watu wa Nyarugusu, Mgusu na Rwamgasa, kuna mashim mengi ya zege na mitambo chakavu huko. Inasadikika kuwa vita vyote vya mjerumani viligharamiwa na dhahabu kutoka Tanzania.

Hawa jamaa hawahitaji udhalimu ili kuishi, wanaweza ishi kwa kushona suti tu. Ni wajasiriamali kweli kweli siyo mafisadi. Wana wafadhili pia wa kutosha na viapo vyao ni UTII, USEJA NA UMASIKINI. Msimkufuru Mungu jamani. Kuna wezekana pia kuandika hivyo kwa nia ya kuficha ukweli wa mauaji. Kwanza, si kawaida Gazeti kuandika habari kama hiyo. Mbona huo ungelikuwa ni ushahidi tosha. Kwa nini polisi haichukui hatua? Kuandika taarifa kama hiyo na serikali kutochukua hatua inaadhiria nini???
 
Hata Yuda alipomsaliti YESU WATU HAWAKUAMINI KAMA WEWE NA YESU ALIKUFA.

Ningependa ungejitahidi kutuliza akili na kujadili mada yenye maudhui ya Abatia Peramiho kupanga mauaji na kumwua Mwaikusa. Kama hujui maana ya abasia nini nitakufafanulia, ila tujadili tuhuma hizo, vinginevyo upo ndani ya uringo unatupa ngumi visivyo hatimaye utatolewa nje ya uringo kwa kutofuata taratibu za boxing.
 
kwa nini unatukana na mapovu yanakutoka. Tupe vielelezo vya watu unaowatuhumu badala ya kutoka mapovu. nilikuwa pera leo habari ni kwamba kumbe buluda muhuwa ndiye alikuwa proculator na buluda fides muligo akamfanyia kitu mbaya kwa kumwondoa na akakalia kiti yeye, upande wa mgodi akashika pia, wote waliohoji akahamisha, na ili kufuta nyayo akaanza kuwashugulikia akiua prof na buluda muhuwa akamfunga kwa kuhonga fedha mil 30. anna tofauti gani na yuda aliyemsaliti asiye na hatia? tutajua mengi safari hii, uchamungu wenu, na umafia wenu pia kwa upande mwengine. walio wacha Mungu watajulikana, na wasio watajulikana kwa matendo yao, na siyo kwa maneno yao kuwa mengi.

Wajerumani wajinga wamweke kwenye chungu chao mtu asiyejulikana kwa wajomba zao, unacheza nini? Labda ungesema alikuwa msaidizi kule ingeingia kichwani mwangu. Unawajua wajerumani na waswiss wewe?
 
kwa nini unatukana na mapovu yanakutoka. Tupe vielelezo vya watu unaowatuhumu badala ya kutoka mapovu. nilikuwa pera leo habari ni kwamba kumbe buluda muhuwa ndiye alikuwa proculator na buluda fides muligo akamfanyia kitu mbaya kwa kumwondoa na akakalia kiti yeye, upande wa mgodi akashika pia, wote waliohoji akahamisha, na ili kufuta nyayo akaanza kuwashugulikia akiua prof na buluda muhuwa akamfunga kwa kuhonga fedha mil 30. anna tofauti gani na yuda aliyemsaliti asiye na hatia? tutajua mengi safari hii, uchamungu wenu, na umafia wenu pia kwa upande mwengine. walio wacha Mungu watajulikana, na wasio watajulikana kwa matendo yao, na siyo kwa maneno yao kuwa mengi.

Mliotuhumu kwamba wanahusika na mauaji ndio mnaotakiwa kutoa vielelezo, mambo yanawageukia, ngojeni mwanasheria wao alipeleke gazeti mahakamani kama alivyosema kisha tuone mnavyohangaika kutafuta mlango wa kutokea.
 
ABATE LAMBERT ANAWEZA KUENDESHA SHIRIKA LAKE KWA KUFUGA TU. HAWA JAMAA HAWAHITAJI HAYO MAMBO MNAYOWASINGIZIA, WAPO HUKO KWA ZAIDI YA MIAKA 100 KAMA SHIRIKA. LUKARASI NI KAMGODI TU, MIGODI KAMILI YA DHAHABU ILICHIMBWA NA WAJERUMANI WALIOJENGA RELI.

Walichimba dhahabu na waliamini wameimaliza na watu wa kanda ya ziwa ni mashahidi hususani watu wa Nyarugusu, Mgusu na Rwamgasa, kuna mashim mengi ya zege na mitambo chakavu huko. Inasadikika kuwa vita vyote vya mjerumani viligharamiwa na dhahabu kutoka Tanzania.

Hawa jamaa hawahitaji udhalimu ili kuishi, wanaweza ishi kwa kushona suti tu. Ni wajasiriamali kweli kweli siyo mafisadi. Wana wafadhili pia wa kutosha na viapo vyao ni UTII, USEJA NA UMASIKINI. Msimkufuru Mungu jamani. Kuna wezekana pia kuandika hivyo kwa nia ya kuficha ukweli wa mauaji. Kwanza, si kawaida Gazeti kuandika habari kama hiyo. Mbona huo ungelikuwa ni ushahidi tosha. Kwa nini polisi haichukui hatua? Kuandika taarifa kama hiyo na serikali kutochukua hatua inaadhiria nini???
binafsi sina shida na abate lambert wala na watawa waadilifu, isipokuwa kuna wahuni kiongozi wao buluda fidelis mligo. leo nimepita hadi hospitali alimladi kuzungukia maeneo, nikarudi abasia kunusa upepo, mmhh 'umafia wa fidelis' ndiyo gumzo. amekosa utulivu anafokeana bila sababu ya msingi, kitu kilichofanya watu waulizane nini kimempata, na baba mmoja akawafungulia kipande cha gazeti la wk jana. wakafunguka mwaaa. ni kama hadithi. kesho tunapata magazeti ya leo huku songea, wa mjini hamjaweka humu jameni na sisi wa mbali tukasoma mapema. huku bado ni kijijini ingawa mjini.
 
Raia Mwema aliandika: "Kwa mujibu wa taarifa hizo, Profesa Mwaikusa naye alikuwa ameteuliwa kuwa mmoja wa wawakilishi wa shirika hilo kwenye mgodi huo wa dhahabu, kwa barua ya Agosti 12, 2003 iliyowekwa sahihi na Buruda Aidan na Buruda Edmund wote wakionyeshwa kuwa na hisa 2000."

Hii inaashiria kuwa kifo cha Prof Mwaikusa inatokana na kuteuliwa kwake kuingia katika bodi ya wakurugenzi. Je, kumbukumbu za fikra zinasema nini wakati kifo kilitokea?
Kifo hicho kilitokea ndani ya matukio kama vile harakati za uongozi mpya kubadilisha wanahisa waliokuwepo na kuweka wapya, kumshtaki aliyekuwa mwenyekiti wa bodi ya UMICO yaani Aidan Mhuwa, kumfukuza mwekezaji aliyekuwa amewekwa kihalali na bodi iliyokuwepo ya UMICO ambapo Mwaikusa alikuwa mwanasheria wake bila kufuata taratibu, mwekezaji kufaili madai ya 3.7 bilion mahakamani n.k. Je katika mazingira hayo bodi ya UMICO isigemtegemea sana Mwaikusa kuyatatua? Je, bodi mpya UMICO ingefurahia kuendelea uwepo wa Mwaikusa ktk bodi iliyoshambatishwa na akina Fr. Fidelis na wenzake?
 
Mliotuhumu kwamba wanahusika na mauaji ndio mnaotakiwa kutoa vielelezo, mambo yanawageukia, ngojeni mwanasheria wao alipeleke gazeti mahakamani kama alivyosema kisha tuone mnavyohangaika kutafuta mlango wa kutokea.
Mmhh danganya toto,hawawezi kwenda maana niliyoyasikia leo, watagalagazwa, ikiwezekana naombea wapeleke mapema tujue ilipo haki ya kweli naamini mengi zaidi tutakuja kuyajua.
 
Nakubaliana na wewe. huyu atakuwa ni yeye vinginevyo anawaandikia maana hata hao wa najira kumbe aliwaandikia na kuwaamuru waende wakaandike. walipomhoji akaanza kulopoka maneno yasiyofaa, yasiyo na mpangilio. yeye anajivunia pesa za wafadhili wadhungu wazee wanaojitolea ili kanisa lisitawi yeye anafanya mambo ya Yuda, tena afadhali na yuda alilenga kupata fedha kuliko yeye anayetapanya ili kujitengenezea himaya ya kimafia, sifa na chuki. Nchembe wanadanganyana naye ili kuwatesa waadilifu. wana pera tunasikitika kwa kuwa kalichafua kanisa, kwenye msafala wa mamba na k...e wamo.

kamajuzi,

ile gazeti ya Majira huyu mafya Fr Fidelis alisema eti shirika lilikuwa na hisa tangu 1990. Mwongo saanaaa. unajua nini, mwaka 1990 ukanda wa kusini ilikuwa marufuku kuchimba madini. Kule Lukarasi kulikuwa pori tu, tena nimechunguza kwa kina: alikuwepo mzee mmoja ambaye ndiye aliyekuwa akichimba kokoto huko porini na kuzitwanga pamoja na mtoto wake mdogo wa kiume. Huyu mzee ndiye aliyegundua uwepo wa dhahabu. Alishafariki lakini mtoto bado songea mjini. Uwongo wapili ni huu kuwa Fr. Fidelis alijiunga na utawa mwaka 1993 na Aidan 1994, sasa hapo iweje Aidan aweshikilie hisa za shirika kabla ya kuwa mtawa? Au je Watawa wa abasia watakuwaje na hisa katika kampuni ambaya haikuwa imezaliwa?
 
binafsi sina shida na abate lambert wala na watawa waadilifu, isipokuwa kuna wahuni kiongozi wao buluda fidelis mligo. leo nimepita hadi hospitali alimladi kuzungukia maeneo, nikarudi abasia kunusa upepo, mmhh 'umafia wa fidelis' ndiyo gumzo. amekosa utulivu anafokeana bila sababu ya msingi, kitu kilichofanya watu waulizane nini kimempata, na baba mmoja akawafungulia kipande cha gazeti la wk jana. wakafunguka mwaaa. ni kama hadithi. kesho tunapata magazeti ya leo huku songea, wa mjini hamjaweka humu jameni na sisi wa mbali tukasoma mapema. huku bado ni kijijini ingawa mjini.

Wivu wa nyumba yako utanila, kwa taarifa yako huyo chao chake ni PRIOR, Prior Mligo amesema kweli, hakuficha kitu, amekuwa mwazi, na ametamka bayana wabaya wa Abasia, na kufafanua hatua za kulishtaki Gazeti hili kwa kulituhumu shirika mauaji bila vielelezo vya kuridhisha wala kufika hapo Abatia kupata maelezo, huu ndio utoto (childish, child like ya vyombo vingi vya habari kama Raia Mwema na baadhi ya wengi wetu).

Nakumbuka Professor Weis Sexton tulipokuwa chuoni nchini Marekani katika darasa la habari alivyotusisitizia bila kupata data pande zote zinazohusika hujaumba kitu kinachoitwa habari ya kupokeleka katika jamii la sivyo ni upotoshaji tu, habari itakuwa ni uchochezi, na ni kinyume cha taaluma ya wanahabari na vyombo vyake. Hilo wachangiaji wengi hawaoni hoja labda kwa sababu ya kukosa taaluma ya vyombo vya habari na taratibu zake, wamekaza mishipa tu na umafya hoja dhaifu ya kuchepukia wakizidiwa nguvu ya hoja.

Narudia tena nipe majina ya hao community members wa Peramiho uliokutana nao na wakakulalamikia huu ya unayozungumza, mimi nitahakikisha kwa ujuzi wangu wote na nguvu zote hata kuwatumia wadau wa habari Songea waende wakawaulize hao Community members.

Kama ulionana nao unajua "
clausura" ni nini? Unawezaje kuingia pale bila clausura key? Kama ni mgeni basi guest master member wa shirika ambaye yuko pale rasmi kupokea wageni ndiye atakaye kupokea na ujieleze kwake shida yako, kama kuna umuhimu wa unayemhitaji watakuitia.

Ahmed Jongo alinipeleka pale na tulipitia taratibu hizo, hakuna ujanja, bana ee Tanzania huwezi nidanganya mie, kwani urefu wangu hunifikii. Uliza ye yote utaratibu huo hutaukwepa, pale si kama kariakoo unakopishana vibega na machinga, pale ni serikali ya mjerumani kakangu.
 
kamajuzi,

ile gazeti ya Majira huyu mafya Fr Fidelis alisema eti shirika lilikuwa na hisa tangu 1990. Mwongo saanaaa. unajua nini, mwaka 1990 ukanda wa kusini ilikuwa marufuku kuchimba madini. Kule Lukarasi kulikuwa pori tu, tena nimechunguza kwa kina: alikuwepo mzee mmoja ambaye ndiye aliyekuwa akichimba kokoto huko porini na kuzitwanga pamoja na mtoto wake mdogo wa kiume. Huyu mzee ndiye aliyegundua uwepo wa dhahabu. Alishafariki lakini mtoto bado songea mjini. Uwongo wapili ni huu kuwa Fr. Fidelis alijiunga na utawa mwaka 1993 na Aidan 1994, sasa hapo iweje Aidan aweshikilie hisa za shirika kabla ya kuwa mtawa? Au je Watawa wa abasia watakuwaje na hisa katika kampuni ambaya haikuwa imezaliwa?

Machimbo yale yamekuwepo muda mrefu tangu wakimbizi wamakonde toka Msumbiji wangali katika vijiji vya Mputa, na kwingineko, umepotea njia naona. Waulize wadau wa huko utafafanuliwa. Ukitaka vika vijiji vingine kama Litapwasi, wenyeji wa huko watakufafanulia yakhe.
 
Inafahamika kuwa prof Mwaikusa aliuwawa na serikali ya kagame nd hili linahusishwa sana na yeye kujiingiza na siasa za mauaji ya kimbarik nchini Rwanda...Raia mwema chini ya uenyekiti wa Jeneral Ulimwengu wana interest na ukaribu na rwanda na hapa wanajaribu kupotosha

Ukitaka ukweli tafuta aliyetungua ndege ya maraisi wa Rwanda na Burundi kabla ya mauaji ya kimbali halafu utajua kama kuna kudanganya katika kila kitu tunachoambiwa na magazeti. Ulimboka na Hemedi kisha mkenya, Balali na matibabu Marekani, rudi nyuma zaidi uulizie kifo cha Kibona (waziri wa fedha wakati wa Mwinyi, kisha njoo katika EPA na DOWANS aka RICHMOND kupata jibu ni lazima ufungue wanaopotosha mioyo yao na hawa mara nyingi wanajificha katika mgongo wetu WANAHABARI!
 
binafsi sina shida na abate lambert wala na watawa waadilifu, isipokuwa kuna wahuni kiongozi wao buluda fidelis mligo. leo nimepita hadi hospitali alimladi kuzungukia maeneo, nikarudi abasia kunusa upepo, mmhh 'umafia wa fidelis' ndiyo gumzo. amekosa utulivu anafokeana bila sababu ya msingi, kitu kilichofanya watu waulizane nini kimempata, na baba mmoja akawafungulia kipande cha gazeti la wk jana. wakafunguka mwaaa. ni kama hadithi. kesho tunapata magazeti ya leo huku songea, wa mjini hamjaweka humu jameni na sisi wa mbali tukasoma mapema. huku bado ni kijijini ingawa mjini.

Jaribu kusoma mabandiko yangu, Abate Lambert dorr OSB ni mstaafu muda mrefu kabla ya kifo cha Mwaikusa. Abate mpya kama nilivyoonyesha jana ndiye mkuu wa shirika na ndiye mwenye dhamana na cho chote kinacotokea. Unavyoonekana hujajua hata hierarikia yao ilivyo kaa.

Mambo yanayotokea kipindi cha Kikwete mauaji kama ya Mwangosi wewe unakazania Benjamini Mkapa ambaye alishastaafu, wapi na wapi jamani?
 
Mmhh danganya toto,hawawezi kwenda maana niliyoyasikia leo, watagalagazwa, ikiwezekana naombea wapeleke mapema tujue ilipo haki ya kweli naamini mengi zaidi tutakuja kuyajua.

Kundi lile kazini, I have no time with you sababu hujaniletea majina uliyoonana nao Peramiho, unaogopa kuumbuka
 
Ukitaka ukweli tafuta aliyetungua ndege ya maraisi wa Rwanda na Burundi kabla ya mauaji ya kimbali halafu utajua kama kuna kudanganya katika kila kitu tunachoambiwa na magazeti. Ulimboka na Hemedi kisha mkenya, Balali na matibabu Marekani, rudi nyuma zaidi uulizie kifo cha Kibona (waziri wa fedha wakati wa Mwinyi, kisha njoo katika EPA na DOWANS aka RICHMOND kupata jibu ni lazima ufungue wanaopotosha mioyo yao na hawa mara nyingi wanajificha katika mgongo wetu WANAHABARI!

Umenena ni hawa hawa usalama wa taifa ndio tunaoendeshana hapa kwenye mjadala huu na wanajigeuza majina mara kwa mara. Namna gani utawatambua? Wanashindwa kuleta vielelezo, kinachofanyika ni propaganda ndio michezo yao ya kawaida iliyozoeleka. Sometime just ignore them.
 
Jaribu kusoma mabandiko yangu, Abate Lambert dorr OSB ni mstaafu muda mrefu kabla ya kifo cha Mwaikusa. Abate mpya kama nilivyoonyesha jana ndiye mkuu wa shirika na ndiye mwenye dhamana na cho chote kinacotokea. Unavyoonekana hujajua hata hierarikia yao ilivyo kaa.

Mambo yanayotokea kipindi cha Kikwete mauaji kama ya Mwangosi wewe unakazania Benjamini Mkapa ambaye alishastaafu, wapi na wapi jamani?
naona sasa tupo sambamba, maana ni wewe ndiye uling'ang'ania kuw abate lambet hawezikuhusika, mabandiko yako mwenyewe unayasahau ulichoandika na kisha unajichanganya. kabla ulikazia kuwa lambet wala yule wa st otilieni hawezi kutenda hivi, nasema kuwa hela aliyokulipa buluda fidelis mmhh. ukweli utajulikana tu. hakuna marefu yasiyo na mwisho wake. ninavyojua mahakamani hawaendi na wakienda wataaibika. ni bora waende tufaidi ukweli.
 
kamajuzi,

ile gazeti ya Majira huyu mafya Fr Fidelis alisema eti shirika lilikuwa na hisa tangu 1990. Mwongo saanaaa. unajua nini, mwaka 1990 ukanda wa kusini ilikuwa marufuku kuchimba madini. Kule Lukarasi kulikuwa pori tu, tena nimechunguza kwa kina: alikuwepo mzee mmoja ambaye ndiye aliyekuwa akichimba kokoto huko porini na kuzitwanga pamoja na mtoto wake mdogo wa kiume. Huyu mzee ndiye aliyegundua uwepo wa dhahabu. Alishafariki lakini mtoto bado songea mjini. Uwongo wapili ni huu kuwa Fr. Fidelis alijiunga na utawa mwaka 1993 na Aidan 1994, sasa hapo iweje Aidan aweshikilie hisa za shirika kabla ya kuwa mtawa? Au je Watawa wa abasia watakuwaje na hisa katika kampuni ambaya haikuwa imezaliwa?

Mmhh. Msoro, huyu fidelis anawaandikia watu wake ktk press club, nao pamoja na yeye wanakuja kuyabandikiza mabandiko yao hapa. candic scope yupo kazini na majuzi press club kawapa msaada mil5 wakati watawa wanalalamika kuwa sasa hivi kuna hali mbaya ya maisha kulinganisha na zamani. anajifanya anajua sana mambo ya watawa mpaka kuuliza clausra, kwani watawa wote wanafanya kazi za ndani peke yake. wengi wanafanya nje.
 
naona sasa tupo sambamba, maana ni wewe ndiye uling'ang'ania kuw abate lambet hawezikuhusika, mabandiko yako mwenyewe unayasahau ulichoandika na kisha unajichanganya. kabla ulikazia kuwa lambet wala yule wa st otilieni hawezi kutenda hivi, nasema kuwa hela aliyokulipa buluda fidelis mmhh. ukweli utajulikana tu. hakuna marefu yasiyo na mwisho wake. ninavyojua mahakamani hawaendi na wakienda wataaibika. ni bora waende tufaidi ukweli.

Jambo la kufurahisha umoja wa wanawake tanzania walizoea kuwatishia wazungu kwa kuwa wageni, sasa yupo mzawa Mligo Fidelis OSB anawakaanga vilivyo, sasa ghadhabu yote inaishia kwake si kwa shirika. Jeuri yenu tunaijua, propaganda zenu tunazijua, hapa waliozoea kutitishia wazungu ili wapate pesa imeishia kwao. Yupo mzalendo halisi mwenye kulinda himaya ya shirika la Mungu. Atapambana nao hadi kieleweke.

Mara moja niliwahi kufanya kazi na kampuni ambayo ilikuwa ya wazungu, walivyokuwa wanatishwa na mamlaka ya kodi, leseni na mengineyo hadi kufanya wakose raha. Madeni wahakutaka kulipa eti huwawezi kuishinikiza serikali.

Milipoajiriwa pale, nikawaambia hawa niachieni mimi hawaambulii kitu, kama sheria naijua, nchi yangu, wakitaka kuleta vitisho najua pakupeleka malalamiko yangu, na wakijaribu kutaka pesa hapo ndipo patafuka moshi hadi libaki jivu tupu.

Amini usiamini niliwashikisha adabu na wakaanza kulalamika, oh bora wazungu, tulielewana nao vizuri, walikuwa wanatusaidia, wakati huo huo wazungu wananishukuru sana kwa jinsi nilivyowaokoa.

Kwa kuwa ilikuwa ni mkataba wa muda ni kawa na majukumu mengine katidi ya mipangilio yangu, walihuzunika sana nilipokuwa naondoka, nilichofanya ni kumwandaa kijana mwingine atakayefanya kama nilivyokuwa nafanya, wazungu tangu hapo walijua bora dawa ya moto ni moto.
 
Raia Mwema aliandika: "Kwa mujibu wa taarifa hizo, Profesa Mwaikusa naye alikuwa ameteuliwa kuwa mmoja wa wawakilishi wa shirika hilo kwenye mgodi huo wa dhahabu, kwa barua ya Agosti 12, 2003 iliyowekwa sahihi na Buruda Aidan na Buruda Edmund wote wakionyeshwa kuwa na hisa 2000."

Hii inaashiria kuwa kifo cha Prof Mwaikusa inatokana na kuteuliwa kwake kuingia katika bodi ya wakurugenzi. Je, kumbukumbu za fikra zinasema nini wakati kifo kilitokea?
Kifo hicho kilitokea ndani ya matukio kama vile harakati za uongozi mpya kubadilisha wanahisa waliokuwepo na kuweka wapya, kumshtaki aliyekuwa mwenyekiti wa bodi ya UMICO yaani Aidan Mhuwa, kumfukuza mwekezaji aliyekuwa amewekwa kihalali na bodi iliyokuwepo ya UMICO ambapo Mwaikusa alikuwa mwanasheria wake bila kufuata taratibu, mwekezaji kufaili madai ya 3.7 bilion mahakamani n.k. Je katika mazingira hayo bodi ya UMICO isigemtegemea sana Mwaikusa kuyatatua? Je, bodi mpya UMICO ingefurahia kuendelea uwepo wa Mwaikusa ktk bodi iliyoshambatishwa na akina Fr. Fidelis na wenzake?

Moma2k na Candid Scope,

wote mabandiko yenu yanatokea humu ndani abasia ya Peramiho. hebu toeni kitu kuhusu koti hiyo hapo juu. Kama hoja hii ipo mbali na mauaji ya Prof tujibuni.
Nasubiri kusoma gazeti la jana. Nakala ipo njiani kuja Peramiho. Hebu tuone mambo yakoje.
kama hamuhusiki na kifo cha mwaikusa, basi toeni namba za simu za hao waliofanya kazi naye kuiwezesha jamii inayokerwa kuwahoji.
 
Alikuambia nani hadithi hiyo? kama hujui mambo kaa kimya ndugu yangu
Umeambiwa waliofanya hivyo ni wahuni sio watawa "wa kweli"Kama waliofanya hivyo ni watawa basi sio watawa wa "kweli" hivyo ni wahuni hata kama ni watawa kwa mwonekano wa nje!Nadhani umemwelewa Candid!
 
Nadhani mleta hoja kama ameleta kutoka Raia mwema na kutaka maoni basi amelisoma hilo gazet hajalielewa na hajaelewa nini kimeandikwa na kina muhusu nani, unless awe ametumwa kuja kuwajibu Raia Mwema na kutetea kile kilichoandikwa mle na kama ni hivyo basi hapa hapakuwa sehemu sahihi kwani wengi wanafikiwa na magazeti lkn sio jamii forum. na kama umetumwa kutetea utakuwa umelipwa pesa nyingi sana bwana Candid Scope na hawa wakatoliki mafia.

Kwa ninavyofahamu mimi hili sakata la mgodi wa lukarasi ni la muda mrefu nilibahatika kuishi mkoani ruvuma mwanzoni mwa mwaka 2000 hadi 2004 na kurudi mara kwa mara huko kwa shughuli za kikazi kabla sijaslim na kuwa muislamu before nilikuwa huko rc nawafahamu baadhi ya watu waliotajwa kwenye hilo sakata la mgodi pia kuna mtu mmoja aliwahi kuniambia kuwa aliwahi kuwa mtawa kwenye shirika hilo na ameacha kwa kile alichokilalamikia kuwa linaendeshwa kikabila zaidi na wenye maamuzi makubwa ni watu ambao wanatokea ukanda wa njombe nilifuatilia kujua hilo nikagundua kuwa safu ya uongozi na wakuu wa idara zote hususani viwanda ukiondoa abbate wa sasa ambaye sio lambert ni raia wa ujerumani jina silifahamu na mzungu mmoja hivi anaitwa dom wengine wote ni raia wa njombe na ludewa ambao wametengeneza mtandao unaofight against wale ambao sio wa ukanda wa njombe na hadi napata takwimu za mwisho mwishoni mwa mwaka 2011 80% ya watawa waliobaki kwenye shirika hilo ni wakunjombe na 10% ni makabila mengine na 10% ni raia wa kigeni. kuhusu Edmund (mchaga) Na Aidan (Mndendeule) kwa faida tu kwa sasa Aidan sio mtawa wa shirika hilo na anatumikia kifungo cha nje kwa makosa mbalimbali ikiwemo kuhujumu mali ya shirika hilo.

Edmund yuko nje ya peramiho ambako anafanya kazi za kitawa i do know where. nikiwa napitia comments hapo juu kuna mtu alihoji ushirikishawji wa edmund na aidan kwenye hiyo mishen. ninachokijua miaka ile ambayo niliwahi pita maeneo hayo Aidan na Edmund waliwahi shika nafasi muhimu ktk nyumba hiyo ya watawa ikiwemo sub prior na Procuratot kwa wakati tofauti kwa hili sijashangaa wao kuonekana wanaliwakilisha shirika ktk ishu kama hiyo. lkn kwa kifupi mnyukano uliopo ndani ya shirika hilo ni mkubwa ksb hata aidan amefungwa kwa hila za hao na edmund amehamishwa kwa hila za hao. sasa mleta maada naomba utambue kuwa kuna side mbili ya kina edmund na hao wakunjombe ambao wanafuruku kuhamishia mali za shirika kwao ikiwemo mgodi wa lukarasi na kwasasa peramiho huwezi amini wanalala giza umeme hamna mafuta wanachakachua maji ni shida kila bruda yuko bize na ufisadi. leo ni hayo tu mwenye nyongeza karibu.

RIP Bruda Englibert namshukuru aliyenipa hizi habari kwa kina na mimi nimewajuza nyie kidogo tembelea peramiho uapate uhalisia wa mambo bwana candid.
 
Back
Top Bottom