Gefu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 6,929
- 2,567
Wakuu mojs ya mbinu za ushi ni kumjua vilivyo adui yako. Kuelekea uchaguzi mkuu 2015 nani anaonekana kuwa anaweza kuleta changamoto kwetu
.. Membe ?
..Lowasa ?
..Sita ?
..Shein ?
..Pinda ?
..Dovutwa ?
..Lipumba ?
..Magufuli ?
Nani kati ya hawa au wengine unaowafikiria, zipi ni strength zao na weakness zao..in anycase upinzani utakuwepo so tusi waanda estimeti hawa jamaa..
.. Membe ?
..Lowasa ?
..Sita ?
..Shein ?
..Pinda ?
..Dovutwa ?
..Lipumba ?
..Magufuli ?
Nani kati ya hawa au wengine unaowafikiria, zipi ni strength zao na weakness zao..in anycase upinzani utakuwepo so tusi waanda estimeti hawa jamaa..