Hajaolewa, hana mtoto na anafanya biashara. Anachukua bidhaa zake ulaya na dubai. Ameokoka
Tunaomba source ya hii info???
Dada wa watu anaimba hadi na mme wake kwenye videos zake...halafu wewe unasema hajaolewa... LOL
Hajaolewa, hana mtoto na anafanya biashara. Anachukua bidhaa zake ulaya na dubai. Ameokoka
Hajaolewa, hana mtoto na anafanya biashara. Anachukua bidhaa zake ulaya na dubai. Ameokoka
Mmeharibu Kwaresma yangu
kwa kweli sikumtamani kiivyo ila macho yake yalinikwaza kidogo. I'm ok now ni kama kupitwa na kizunguzungu cha ghafla. Abarikiwe sana.
Mmeharibu Kwaresma yangu
Asante mkuu! Huu wimbo mimi ukifika ubeti wa nne,huwa nahisi km kulia vile.... unanikuna mpaka ndani! Pia wimbo wake wa Unikumbuke! we acha tu, mwacheni Mungu aitwe Mungu.
ameolewa-na anaishi na watoto 3Hajaolewa, hana mtoto na anafanya biashara. Anachukua bidhaa zake ulaya na dubai. Ameokoka