Kumbe HISTORY = SCANDALS??Mkuu, it is not easy to get her history from anyone kwa sababu hana skandali yoyote. Ikiwa huna nia mbaya piga hodi kanisa la TAG Ilala, watakuambia how to meet her kisha mwaweza kuongea.
Thanks for this thread anyway, I didn't know she was from DRC. I thought she is nyakyusa.
Mmeharibu kwaresma yangu
Mzee Mwanakijiji , vipi tena? Umemtamani huyu mke wa mtu baada ya kuona picha yake?