Who is Christina Shusho historically?

Christine Shusho ni kweli ana asili ya DRC, na ndugu zake baadhi wapo kambi ya wakimbizi nyarugusu, kigoma. She is pretty kwa kweli. Nyimbo zake zina upako na zina bariki sana. Tena ni designer mzuri sana, Kuwa Mkongolee sio lazima upake mkorogo, inategemea umetokea fasi ya wapi?

Aendelee kumtukuza Mungu. Akiingia kwenye siasa Watam -Hussein. Ndo tutajua kweli kama ni Mtanzania au Mkongoman.
 
Akili Kichwani

Loh, hata mimi wimbo huu unanibariki sana. Ubarikiwe sana mpendwa AK
 
ni mmoja ya wasanii wa injili waliomtanguliza Mungu mbele na hafanani hata chembe na wale wanaofanya muziki wa injili biashara...majina mnayo.
Mungu azidi kumtumia mwanamama huyu kufikisha neno lake.
 
Is her name Christina Shusho or Christina Shushu!!!!??? For sure she is a dedicated mother and servant of God. She is free from scandals. She and her husband are trully serving the living God.

And she has two albums and on the way to release a new album, please stay tuned.
 
Ni vizuri kueshimiana kila mtu afanye mambo yake ilimradi asivunje sheria ya nchi hakuna haja ya kumjuwa sana kiundani ni muimbaji mzuri wa gospel.
 
Hata mimi namkubali huyu mama nanihi....Kweli anaimba vizuri na ana sauti nzuri sana...Nani kama wewe Mungu?
 
She is so pretty and humble. Ukikutana naye utampenda, hana majigambo, she is smart and descent. Ni msanii mzuri sana nyimbo zake hazichoshi
 
Bwana chimbuvu niaje umeichimbua hii thread mbali hvyo, kumejiri nini, au ndio umeokoka?
 
Hii ni kwa wote wanaosema huyu muimbaji yuko juu kiroho.... kumbuka kuwa juu kiroho, kumcha Mungu au kutomcha Mungu ni siri ya mtu na Mungu wake, pia kipimo cha ucha Mungu si uimbaji wala kujionesha machoni pa watu! Mungu ana vipimo vyake vya utakatifu na si hivi tuvitumiavyo sisi wanadamu.

Kama unasoma biblia, kuna stori ya Kornelias ambaye hakuwahi kuambatana wala kufanya yale yaliyokuwa yakitendwa na Wakristo wa enzi zile kama Wayahudi, lakini Mungu alimuona anafaa na kumwambia sala zake zimefika mbinguni.

Kipimo cha utakatifu anachotumia mwanadamu ni tofauti na kipimo cha Mungu aonae sirini mwetu period!!
 
Back
Top Bottom